Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahitaji hizo mbwembwe, ccm ndio wanambwembwe hizo za kuhadaa umma kuwa wanakubalika kwa hela za wauza unga, ambazo hulipa watu kujitokeza.Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Yaani hiyo haitutishi sisi tunaojua siasa za kweli, ila atake asitake Mbowe ajue muda wa mabadiliko ukifika umefika.Sahihi subiri Mbowe akienda kuchukua fomu atasindikizwa na viongozi wa mikoa na wilaya zote Tanzania nzima wa Chadema na wajumbe kibao wa mkutano mkuu kumpelekea Lisu message sent kabla hata hajarudisha fomu ili ajue Mbowe sio saizi yake mapema kabisa
Chaguzi za CDM ni tofauti kabisa na zile za CCM. Mambo ya shamrashamra za kipuuzi hazipo wala hutaziona.Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Hujakosea🫡Hao ni machawa, nccr na hata CUF zilikufa Kwa Masultan wake kushindwa kusoma alama za nyakati
Mwishowe atakuwa kama Profesa Lipumba atabaki kuitwa Ikulu kunywa Juisi na kupewa hela ya BOLT kurejea Nyumbani.Yaani hiyo haitutishi sisi tunaojua siasa za kweli, ila atake asitake Mbowe ajue muda wa mabadiliko ukifika umefika.
HahahaNi kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Ungevaa kitenge umsidikize ....Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Hapo naona akamdai mwalimu wake wa Inglishi amrudishie chenji ya ada yake.Hivi hii "Alone wolf" na "Lone wolf" Inamaana sawa?
Lissu kakushindilia la kati unalikatikia tu 24/7Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Monetary doctor atueleze.Hivi hii "Alone wolf" na "Lone wolf" Inamaana sawa?
Kwani shida ni nini? Umeshasoma kabisa kuwa anatakiwa kuwa makiniNi kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Kwani shida nini na ulitaka aandamane na nani!! Na uneshasoma kuwa anatakiwa kuwa makini na yanayoendelea haya maCCM mamluki yanayotaka kumwandama ili wamsingizie mwenyekiti wake!.Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Wajumbe ndio wanaopiga kura subiri uone wajumbe wa mkutano mkuu wakimsindikiza Mbowe kuchukua fomu ndipo kichwa chako kitaelewaYaani hiyo haitutishi sisi tunaojua siasa za kweli, ila atake asitake Mbowe ajue muda wa mabadiliko ukifika umefika.
Mkuu, kama hujui tofauti kati ya alone na a lone, kazi unayo. Unazidi tu kuthibitisha kilichosemwa hapo juu.Wewe ng'wamagigisi, soma na hii.
View attachment 3179036