Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Mbowe yuko kwenye wakati Mgumu sana kwa sasa hajui achukue njia ipi. Asimame kwenye upinzani wa kweli (yaani amuunge Lisu mkono) ama aendelee kuwa upande wa watawala dhalimu kwa mgongo wa upinzani feki. Akibugi tu, atajua hajui!Yaani hiyo haitutishi sisi tunaojua siasa za kweli, ila atake asitake Mbowe ajue muda wa mabadiliko ukifika umefika.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI