Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Hata akina uviissim mazombie wote wanakurupushwa ndotoni wakapambanie ndoto yao inayofutika kwa kasi.CCM baada ya kuona akina Yericko Nyerere hawatoshi kumchafua Lisu, sasa mazombi wameamshwa waingie vitani
Hiyo ndio kawaida ya misukule mamlukiVijana wapumbavu wa anapambana na mtu anayegombea uongozi kwa mara ya kwanza badala ya kupambana na mtu aliyekaa madarakani miaka 20 halafu eti bado aongeze muda afikishe miaka 30 . Chama cha Demokrasia hakiwezi kuwa na watu wapuuzi kama hawa halafu kinataka kukitoa madarakani chama cha kikomunisti kama CCM . Hivi Chadema ingekuwa imeshika dola ingekuaje kama mtu aliyegombea Urais wa nchi anapigwa vita na kuonekana ni mhaini kwa kugombea Uenyekiti tu wa chama tena chama kidogo tu ambacho hakijawahi kupata hata 40 % ya kura za wanachama wake zaidi ya kura za kuokoteza baada ya CCM kuvurugana.
Hivi kwa mfano CCM ilsimamishe Kasimu Majaliwa 2025 hata pawe na tume huru mnafikiri kwa huu utoporo wenu mtatoboa .
Chama cha Kibepari kikikosa Demokrasia ni kibaya na hatari kuliko Mfumo wa kitumwa na biashara ya watumwa.
Mbowe astaafu na atapata heshima kubwa sana na kwa sababu ana watu wengi nyuma yake atakua na kauli kubwa sana ndani ya Chama kama alivyo Zito kabwe.
Mbowe ni muungwana sana na hatutegemei kuwa anaweza kumruhusu Lisu achukue Fomu ili wapimane nguvu.
Kama kweli Mbowe atagombea basi nitamfuta kabisa miongini mwa watu wenye busara na hekima . Nitahakikisha 2025 Chadema haipati hata kura laki tano. Na utakua ndio mwisho wa Chadema kuwa Chama kikuu cha upinzani. Haiwezekani Mbowe amwamini Lisu kuwa anaweza kuongoza nchi halafu alimwamini kuwa anaweza kuongoza Chama . Vinginevyo basi kuna maslahi makubwa anayoyapata kuliko anayopoteza.
Lisu aliwahii kumwambia Mbowe ,Mwenyekiti kama utachukua fomu kugombea Uenyekiti mimi sitachukua fomu za kugombea ." Kwa hiyo haiwezekani Mbowe amruhusu kugombea bila kushauriana. Na kama ndivyo basi chama kimefikia Mwisho mana Mbowe katika Ulimwengu wa Roho hana nafasi ya kwenda mbele zaidi kama alivyo Samia .
Watanzania wengi 85 % wanaimani na watu aina ya Lisu na sio aina ya Mbowe . Mfano ni Makonda pamoja na kuchafuliwa sana lakini watanzania wanamkubali kwa sababu wanaamini kuwa hapendi Kona kona.
Hali kadhalika Lisu kuna watu mpaka ndani ya CCM wanamkubali sana kwa misimamo yake na uwezo wake wa kujenga hoja kisheria na kukemea ufisadi wazi bila kujali chama .
Hali hiyo inawafanya wetu wengi kumwona Lisu kama mbeba maono ya Taifa hili.
Mbowe anatakiwa sasa ajitokeze hadharani kuwaeleza watu wazi wazi kuwa kwa miaka 20 alizotumikia chama zinatosha na sasa anakabidhi kijiti kwa mtu mwingine . Kukaa kimya kutazidi kuibua wajinga kutawala majukwaa ya mitandao na kuua Demokrasia inavyotaka kuonekana kwa vitendo ndani ya Chadema .
Yaani hiyo haitutishi sisi tunaojua siasa za kweli, ila atake asitake Mbowe ajue muda wa mabadiliko ukifika umefika.
Sahihi subiri Mbowe akienda kuchukua fomu atasindikizwa na viongozi wa mikoa na wilaya zote Tanzania nzima wa Chadema na wajumbe kibao wa mkutano mkuu kumpelekea Lisu message sent kabla hata hajarudisha fomu ili ajue Mbowe sio saizi yake mapema kabisa
Wajumbe ndio wanaopiga kura subiri uone wajumbe wa mkutano mkuu wakimsindikiza Mbowe kuchukua fomu ndipo kichwa chako kitaelewa
Kwa sasa uko gizani tu
Ni haki yao kumpigia kura yoyote wamtakaye, lakini mabadiliko ndani ya cdm hayakwepeki.Wajumbe ndio wanaopiga kura subiri uone wajumbe wa mkutano mkuu wakimsindikiza Mbowe kuchukua fomu ndipo kichwa chako kitaelewa
Kwa sasa uko gizani tu
Unakosea sana unapoitaja CCM. Inamaanisha kwamba Mbowe alikuwa kibaraka wa CCM sio? Je, kwanini Lissu avumilia kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa chini ya Mwenyekiti kibaraka wa CCM? Na kwanini alijiunga na chama ambacho Kiongozi Mkuu (Mbowe) ni kibaraka wa CCM? (Kumbuka ni Mbowe ndiye aliyemleta Lissu Chadema kutoka NCCR-Mageuzi).A lone wolf ambaye amefanya kila kiunga cha Lumumba na White House kuzungumziwa yeye!!!??
A lone wolf ambaye kila chombo cha habari mpaka kipeperushi cha CCM kumzungumziaa!!???
A lone wolf ambaye amefanya machawa kutembea wakiwa wamevaa diapers kwa kuwa wanajiharishia non-stop!!!???
Endelea kumuabudu huyo Dj mbowe na umpe habari chama sio mali yake hata kama allidhishwa na baba mkwe.Sahihi subiri Mbowe akienda kuchukua fomu atasindikizwa na viongozi wa mikoa na wilaya zote Tanzania nzima wa Chadema na wajumbe kibao wa mkutano mkuu kumpelekea Lisu message sent kabla hata hajarudisha fomu ili ajue Mbowe sio saizi yake mapema kabisa
Chinembe jina kubwa sana, lakini haulitendei haki.Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Mimi memkwa hata hapa nimeuliza nini kimeandikwa ndo nikamjibu... Mjibu kama alivyo kujibuMonetary doctor atueleze.
Mbowe akichukua fomu atakuwa ametia muhuri wa moto kwa umma, kithibitisha kuwa "chadema ni Saccos yake". Athubutu aone.Sahihi subiri Mbowe akienda kuchukua fomu atasindikizwa na viongozi wa mikoa na wilaya zote Tanzania nzima wa Chadema na wajumbe kibao wa mkutano mkuu kumpelekea Lisu message sent kabla hata hajarudisha fomu ili ajue Mbowe sio saizi yake mapema kabisa
Great minds discuss ideas, average minds discuss events, mediocre minds duscuss people-:Socrates.Ni kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Nani ajitokeze afukuzwe uanachama!! Ila uzuri kura ni za siri. Watu watabaki mdomo waziNi kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
Huhuyu tunamtaka style yake ya jeshi la mtu mtu mmojaNi kama mwanachama mpya ndani ya CHADEMA, hajasindikizwa hata na kiongozi wa chama kutoka mkoani kwake, au hata wanachama wa kawaida.
Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
A lone wolf. Failure to plan, is planning to fail, plan yake haikuwa uenyekiti, ila umakamu.
A lone wolf ambaye tiss hawalali ni vikao usiku kuchaA lone wolf ambaye amefanya kila kiunga cha Lumumba na White House kuzungumziwa yeye!!!??
A lone wolf ambaye kila chombo cha habari mpaka kipeperushi cha CCM kumzungumziaa!!???
A lone wolf ambaye amefanya machawa kutembea wakiwa wamevaa diapers kwa kuwa wanajiharishia non-stop!!!???
mabilioni ya walipa kodi masikini wa nchi hiiA lone wolf aliyekataa mabilioni ya Abdul, angekuwa tajiri saa hizi