Kuota naokota hela, hii ndoto ina maana gani?

Kuota naokota hela, hii ndoto ina maana gani?

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Nilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.

Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.

Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.

Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
 
Amen, ahsante....chukua namba zangu kabisa usijehangaika baadae nikiwa tajiri 😁

Baadae tuyajenge nikupeleke wakakuubganishe kwenye chama. Na Ile project tuiache kwanza Kwa sababu status Yako inabadilika muda SI mrefu.

Hao walikua wadhamini tu. Tukirudi kwenye hoja, Nakuombea ndoto zako ziwe na kheri Rafiki, inaweza isiwe pesa kama ulivyoota au yasiwe maburungutu ya misimbazi lakini ikawa mambo ya mafanikio na baraka kwenye maisha Yako.
 
Baadae tuyajenge nikupeleke wakakuubganishe kwenye chama. Na Ile project tuiache kwanza Kwa sababu status Yako inabadilika muda SI mrefu.

Hao walikua wadhamini tu. Tukirudi kwenye hoja, Nakuombea ndoto zako ziwe na kheri Rafiki, inaweza isiwe pesa kama ulivyoota au yasiwe maburungutu ya misimbazi lakini ikawa mambo ya mafanikio na baraka kwenye maisha Yako.
Amen ahsante sana
 
Nilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.

Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.

Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.

Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Nitakuja hapa
 
Kwa uzoefu wangu hapo siku sio nyingi unaenda kupata fedha za maana.

Naomba ukishaziokota unitafute😂
 
Back
Top Bottom