Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tafsiri hii kuna kitu nimeelewa, ahsante.Kwanza kujirudia mara mbili ni kwamba iyo ndoto inatoka kwa Mungu na anakwambia/anakuhakikishia kwamba hakika itakuwa.
Maji: Inamaanisha watu au nchi
Pesa; inamaanisha Heshima, utawala au utatuzi
Kwenye benchi: Penye watu
Kanisani: Amani au Utulivu
Kwahiyo: Siku zijazo utapata uongozi au heri fulani ya maisha, utaipata katikati ya ya watu bila kuitolea jasho either kwa kupendelewa au kuirithi, hii heri itakuwa kwenye eneo lisilochangamana na wengine, bahati mbaya uzinzi utakuponza maana utaitapanya iyo heri kwa njia ya sirini(kitanda). Mwombe Mungu akujalie kutubu ukianguka uweze kuinuka tena maana itakuwa bado kuna azina yako uliacha kule kisimani japo haitokuwa kubwa Kama ile ya kwanza.
Ukame zaidi ya nilionao 😁😁 ukame utapita na roho yangu sasaUkame unakunyemelea.
Unaweza kupitia kipindi kigumu sana kipesa.
Masikini anafilisika?maana yake unaenda kufulisika mdada
Njozi za kuokota sio nzuri...Ukame zaidi ya nilionao 😁😁 ukame utapita na roho yangu sasa
Ushauri nifanye nini??Umefungwa usifanikiwe kwa kiwango kikubwa sawasawa na destiny yako.
Nimemaliza.
Swali jingine?
hafilisikiMasikini anafilisika?
Mmmh nshakua confused asilimia za kupoteza ni nyingi 😃HOngera sana
Ni dalili ya nini?Kwa taarifa yako kuota unaokota pesa ni dalili mbaya, naishia hapo.
Hii ndoto inaashiria utapata danga jipyaNilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
😃😃😃 LibujibujiHii ndoto inaashiria utapata danga jipya
🤣😅😂😃😃😃 Libujibuji
Sijui unatania au?😅Ni dalili ya nini?
Nipo serious kabisa, wala sitaniiSijui unatania au?😅
Majibu umepata ...huyo jamaa amekujibu vuema na majibu yake ni sawa na niliyokupa.Nipo serious kabisa, wala sitanii
Kwakweli fungu la kumi sijawahi kutoa, endelea mtumishi nasubiriaMajibu umepata ...huyo jamaa amekujibu vuema na majibu yake ni sawa na niliyokupa.
Nimekuuliza swali kuhusu zaka uka mute.
Ungejibu ningeendelea