The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Hapana,nakaribisha waumini jinsi “ke” haswa wenye ndoto kama hizi niwatimizie ndoto/malengo yao
Kwa wengine sawa. Ila Kwa huyu ukileta mchezo, Malkia atakulaki na katibu atakupokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,nakaribisha waumini jinsi “ke” haswa wenye ndoto kama hizi niwatimizie ndoto/malengo yao
Jua linazama kwenye matope, nikupeleke huko?Unipeleke royo tua kule jua linazama😂😂
Hizi ndoto mimi kwa mwaka naweza kuziota hata mara tano! Huwa zinajirudia mno.Nilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Si ndoto nzuri, vice versa hizo ndotoNilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Yani ntakua masikini zaidi ya hapa??? Jamani ntaishiwa pumzi nife sio poaSi ndoto nzuri, vice versa hizo ndoto
Unakaribia mbinguniNilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Hamna sio hivyo madame, hila uenda ukapata tu hasara, Mungu akuepushie inshallahYani ntakua masikini zaidi ya hapa??? Jamani ntaishiwa pumzi nife sio poa
Amen ahsanteHamna sio hivyo madame, hila uenda ukapata tu hasara, Mungu akuepushie inshallah
Tafsiri ya ndooto yako ewe Evelyn Salt ni ; ndoto ya kwanza na ya pili ni moja, ile ndoto ya pili ni tafsiri ya ndoto ya pili, baada ya kuitafakari. Kuna kitu Bwana Mungu anakusemesha nafahamu unajua.Nilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Ndio sijajua ananisemeshaje au nitoke nikatafute hela kuna fungu langu lipo mahali😁 kwakeli natamani kupata maana yake.Tafsiri ya ndooto yako ewe Evelyn Salt ni ; ndoto ya kwanza na ya pili ni moja, ile ndoto ya pili ni tafsiri ya ndoto ya pili, baada ya kuitafakari. Kuna kitu Bwana Mungu anakusemesha nafahamu unajua.
Mfate Yesu - kuna kila kitu unacho kihitaji kwake. Ukimpata Yesu na kumuishi yeye kila kitu ( haja ya moyo wako unaipta)Ndio sijajua ananisemeshaje au nitoke nikatafute hela kuna fungu langu lipo mahali😁 kwakeli natamani kupata maana yake.
Ukame unakunyemelea.Nilijifunza kutokupuuzia ndoto nnazoota huwa najitahidi kufatilia na kuulizia maana yake, kwani nimekua naota mambo halafu yanatokea kweli yanatokea vile vile nnavoona kwenye ndoto, hadi najihisi unabii unaninyemelea.
Wiki kama mbili hivi zilizopita niliota nimepita njiani kuna kisima kimejaa maji, ndani ya kisima kuna vibunda vya noti za elf kumi kumi vinaelea juu ya maji basi nikaziokota nyingiii niakaacha kama viwili tu, nikaingia ndani nikawa nazisambaza kitandani ili zikauke.
Usiku wa leo nimeota nimeenda kanisani kwenye bench nilipokaa nikakuta kuna hela nyingi elf kumi kumi, nikafanya kilichonipeleka kisha nikabeba zile hela sijui nimeiba au nimeokota ila niliondoka nazo.
Wataalamu wa haya mambo, hizi ndoto za hela maana yake ni nini???
Mshana Jr BIN NUN na wengine mnaojua.
Kwa kifupi tafsiri yake...huwa unakula fungu la kumiNdio sijajua ananisemeshaje au nitoke nikatafute hela kuna fungu langu lipo mahali😁 kwakeli natamani kupata maana yake.
Duh pole na hongeraDuh! Tugawane ndugu yangu. Tuyaache hayo ebana mimi nikiota naogelea kwenye maji masafi halafu ni mengi mambo yangu huwa yananyooka sana.
Lakini siku niote naogelea kwenye mabwawa ya mavi au niwe nang'oa meno yote kwa ulimi!! Nitajuta kuzaliwa yaani akiba ya mwisho unajikuta una laki nyambaff.