Kuota naokota hela, hii ndoto ina maana gani?

maana yake unaenda kufulisika mdada
 
Kwa tafsiri hii kuna kitu nimeelewa, ahsante.
 
Ukame zaidi ya nilionao 😁😁 ukame utapita na roho yangu sasa
Njozi za kuokota sio nzuri...
Pili ukaokota na kanisani...je huwa unavusha au kula fungu la kumi?

Kwani umeokota kanisani pia.

Kama ndio basi umepewa ujumbe wa kurekebisha mambo
 
Hii ndoto inaashiria utapata danga jipya
 
Majibu umepata ...huyo jamaa amekujibu vuema na majibu yake ni sawa na niliyokupa.

Nimekuuliza swali kuhusu zaka uka mute.

Ungejibu ningeendelea
Kwakweli fungu la kumi sijawahi kutoa, endelea mtumishi nasubiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…