Kupaka mbao dawa au kupaka oil ipi inakaa muda mrefu bila wadudu kula?

Kupaka mbao dawa au kupaka oil ipi inakaa muda mrefu bila wadudu kula?

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
Wakuu mimi Niko hapa kwenu nawapa tip ya ujenzi hii hapa maana mimi kwenye ujenzi nmeboboa.
Kutreat mbao kwa dawa zile za kijani kijani wanazopiga wengi wauzaji wa mbao.

Oili chafu inadumu muda mrefu zaidi kuliko hizi dawa.
Ukweli ndio huo oili kwanza kadili inavyopigwa joto ndio kwanza inaingia ndani na mdudu hagusi kama umepiga vzr .Ila hizi dawa za sikuhz nyingi hamna kitu ni maumivu tu baada ya muda mfupi zinabungua.
Huwa tunafumua nyumba za miaka ya 90 lakin unakuta mbao bado ngumu ilipigwa oil .
Nisiwachoshe


Nauliza swali je kwanini mafundi wengi hawapendi kupaua kwa mbao zilizo pigwa oil kuliko mbao zilizopigwa dawa za sikuhz?


Naomba majibu mimi ni fundi kupaua 0743257669 nitumie kwa kazi za mapaa ya kisasa
IMG-20240607-WA0004.jpg
 
Wewe sio fundi mbobevu maana kama unasema dawa yenye rangi ya kijani? Tena inayouzwa sh elf 20? Ah! Unatuingiza mkenge mzee, kuna dawa inapimwa lita 1 sh 60-80 na ikipigwa mbao huwez jua kama imepigwa jaribu hyo uone. Ila mim niliona miaka ya 80's wapasua mbao walikuwa wanapasua batri za EVEREDY kisha wanaloweka na kupaka mbao wadudu walikuwa hawagusi
 
Dawa Zinachakachuriwa na mafundi hawapendi oil sababu ya ubishoo tu
 
Mmmhhh dawa ikipakwa kwa usahihi itabaki kuwa dawa na oil chafu itabaki kuwa mafuta tuu.....nyie ndo mafundi mnashaurigi mabosi ujinga wa kufikirika badala ya utaalamu.
 
Back
Top Bottom