Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
- Thread starter
- #41
Weka link ya hilo tangazo, achana na vipeperushi vya MFUKONI (Habari ni sahihi, lakini HAKUNA SEHEMU RASMI lilipowekwa, wewe mwenyewe umeshindwa kuweka link umeishia kusema nenda kwenye tovuti ya wizara). Nchi ngumu sana hii..Ingia website ya wizara ya kilimo
Mi naongea tu vitu nilivyoviona, sipo kichama wala itikadi yyt ndugu