Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Kwahiyo yanatuhusu kama wananzengo na watanzania?
 
Huenda theory zimeniathiri, ila nina ndugu yangu kule tunamsomesha kwa hela zetu za kuunga unga.

Hela zinatoka huku anatumiwa dollar 1000 moja kumsaidia kujikimu.

Wakati mwingine hata kama huna unatakiwa kuwatumia angalau kidogo huku ukiwaambia uko vibaya.

Mara ngapi kwenye familia zetu tunarudi mikono mitupu na wanatuelewa. Ila siku tukipata unakuta tuna rudi na Samaki, Nyama, Mchele n.k

Yaani Mwanaume ni lazima uwe responsible na familia yako. Usitegemee watoto wako waje walelewe na Mwanaume mwingine wakati wewe upo. Ungekuwa hutaki hayo majukumu ya kulea ilikuwa vyema lile bao ulilokojoa ungepigia Nyeto kuliko kuja kutesa malaika wasio na hatia
 
Kwan walikuwa wamepoteana yaani baba akimbie huku akijua alafu mtoto apate kazi ya kumtafuta imekuwa hide n seek
Kwenye ile story ya Le mutuz ya maisha yake, kama nakumbuka vizuri jamaa alisimulia jinsi watoto wake walivyokuja bongo wakawa wanazuiwa wasiende kumsalimia na alijaribu kidogo kuwatafuta ila akafungiwa vioo ili asionane nao. Kwa umri wa watoto nafikiri ilitakiwa mawasiliano yao yawe both ways na sio one way only, kwamba baba ndio awatafute watoto tu, maana kiumri hao ni watu wazima wala sio watoto tena. Kuna sehemu ina tatizo hapo.
 
Ila tukiacha chuki wivu na roho mbaya Lemutuz ni MTU anayestahili tuzo ya heshima ni jembe kweli...

Jamaa kapitia haso sana hua najiona mpambanaji lakini Kwa huyu jamaa sijafika hata 1/10 ya haso zake. Pamoja na mambo yake mengine ambayo ni "umarekani" Lakini jamaa NI kitabu kuna mengi Sana mazuri ya kujifunza Kwa huyu bwana mkubwa...
Kama kuna kitu natamani maishani basi ni kupiga Stori hata dakika kumi na huyu jamaa ntafurahi Sana...

Bwana Willy Marecela najua wewe ni mdau wa humu kama utasoma komenti yangu hii jua nakukubali Sana. Naomba one day kukutana na wewe bro!
 
Yaani anakubalika sana tu akikaa kwenye Nondo za kueleweka Sasa akianzaga mapichaPicha kusutana na wauza bar mara mange mara niko mara 5 star hotel mabebez ( vichangu vya kawaida tu)
ndio dooh unaona huyu dishi lishaibiwa๐Ÿ˜๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ,
Watoto hawa siku hizi tupoo nao humu mtandaoni wanasoma kila kitu sasa wajue we baba yao kiazi namna ile ndio unapewa maneno yale ya hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ