Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Naona baadhi yetu Wanaume humu tumehuzunishwa na kitendo alichofanyiwa Le Mutuz, ila ni muhimu nasi kujirekebisha na kujitahidi kuhudumia familia zetu ( Being responsible Father).

Kuna wanaume wanatelekeza watoto wao wa kuwazaa na kuwakimbia bila msaada wowote, alafu unategemea huyo mtoto/ watoto akue/ wakue huku akikupenda. Hapo mtakuwa mnajidanganya tu.

Hata kama ningekuwa mimi nisingempenda huyo Baba yangu wa mchongo aliyejua kunikojoa tu bila matunzo.
 
Yani unamtukana baba yako halafu unamblock.

Nani mwenye access na simu ya huyu mtoto? Hivi habari ufikishe kwa Kigagula Mange mwenye followers sijui million 10 kuna siri gani tena hapo?
Dgo kazingua huwezi kumjibu Mzee hivi mambo Yao na mama Yao walipaswa kutokuingilia hayo ni malezi mabaya ya mama Yao mshure ni mshure Tu ata angekuwaje

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume nao wanakuja juu mkuu.

Aliyeanzisha huu uzi eti naye mwanamme.

Unaona ndoa ya mwanamme mwenzako imeteketea, familia imefarakana, eti na wewe unayejiita mwanamme unaeneza hizo habari mitandaoni.

Watu huwajui, hawakujui.

Unajipa umuhimu tu katika maisha yao!
Na bado umeweka kambi kwenye thread ya umbea.

Declare interest, maana na wewe upo New York na Neema yupo New York.
 
Eeeh ukiwa mtu maarufu jiandae na public opinion iwe ya kuonya ya kutukanwa etc. Kama hutaki hiyo kadhia usiwe maarufu.
Kule celebrity forum tunamuongelea kanye west yupo marekani na tunamuongelea kama tunakaa naye nyumba moja. Na sio watanzania tu nchi yoyote mtu maarufu lazima jambo lake likija public liongelewe kwa kuonya, kushangaa na hata kupongeza
It's the life you chose.

Wote. Hao maarufu, na nyie mnaowasengenya na kueneza fitna.

Mimi kwa kweli nikifikiri sana, kuanza kumuongelea Le Mutuz na familia yake inakuwa ngumu.

Simjui kihivyo, kumsoma social media si kumjua, mambo ya familia mengi sana, na hata ningemjua ningeongea naye mwenyewe. Nisingekaanga mbuyu mitandaoni.

Siwezi kujipa umuhimu sana katika shauri nisilolijua, kumhusu mtu ambaye simfahamu, ambaye hata hajaniomba ushauri.

Kujipa umuhimu hivyo ni dalili ya emptiness katika maisha ya mtu. Ni kama vile mtu hana familia yake kuiangalia, hana kazi zake za kufuatilia, anaishia kuishi maisha yake kwa kumfuatilia Le Mutuz.

Yani mtu anakuwa na maisha empty mpaka anajitengenezea ukaribu wa kufikirika na Le Mutuz anajiona na yeye kama mwanafamilia wa familia ya Le Mutuz vilee.

Ni aina fulani ya emptiness.
 
Dgo kazingua huwezi kumjibu Mzee hivi mambo Yao na mama Yao walipaswa kutokuingilia hayo ni malezi mabaya ya mama Yao mshure ni mshure Tu ata angekuwaje

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kabisa kama CHAPUTA tumelaani vikali tukio hili ntamani Lemutuz angekuwa Chaputa huyo dogo asingekuwepo leo [emoji23]
 
Ni kweli, ila Neema tuko naye hapa jamvini kitambo, namfikishia ujumbe wake kwa hili hapana, amekosea sana.

Wote tunamjuwa vizuri Le Mutuz humu ni mtu mzima hovyo, lakini Neema kuwalisha Sumu Watoto haikubariki.

Tuna ndugu zetu wamezaa unyamwezini miaka na miaka lakini mtoto anajuwa mpaka shikamoo.

Mbona Wahindi popote wanapozaliwa bado anakuwa ni muhindi yuleyule?

Eti suck my dick, halafu mama mzima unapeleka huu ujinga kwa Mange ili Watoto wako waonekane wasivyo na akili?
Mzee hii habari yako mbona haina receipts? Wengine hatujaona hiyo sakmy d...
 
It's the life you chose.

Wote. Hao maarufu, na nyie mnaowasengenya na kueneza fitna.

Mimi kwa kweli nikifikiri sana, kuanza kumuongelea Le Mutuz na familia yake inakuwa ngumu.

Simjui kihivyo, kumsoma social media si kumjua, mambo ya familia mengi sana, na hata ningemjua ningeongea naye mwenyewe. Nisingekaanga mbuyu mitandaoni.

Siwezi kujipa umuhimu sana katika shauri nisilolijua, kumhusu mtu ambaye simfahamu, ambaye hata hajaniomba ushauri.

Kujipa umuhimu hivyo ni dalili ya emptiness katika maisha ya mtu. Ni kama vile mtu hana familia yake kuiangalia, hana kazi zake za kufuatilia, anaishia kuishi maisha yake kwa kumfuatilia Le Mutuz.

Yani mtu anakuwa na maisha empty mpaka anajitengenezea ukaribu wa kufikirika na Le Mutuz anajiona na yeye kama mwanafamilia wa familia ya Le Mutuz vilee.

Ni aina fulani ya emptiness.
Mbona na wewe una conclude character za watu kwa maneno machache tu ya humu. Basi na sisi tutaongelea familia ya lemutuz kwa yale machache wanayoyaleta mitandaoni.
 
Hawa wote hawana adabu.
Labda kwa wale ambao tupo JF muda mrefu tunafahamu vizuri William Malecela Le Mutuz na Neema Ngwilulupi walikuwa ni wana ndoa na wanaishi Marekani ni member wenzetu wa hapa JF.

Le Mutuz alishaandika mwenyewe historia ya maisha yake Marekani Kwahiyo Mimi sina cha kuongeza.

Ila nimesikitika sana kuona Neema ni sample ya wanawake wajinga kushirikiana na Mange Kimambi kumdhalilisha Le Mutuz wakati kimsingi aibu inarudi kwa Neema Ngwilulupi mwenyewe mwenye custodian ya kuwalea Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili.

Neema Ngwilulupi ni Mtanzania, na tunaojuwa vizuri alipata kazi kwa upendeleo Marekani kwa sababu ya jina la Mzee Malecela, leo hii inakuwaje ameshindwa kulea Watoto ambao ni Watanzania kwa baba na mama ila ni Wamarekani tu kwa kuzaliwa?

Hivi mtoto aliyelelewa kwa maadili anaweza kumjibu baba yake mzazi "Saki my diki"?

Ugomvi wa Le Mutuz na Neema watajuwana wenyewe walishindwana wapi lakini kumshirikisha Mange Kimambi kiumbe aliyeumbwa na roho tu bila kuwa na nafsi hii ni aibu yako mwenyewe Neema Ngwilulupi.

Kwakuwa Neema Ngwilulupi wewe ni member mwenzetu mkongwe hapa JF, nimeona nikufikishie ujumbe wako hapa umechemka, hata kama William ni mjinga kiasi gani kumpelekea Mange WhatsApp text charts za William na Watoto wake hii aibu inarudi kwako mwenyewe mwenye custodian ya Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili mema, hao wanao hata wajifanye Wamarekani lakini ni wagogo tu wa Mtera.

Nimemaliza.
 
Mbona na wewe una conclude character za watu kwa maneno machache tu ya humu. Basi na sisi tutaongelea familia ya lemutuz kwa yale machache wanayoyaleta mitandaoni.
Mimi najadiliana na hao watu wenyewe. Tena mara nyingi naongelea hoja, si mtu.

Nyie mnamjadili Le Mutuz. Anaishi rent free vichwani mwenu.

Mwenyewe hata hawajui na kwa akili yake isiyo soni hata hawajali mnasema nini.
 
Kwani lemutuz ametoa ushahidi wa kuwapa milioni kila siku halafu bado hayo yakatokea!?
Tusitafute excuses kwa kutowajibika
Kwa comment hii Nina uhakika wa 100% hujawahi kupata ukweli wa upande wa Pili.

Wengi tumetokea kumchukia William kwa vitabia vyake binafsi, lakini kuhusu family ameandika vizuri sana tena very clear historia ya maisha yake Marekani.

Utoto unaouona anafanya ni kama kujitafutia Tiba mbadala kwa maumivu aliyofanyiwa na Neema.

Tatizo letu Wabongo hata mtu akiandika kitabu cha historia yake hamtaki kusoma mnataka negativity za Mange tu.
 
Mambo ya kifamilia haya tuwaachie wenyewe...

Le Mutuz na huyo mkewe hawajaanza leo kunangana kwenye mitandao...

Unajua nini mzee baba, watu wengi wanasahau kuwa mwisho wa siku tunakuja kufa tu pamoja na mbwembwe zote za huyu kumchukia yule n.k
Kufuatilia sana mambo ya familia ya mtu baki ni dalili ya mtu kukosa kazi na kukosa kufuata hamsini zake.

Ni dalili ya mahusiano ya jamii za kijima.
 
Kama ndio njia inayomuingizia pesa unategemea nini?

Yeye na Bongo zozo tofauti yao ndogo, Bongo zozo ni mzungu hawanaga kaswende ya ubongo, na Pili blogging ya Bongo zozo ni ya kitalii zaidi siyo ya Bata kama anavyotaka kujibrand huyo mtu mzima hovyo.
Njia inayomuingizia pesa mbona inaeleweka !! Huyu mzee ni mshamba tu wa wanawake
 
Naijua, ndio maana nimesema ukizaa uwe tayari kuwajibika kwa watoto wako. Huwezi Acha!
Kutokutimiza wajibu kama mzazi ndio matokeo ya matatizo yote haya
Kama thinking capacity yako iko hivi basi Wewe ni follower mzuri wa Mange.

Yani Wewe ni Mtanzania na Mimi Mtanzania, halafu unizinguwe tupeane divorce uniingize kwenye mfumo wa Marekani?

Nani anakubali huu ujinga?
 
Back
Top Bottom