Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Hizo mila ndizo zinawafanya muwe masikini.

Badala ya kufuatilia mambo yenu mnatoa mimacho kwa mambo ya wenzenu.

Hizi ni tabia za kijima.
Mbona wewe unajifanya hufuatilii mbona maskini tu!au na hili utabisha?maana hapa mjini huna hata product unayomiliki japo isomeke"KIRANGA KARANGA"unamili UBISHI tu
 
Sawa mkuu alichofanya huyo Mama sio sahihi na Kwa vile umeshakua ugomvi wa kifamilia, Kiranga sio kwamba anatetea au kusema mambo Yako shwari, la hasha. Kama nimemwelewa vizuri na nnavyofikiria Mimi, tungewaachia wakapambana nalo wenyewe hukohuko.

Na kama kweli lengo ni kumfikishia ujumbe mwanachama mwenzetu wa JF, ungeweza kumwandikia peke yake nabila shaka angeona kweli Kuna Nia ya dhati ya kurekebisha na kukosoa Kwa staha. Lakini hii ya kuja kumwaga hapa ni kama umesaidia ipasavyo kazi ya hao hao unaowalaumu.

Mwisho wa siku hapa JF Kila mmoja ana mambo yake mengi na tuna watu wa kaliba zote na uchafu wa Kila aina, ukisema uhangaike na members wenzetu hapa utakuta unapoteza muda wako wa muhimu na usipate matokeo unayoyatakani Kwa hao watu.

Unatarajia kweli huyo Mama atabadilika Kwa huu Uzi?
Sema wewe mkuu.

Nikisema mimi naitwa Kiranga Muha.

Nimesikitika sana kwa niaba ya Waha wote tulivyonyanyapaliwa hapa kikabila.
 
..
Hii ni tabia ya Kitanzania, ndo Mila zetu ndo tulivyokuzwa....umesahau huku kwetu ukikosea hata uwe na midevu unatandikwa fimbo na wazee mbele ya nzengo? Huku suala la maadili ni la wote....au toka uende ughaibuni umesahau mila zetu? Ndo maana vitoto vyenu vinawatukana wazazi wao saki mai diki🤣🤣🤣
Never uproot pumpkin in your household....tunatunza Mila zetu za Kitanzania.
Hana lolote huyo,, anapendaga kubisha vitu viko wazi kabisaa,hao ughaibuni wenyewe wanaheshimu Wazazi wao itakuwa hako katoto kagogo ka mpwawa
 
Naongopa mkuu?

Halafu hao hao ndo utakuta wanakuhubiria dini wewe usiye na dini.

Na dini zao wanasema zimekataza kusengenyana, zimekataza fitna na umbeya. Zinahimiza kueneza habari za kujengana, si kubomoana. Wanasema zinahimiza kufadhiliana na kuhifadhiana.

Halafu wewe mtu usiye na dini ndiye unakuwa mtu wa kuwaambia hapa mnaeneza fitna, hapa mnaeneza umbeya.

Yani mtu usiye na dini ndiye unafanya kama wanavyotakiwa kufanya wenye dini, wenye dini wanaeneza fitna na umbeya.
Uko sahihi mkuu.
 
Acha apate anachostahili,miaka kumi.hajui watoto wamekula nini,wamevaa nini,matibabu nk.Halafu anashowoff kwenye mitandao yupo kwenye Mahotel ya Lux .Yupo na mabilionea wa Kitz. From no where anakuja eti wayajenge.Kala ujana sasa uzee ndo anataka ahangaike na wanae.
Huyo mtoto wa kiume kumtukana hivyo Baba yake ni akikumbuka miaka 10 ya mateso bila Baba yake.Mtoto na block akapiga. Usimlaum Neema .Wale watoto wana miaka 18 +.Si watoto tena.
 
Mkuu achana nae huyo,usipoteze muda kuhangaika nae,hua anajifanya mjuaji wa kila jambo,hiyo issue kama tayari ipo mitandaoni utasemaje tena kua inasambazwa?

Hao watoto wanaomtukana hivyo Baba yao wana umri gani?
Watoto wapo 18+.Huyo wa kike kishamaliza chuo kikuu degree ya kwanza. Haina haja ya kutoa lawama kwa mama yao.Watoto ni watu wazima tayari.Huyo Noela ni 24 this year.
 
Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...

Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....

mangekimambi_-20230417-0001.jpg
mangekimambi_-20230417-0002.jpg



Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...

Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
 
Huyo Lemtuz , anabidi kujiheshimu kwanza nashangaa baba Mtu mzima wa age 60s anapost kalala na bitches Sasa huyo Nani atamuheshimu? It about fucking father.

Watz tunabidi kuacha umbea.
Watanzania tunapenda umbeya kuliko chochote.Si unaona Mange kajua na kakamata fursa. Imagine watu wanalipia app,instagram ya Mange eti kumuona mtoto wa majizzo,sijui kujua ugomvi wa Mond na Esma,sijui mtoto wa Nandy.
Seriousily ukishamwona mtoto wa majizzo unaongezekewa au kupungukiwa na nini?
 
Sijawai kujua kama kumuita mtu kwa kabila ni kumnyanyapaa.Yaani mie mtu aniite we mnyakyusa halafu niseme nimenyanyapaliwa hapana kwa kweli,mambo mengine mnayakuza tu...anyways imenibidi niende off point kwani nimepitia comments nikaona nichangie kwenye hilo........
 
Acha apate anachostahili,miaka kumi.hajui watoto wamekula nini,wamevaa nini,matibabu nk.Halafu anashowoff kwenye mitandao yupo kwenye Mahotel ya Lux .Yupo na mabilionea wa Kitz. From no where anakuja eti wayajenge.Kala ujana sasa uzee ndo anataka ahangaike na wanae.
Huyo mtoto wa kiume kumtukana hivyo Baba yake ni akikumbuka miaka 10 ya mateso bila Baba yake.Mtoto na block akapiga. Usimlaum Neema .Wale watoto wana miaka 18 +.Si watoto tena.
Hata ingekuwa miaka 100... kama zina charge huwezi mtukana mtu ulietoka viunoni mwake.. baba anabaki kuwa baba tu, hakuna baba wawili.. na sio tu kumtukana baba, haifai hayo matusi kumtukana mtu yoyote kwa mtu alie timamu.. zipo namna nyingi na lugha zenye stahaa za kuonesha hujapendezwa na jambo
 
Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...

Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....

View attachment 2590634View attachment 2590635


Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...

Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
Why lemutuz , hakui ujanja Mwingi mbele giza
 
Sijawai kujua kama kumuita mtu kwa kabila ni kumnyanyapaa.Yaani mie mtu aniite we mnyakyusa halafu niseme nimenyanyapaliwa hapana kwa kweli,mambo mengine mnayakuza tu...anyways imenibidi niende off point kwani nimepitia comments nikaona nichangie kwenye hilo........
Watu wengi kama wewe.

1. Hawajui kusoma kwa ufahamu.
2. Hawana akili ya kuujua unyanyapaa pale wanapouona.

Mtu akikwambia wewe mbishi kama Muha, maana yake kawanyanyapaa Waha kuwa wote ni wabishi, na kakunyanyapaa wewe kuwa mbishi kama Muha.

Ila sitegemei uelewe hili kwa sababu 1 na 2 hapo juu.
 
Back
Top Bottom