Boma Liwanza...
View attachment 2590570
Na hapa ndipo anapokosea Le mbebez, unajua ukisoma zile chats, Yule mtoto wa kike anaonekana ana maumivu Makali kuliko mtoto wa kiume. Na hii ni nature watoto wa kike wanapenda Baba zao kuliko wa kiume (refer Freud's theory).
Tena binti anaonekana Yuko tayari kuyajenga na Baba yake, na amemueleza kosa lake, amemueleza afanye nini Ili wawe Sawa....Ila ona alichojibu Le mutuz, anazidi kumshambulia msumari WA Moto eti marafiki zao ndo wamemtuma ayamalize na wao, 😳😳 so haitoki moyoni?
Ushauri wangu ni kwamba still ana nafasi Kwa huyo binti yake, ajishushe, apunguze ego isiyo na maana.
Kingine aachane na haya madrama na mapicha picha, watoto wa kike tuna wivu sana Kwa Baba zetu, aishi low key huku akitafuta maridhiano plus vizawadi. Yaani namhakikishia atakula bata maisha yake yaliyobaki hapa duniani. Aachane na madanga, Kwanza hawara hana shukrani.