Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How old is the boy? Is he a 5 years kid?Lakini, siku hizi Kuna 'whatsapp chart generators' , isijekuwa huyo Mange katumia technology hiyo.
Najaribu kutafuta innocence ya mtoto wetu.
Lakini, siku hizi Kuna 'whatsapp chart generators' , isijekuwa huyo Mange katumia technology hiyo.
Najaribu kutafuta innocence ya mtoto wetu.
Hapa duniani hakuna mtu aliyekuwa anamuheshimu huyo Mange kumzidi Dada yake Le Mutuz Dr Mwele R.I.P.Naona kama mange kimavi katengeneza charts za mchongo!
Ungemtafuta Neema uongee naye kama unamjua kihivyo na kujali sana familia yake.Yani unamtukana baba yako halafu unamblock.
Nani mwenye access na simu ya huyu mtoto? Hivi habari ufikishe kwa Kigagula Mange mwenye followers sijui million 10 kuna siri gani tena hapo?
Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....Mkuu,
Hapa imekuwa kama vile ugomvi wa wanafamilia wewe unaupaisha uenee zaidi mitandaoni.
Mimi nilikuwa sijui habari hizi, nimejua kwako.
Labda kwa wale ambao tupo JF muda mrefu tunafahamu vizuri William Malecela Le Mutuz na Neema Ngwilulupi walikuwa ni wana ndoa na wanaishi Marekani ni member wenzetu wa hapa JF.
Le Mutuz alishaandika mwenyewe historia ya maisha yake Marekani Kwahiyo Mimi sina cha kuongeza.
Ila nimesikitika sana kuona Neema ni sample ya wanawake wajinga kushirikiana na Mange Kimambi kumdhalilisha Le Mutuz wakati kimsingi aibu inarudi kwa Neema Ngwilulupi mwenyewe mwenye custodian ya kuwalea Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili.
Neema Ngwilulupi ni Mtanzania, na tunaojuwa vizuri alipata kazi kwa upendeleo Marekani kwa sababu ya jina la Mzee Malecela, leo hii inakuwaje ameshindwa kulea Watoto ambao ni Watanzania kwa baba na mama ila ni Wamarekani tu kwa kuzaliwa?
Hivi mtoto aliyelelewa kwa maadili anaweza kumjibu baba yake mzazi "Saki my diki"?
Ugomvi wa Le Mutuz na Neema watajuwana wenyewe walishindwana wapi lakini kumshirikisha Mange Kimambi kiumbe aliyeumbwa na roho tu bila kuwa na nafsi hii ni aibu yako mwenyewe Neema Ngwilulupi.
Kwakuwa Neema Ngwilulupi wewe ni member mwenzetu mkongwe hapa JF, nimeona nikufikishie ujumbe wako hapa umechemka, hata kama William ni mjinga kiasi gani kumpelekea Mange WhatsApp text charts za William na Watoto wake hii aibu inarudi kwako mwenyewe mwenye custodian ya Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili mema, hao wanao hata wajifanye Wamarekani lakini ni wagogo tu wa Mtera.
Nimemaliza.
Ningeelewa sana comment hii ingeandikwa na mtu mwingine lakini siyo wewe.Ungemtafuta Neema uongee naye kama unamjua kihivyo na kujali sana familia yake.
Otherwise umeikuta familia inawekana uchi, na wewe ukasambaza zaidi hizo habari mitandaoni.
Mtu mwingine anaweza kuona unafurahia hivi visa huku ukijifanya unasikitika.
You are making a very bad situation worse by spreading this horrible saga further online.
Ukiitwa mwanamme mmbeya siwezi kukutetea.
Asantee (in Anna Makinda voice)Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....
Acha tuingilie pa kukanya tukanye, jamani Sisi wote ni wazazi au wazazi watarajiwa, tena hatuijui kesho yetu na wazazi wenza wetu, Le mutuz kakosewa....sio Kwa Ile mitusi hasa ya Yule mtoto wa kiume.
Waite kataa ndoa wotee, waje wajionee mitusi watayokula miaka 16 ijayo kutoka Kwa kina Juniors ambao wamewaachia single mothers wawalee🤣🤣🤣Kama ni kweli hiyo chart, huyo mama anakosea sana, hajui kesho yake
Ugomvi ni wa baba mama na watoto.Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....
Acha tuingilie pa kukanya tukanye, jamani Sisi wote ni wazazi au wazazi watarajiwa, tena hatuijui kesho yetu na wazazi wenza wetu, Le mutuz kakosewa....sio Kwa Ile mitusi hasa ya Yule mtoto wa kiume.
Wewe umekuwa mmbea.Ningeelewa sana comment hii ingeandikwa na mtu mwingine lakini siyo wewe.
Unamjuwa Neema vizuri iwe individual au kupitia hapa JF,
Bahati nzuri Bill ameelezea kwa ufasaha historia yake ya maisha Marekani, nampongeza kwa kuandika historia yake yeye mwenyewe na siyo kuandikiwa.
Inawezekana kutokana na mitkasi ya maisha basi hujui vingi na hata ukupata muda wa kumsona Willy.
Mwisho sihitaji utetezi wako, kuitwa umbea kwenye fact kwangu sioni tatizo lolote.
Saki my diki.
Tusi lenyewe limeandikwa kwa msisitizo kweli kweli yani maherufi makubwa yote. Hatari hiyo malezi ya namna hiyoWaite kataa ndoa wotee, waje wajionee mitusi watayokula miaka 16 ijayo kutoka Kwa kina Juniors ambao wamewaachia single mothers wawalee🤣🤣🤣
Yani ugomvi wa Familia mkagombanie Instagram? Halafu eti mediator ni Kigagula Mange Kimambi?Ugomvi ni wa baba mama na watoto.
Ni wa familia. Wengine mnajiingiza tu katika ugomvi wa familia.
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Yaani wewe kaka lazima origin yako Ni Muha!yaani Kila kitu huwaga unabisha kila kituuu..halafu kila kitu unajua jamani huko ughaibuni Kuna Nini huko?Wewe umekuwa mmbea.
Ugomvi wa familia kati ya baba mama na watoto unaueneza mitandaoni.
Waache wenyewe wagombane kifamilia, watapatana kifamilia.