Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Boma Liwanza...
Screenshot_2023-04-17-07-17-55-487-edit_com.instagram.android.jpg
 
Lakini, siku hizi Kuna 'whatsapp chart generators' , isijekuwa huyo Mange katumia technology hiyo.

Najaribu kutafuta innocence ya mtoto wetu.

Naona kama mange kimavi katengeneza charts za mchongo!
Hapa duniani hakuna mtu aliyekuwa anamuheshimu huyo Mange kumzidi Dada yake Le Mutuz Dr Mwele R.I.P.

Kwahiyo sina shaka yoyote hizi chart ni genuine na amepewa na Neema Ngwilulupi.
 
Yani unamtukana baba yako halafu unamblock.

Nani mwenye access na simu ya huyu mtoto? Hivi habari ufikishe kwa Kigagula Mange mwenye followers sijui million 10 kuna siri gani tena hapo?
Ungemtafuta Neema uongee naye kama unamjua kihivyo na kujali sana familia yake.

Otherwise umeikuta familia inawekana uchi, na wewe ukasambaza zaidi hizo habari mitandaoni.

Mtu mwingine anaweza kuona unafurahia hivi visa huku ukijifanya unasikitika.

You are making a very bad situation worse by spreading this horrible saga further online.

Ukiitwa mwanamme mmbeya siwezi kukutetea.
 
Mkuu,

Hapa imekuwa kama vile ugomvi wa wanafamilia wewe unaupaisha uenee zaidi mitandaoni.

Mimi nilikuwa sijui habari hizi, nimejua kwako.
Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....
Acha tuingilie pa kukanya tukanye, jamani Sisi wote ni wazazi au wazazi watarajiwa, tena hatuijui kesho yetu na wazazi wenza wetu, Le mutuz kakosewa....sio Kwa Ile mitusi hasa ya Yule mtoto wa kiume.
 
Labda kwa wale ambao tupo JF muda mrefu tunafahamu vizuri William Malecela Le Mutuz na Neema Ngwilulupi walikuwa ni wana ndoa na wanaishi Marekani ni member wenzetu wa hapa JF.

Le Mutuz alishaandika mwenyewe historia ya maisha yake Marekani Kwahiyo Mimi sina cha kuongeza.

Ila nimesikitika sana kuona Neema ni sample ya wanawake wajinga kushirikiana na Mange Kimambi kumdhalilisha Le Mutuz wakati kimsingi aibu inarudi kwa Neema Ngwilulupi mwenyewe mwenye custodian ya kuwalea Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili.

Neema Ngwilulupi ni Mtanzania, na tunaojuwa vizuri alipata kazi kwa upendeleo Marekani kwa sababu ya jina la Mzee Malecela, leo hii inakuwaje ameshindwa kulea Watoto ambao ni Watanzania kwa baba na mama ila ni Wamarekani tu kwa kuzaliwa?

Hivi mtoto aliyelelewa kwa maadili anaweza kumjibu baba yake mzazi "Saki my diki"?

Ugomvi wa Le Mutuz na Neema watajuwana wenyewe walishindwana wapi lakini kumshirikisha Mange Kimambi kiumbe aliyeumbwa na roho tu bila kuwa na nafsi hii ni aibu yako mwenyewe Neema Ngwilulupi.

Kwakuwa Neema Ngwilulupi wewe ni member mwenzetu mkongwe hapa JF, nimeona nikufikishie ujumbe wako hapa umechemka, hata kama William ni mjinga kiasi gani kumpelekea Mange WhatsApp text charts za William na Watoto wake hii aibu inarudi kwako mwenyewe mwenye custodian ya Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili mema, hao wanao hata wajifanye Wamarekani lakini ni wagogo tu wa Mtera.

Nimemaliza.

Inatuhusu nini si wa Yanga wenye majonzi?
 
Ungemtafuta Neema uongee naye kama unamjua kihivyo na kujali sana familia yake.

Otherwise umeikuta familia inawekana uchi, na wewe ukasambaza zaidi hizo habari mitandaoni.

Mtu mwingine anaweza kuona unafurahia hivi visa huku ukijifanya unasikitika.

You are making a very bad situation worse by spreading this horrible saga further online.

Ukiitwa mwanamme mmbeya siwezi kukutetea.
Ningeelewa sana comment hii ingeandikwa na mtu mwingine lakini siyo wewe.

Unamjuwa Neema vizuri iwe individual au kupitia hapa JF,

Bahati nzuri Bill ameelezea kwa ufasaha historia yake ya maisha Marekani, nampongeza kwa kuandika historia yake yeye mwenyewe na siyo kuandikiwa.

Inawezekana kutokana na mitkasi ya maisha basi hujui vingi na hata ukupata muda wa kumsona Willy.

Mwisho sihitaji utetezi wako, kuitwa umbea kwenye fact kwangu sioni tatizo lolote.

Saki my diki.
 
Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....
Acha tuingilie pa kukanya tukanye, jamani Sisi wote ni wazazi au wazazi watarajiwa, tena hatuijui kesho yetu na wazazi wenza wetu, Le mutuz kakosewa....sio Kwa Ile mitusi hasa ya Yule mtoto wa kiume.
Asantee (in Anna Makinda voice)
 
Ingekuwa ugomvi WA kifamilia Kama wangetukanana sebuleni kwao huko yakaishia huko, Ila kuvujisha zile chats kusudi, tena sio kuvujisha, kuzipeleka makusudi Kwa Mange, sio ugomvi wa kifamilia tena....
Acha tuingilie pa kukanya tukanye, jamani Sisi wote ni wazazi au wazazi watarajiwa, tena hatuijui kesho yetu na wazazi wenza wetu, Le mutuz kakosewa....sio Kwa Ile mitusi hasa ya Yule mtoto wa kiume.
Ugomvi ni wa baba mama na watoto.

Ni wa familia. Wengine mnajiingiza tu katika ugomvi wa familia.
 
Ningeelewa sana comment hii ingeandikwa na mtu mwingine lakini siyo wewe.

Unamjuwa Neema vizuri iwe individual au kupitia hapa JF,

Bahati nzuri Bill ameelezea kwa ufasaha historia yake ya maisha Marekani, nampongeza kwa kuandika historia yake yeye mwenyewe na siyo kuandikiwa.

Inawezekana kutokana na mitkasi ya maisha basi hujui vingi na hata ukupata muda wa kumsona Willy.

Mwisho sihitaji utetezi wako, kuitwa umbea kwenye fact kwangu sioni tatizo lolote.

Saki my diki.
Wewe umekuwa mmbea.

Ugomvi wa familia kati ya baba mama na watoto unaueneza mitandaoni.

Waache wenyewe wagombane kifamilia, watapatana kifamilia.
 
Ugomvi ni wa baba mama na watoto.

Ni wa familia. Wengine mnajiingiza tu katika ugomvi wa familia.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Yani ugomvi wa Familia mkagombanie Instagram? Halafu eti mediator ni Kigagula Mange Kimambi?

Sielewi kwa nini huoni makosa ya Neema kuleta hili swala kwa mtu ambaye ni enemy wa furaha za watu wengine?
 
Back
Top Bottom