The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu achana nae huyo,usipoteze muda kuhangaika nae,hua anajifanya mjuaji wa kila jambo,hiyo issue kama tayari ipo mitandaoni utasemaje tena kua inasambazwa?Yani ugomvi wa Familia mkagombanie Instagram? Halafu eti mediator ni Kigagula Mange Kimambi?
Sielewi kwa nini huoni makosa ya Neema kuleta hili swala kwa mtu ambaye ni enemy wa furaha za watu wengine?
Hao watoto wanaomtukana hivyo Baba yao wana umri gani?