Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Attachments

  • Screenshot_2023-04-17-07-06-37-57.png
    Screenshot_2023-04-17-07-06-37-57.png
    136.5 KB · Views: 8
Kwa comment hii Nina uhakika wa 100% hujawahi kupata ukweli wa upande wa Pili.

Wengi tumetokea kumchukia William kwa vitabia vyake binafsi, lakini kuhusu family ameandika vizuri sana tena very clear historia ya maisha yake Marekani.

Utoto unaouona anafanya ni kama kujitafutia Tiba mbadala kwa maumivu aliyofanyiwa na Neema.

Tatizo letu Wabongo hata mtu akiandika kitabu cha historia yake hamtaki kusoma mnataka negativity za Mange tu.

Wewe unaujua ukweli!?
Unajua kwamba lemutuz alijitoa ufahamu kuhusu watoto hadi baba yake akaingilia Kati kwamba kama anatofauti na mama watoto awajibike kwa watoto akaendelea kuwa kichwa ngumu!!!???
Asilalamike alipanda sasa avune
Kimbia majukumu ila kumbuka Fainali uzeeni
 
Kabisa kama CHAPUTA tumelaani vikali tukio hili ntamani Lemutuz angekuwa Chaputa huyo dogo asingekuwepo leo [emoji23]
Hili tukio sio kabisa hila Bora Tu angepiga Nyeto kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Angeishi nae halafu aseme
Mwanaume asiyejua mtoto anakula nini, analala wapi, anasomaje sio wa kutetea hata kidogo
Halafu wanaume muonage haya kwenye hili
Labda tuanze na mama mtu, unajuwa anafanya kazi taasisi ipi na kwa influence ya nani!
 
Narudia tena sio lemutuz tu, mtu yeyote maarufu jambo lake likija public lazima liongelewe.
Sijasema Le Mutuz tu, sijasema lisiongelewe.

Nawaeleza hiyo ni dalili ya emptiness.

Ni kama vile watu wameshindwa kusimamia maisha yao, wanafurahi kuona matatizo ya wengine.

Yani mtu mwingine kupata matatizo yakajulikana public inawapa nafuu fulani.

Wanajiona afadhali wao pamoja na matatizo yao yote, hawajadhalilika hivi publicly.

Ni aina fulani ya saikolojia inayoonesha maisha yaliyo very empty.

Watu wengi wako hivyo. Si wewe tu.

Wajerumani wana neno kabisa katika lugha yao kuelezea hili.

Schadenfreude.
 
Kama thinking capacity yako iko hivi basi Wewe ni follower mzuri wa Mange.

Yani Wewe ni Mtanzania na Mimi Mtanzania, halafu unizinguwe tupeane divorce uniingize kwenye mfumo wa Marekani?

Nani anakubali huu ujinga?

Acha uboya, ulitaka mfumo wa wapi ndio utumike wakati unaishi marekani
Na aflipoacha kutimiza majukumu yake alitaka nani afanye!? Wanaume hawakimbii majukumu wanapambana nayo
 
Sijasema Le Mutuz tu, sijasema lisiongelewe.

Nawaeleza hiyo ni dalili ya emptiness.

Ni kama vile watu wameshindwa maisha yao, wanafurahi kuona matatizo ya wengine.

Yani mtu mwingine kupata matatizo yakajulikana public inawapa nafuu fulani.

Wanajiona afadhali wao pamoja na matatizo yao yote, hawajadhalilika hivi publicly.

Ni aina fulani ya saikolojia inayoonesha maisha yaliyo very empty.

Watu wengi wako hivyo. Si wewe tu.

Wajerumani wana neno kabisa katika lugha yao kuelezea hili.

Schadenfreude.
Ahaaaa mbona hapo unaiongelea character ya mange [emoji3] halafu huo uwingi unaoutumia na wewe umo sema hujijui tu
 
Huwezi kuwageuza Watoto kama fimbo ya kumchapia mtalaka wako, hasa kwakuwa Wewe ndio mwenye custodian.

Pamoja na upuuzi wote wa Le Mutuz lakini alifanya jambo la maana sana kuandika historia yake kwa mkono wake kabla hajafa.

Kama unaujuwa upande wa Pili wa shilling wa William pamoja na mapungufu yake yote ambayo wengi tunayajuwa lakini hakuwa mbaya kihivyo kama tunavyotaka kuaminishwa.

Hizi tabia za kuwatumia Watoto kuwachapia baba zao kwa ugomvi wenu binafsi hazifai.

Leo hii Watoto hawajui kama mama yao alikuwa anakazwa hovyo ndio ugomvi ulipoanzia lakini hayo yote mnayaficha, je Le Mutuz naye awaambie mama yao Malaya?
Hiyo historia yake ipo wapi tukaisome
 
Ahaaaa mbona hapo unaiongelea character ya mange [emoji3] halafu huo uwingi unaoutumia na wewe umo sema hujijui tu
Mange hajaanzisha thread JF.

Mimi naonesha jinsi Wabongo walivyo na tabia za kufuatiliana tu.

Yani mtu anaona bora akose hela kuliko kukosa kufuatilia maisha ya mtu baki!
 
Lemutuz, Limbebezi, li akili mingizi, American spirit, Boma liwanza ndio wakuambiwa sak my dik? Gademit these mama's boys siku hizi ni shida aiseee
[emoji23][emoji23]yule mzee bana et boma liwanza sjui gadem sjui American spirit!! Alafu ni mbishi yaani ukimkosoa kidogo tu anachokifanya sio sahihi anakuwashia
 
Back
Top Bottom