ha ha kweli aisee watu wanatembelea salary advance mansasa watu take home 250k, upunguze nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha kweli aisee watu wanatembelea salary advance mansasa watu take home 250k, upunguze nini mkuu?
halafu jamaa anataka alete uchawi tena 😀ha ha kweli aisee watu wanatembelea salary advance man
hizi taasisi kuna zilizo choka, za afadhari/nafuu, nzuri na nzuri Zaidi kwenye maslahi… vyuo viko nafuu kidogo kulinganisha na nilizozitaja hapo mwanzoVipi watumishi wa vyuo vya umma. Kama veta, ud, udom, sua, mhimbili, lgti, ustawi, ifm, n.k
Wao vipi panga litawahusu au na wenyewe wapo pazuri
Wachawi wengi sana humu mwamba na fedha za world bank zitaanza kutoka february mwakani duuhalafu jamaa anataka alete uchawi tena 😀
amna kitu manVipi watumishi wa vyuo vya umma. Kama veta, ud, udom, sua, mhimbili, lgti, ustawi, ifm, n.k
Wao vipi panga litawahusu au na wenyewe wapo pazuri
magereza wanatia Zaidi ya huruma mkuu, wale jamaa ni bora wakawe walinzi wa kampuni binafsi kuliko kuajiriwa kule.
kuna mwamba ni askari magereza kitaani hapa yeye ni mwendo wa faru tuu nikasema daa mtumishi wa ummamagereza wanatia Zaidi ya huruma mkuu, wale jamaa ni bora wakawe walinzi wa kampuni binafsi kuliko kuajiriwa kule.
makunyazi wale ni fashion washazoea, wanapiga vizinga hadi vya buku
faru kivipi mkuu?kuna mwamba ni askari magereza kitaani hapa yeye ni mwendo wa faru tuu nikasema daa mtumishi wa umma
anagonga pombe inaitwa faru ni local bear iko kwenye chupa ya heinekenfaru kivipi mkuu?
😀😀😀ndio Maisha anayoyamuduanagonga pombe inaitwa faru ni local bear iko kwenye chupa ya heineken
mkuu uko taasisi gani kati ya hizo?Miaka 5 unadhani njaa hatujazoea mkuu? ye afanye anavyotaka si ndo mwenye nchi!..Mengine tutajiongeza wenyewe
Mkuu ulozi upo kila sehemu, bila shaka hata wewe pia kama mtumishi wa umma usharogwa pia, mana haiwezekani miaka 5 bila nyongeza na bado mnakenua meno na kupiga makofi bila ya nyongeza😀 😀huogopi kulogwa huko kijijini mkuu?
mkuu unacheza na Maisha ya walimu, ngoja wajeAtukopi kuanzisha biashara tunakopa kuendeleza biashara
Sent from my iPhone using JamiiForums