Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Tujiandae mara ngapi tushajiandaa siku nyingi ...hata kabla hili halijatokea

sent from HUAWEI
 
Assume mtumishi alikopa kipindi awamu hii inaanza let say mkopo wa miaka 5 akibakisha 1/3 ya mshahara pekee.Baada ya kuanza biashara imekata, mkopo wa bodi umeingilia hiyo 1/3 na kufyeka mzigo.Kwa kipindi chote hichi anaugulia maumivu hatari.Hizo ulizotaja awali mshahara basic wa kuanzia hauzidi 950k uwe Mwalimu, Mhandisi, afisa utumishi,tawala, ict, ardhi, sheria n.k. Wakati kuna Taasisi kuna miamba inaanza na 1800k wakati wote mnamiliki degree.Fungua biashara wakuletee Mlolongo wa makodi (pango, manispaa, mamlaka-TMDA,TPRI,ASA, TRA,CROP CESS).Cha msingi ni kuomba uzima tuu kutoka kwa Mungu Baba Mwenyezi tuu.
[emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wa SIDO, TTRI, LITA,RITA mko wapi mbona siwaoni hapa😀😀😀
 
Ngoja nirud katika kazi yangu ya awali ya utendaji wa kijiji, nikifulia tu nachukua migambo tunaanza msako wa gongo na bangi na wale wote wasio na vyoo na mazingira machafu. Kwa mwezi sikosi laki nane ya ziada
Yaani unawashauri wabaki shamba?

Binafsi huwa nawaonea huruma wafanyakazi wa vijijini. Huku Dsm ni kama kichwa chako hakitoshi utaumia. Wale wote waliochukua mkopo na kujengea nyumba, maumivu wanayopata ni kudharirika.

Kila siku nawaambia rafiki zangu ukiishi town jione mjasiriamali zaidi kuliko mfanyakazi. Sijawahi kujuta kuwa Dsm hata siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mishahara ya watumishi wa umma ipunguzwe, tunahitaji hela kwa ajili ya kupambana na corona
 
Ngoja nirud katika kazi yangu ya awali ya utendaji wa kijiji, nikifulia tu nachukua migambo tunaanza msako wa gongo na bangi na wale wote wasio na vyoo na mazingira machafu. Kwa mwezi sikosi laki nane ya ziada

Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀huogopi kulogwa huko kijijini mkuu?
 
Faida ya watumishi wa vijijini ni kununua mazao kama vile ufuta na korosho, ukiwekeza fungu la maana lazima utoboe vizuri tu though ni msimu
Yaani unawashauri wabaki shamba?

Binafsi huwa nawaonea huruma wafanyakazi wa vijijini. Huku Dsm ni kama kichwa chako hakitoshi utaumia. Wale wote waliochukua mkopo na kujengea nyumba, maumivu wanayopata ni kudharirika.

Kila siku nawaambia rafiki zangu ukiishi town jione mjasiriamali zaidi kuliko mfanyakazi. Sijawahi kujuta kuwa Dsm hata siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom