Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Watumishi ni kama mbwa wasio na meno, ni kama hizo haki zao ni fadhira tu.

Hizo haki zao Ni fadhira.... Hapa umekosea Sana. Hizo haki zipo kisheria na sio kutegemea utashi wa mtu au leo huyo mtu ameamkaje au ameshauriwa nn na mkewe...

Watumishi Ni Kama mbwa....
Haya Ni matusi makubwa kwa watumishi...

Wakati mwingine usitoe comment pasipo kuangalia mantik, wapo watu wako wa karibu nao Ni watumishi...
 
Hizo haki zao Ni fadhira.... Hapa umekosea Sana. Hizo haki zipo kisheria na sio kutegemea utashi wa mtu au leo huyo mtu ameamkaje au ameshauriwa nn na mkewe...

Watumishi Ni Kama mbwa....
Haya Ni matusi makubwa kwa watumishi...

Wakati mwingine usitoe comment pasipo kuangalia mantik, wapo watu wako wa karibu nao Ni watumishi...

Pole sana mtumishi.

Naona hata kusoma sentensi moja tu ni shida, unaikata vipande ili upate unachokusudia kwa mawazo yako.

Sijasema watumishi ni mbwa, bali ‘toothless dogs’... mbwa wasio na meno.

Ingekuwa wanajua kuwa ni haki zao kisheria wangepaza sauti na kuzidai, kwa sasa wanachukulia ni utashi wa mamlaka ndiyo haishangazi kuwaona watumishi wakisifu na kuunga juhudi hadharani.

Nawajibika kwa maneno yangu, lakini si kwa tafsiri yako mlamu.
 
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Ficha upumbavu wako!!!mjinga mtupu!
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
niikatae ccm kwa kisa gani?
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Na wakimchagua tena kikokoto kinawasubiri
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Hakuna mfanyakazi wa umma atawapa kura Ccm mwaka huu ndugu. Hakuna kundi lililoteseka miaka hii 5 kama kundi hili la wafanyakazi wa umma then kufuatiwa na wafanyabiashara na mwisho wakulima na vijana!
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.

Je, Rais Dkt. Magufuli akishinda na Kurejea zake tena 'Madarakani' na 'akiyatekeleza' yote haya uliyoyataja hapa 'Kikamilifu' kabisa utasemaje tena?
 
Hakuna mfanyakazi wa umma atawapa kura Ccm mwaka huu ndugu. Hakuna kundi lililoteseka miaka hii 5 kama kundi hili la wafanyakazi wa umma then kufuatiwa na wafanyabiashara na mwisho wakulima na vijana!
Sisi wafanyakazi wa uma ndo tunaelewa usitupangie na usitufokee.
 
Hivi wafanyakazi wa ufipa wamelipwa ujira wao??
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Umesema jambo muhimu sana na tutalifanyia kazi October.
 
Je, Rais Dkt. Magufuli akishinda na Kurejea zake tena 'Madarakani' na 'akiyatekeleza' yote haya uliyoyataja hapa 'Kikamilifu' kabisa utasemaje tena?
Anashindwa nini sasa mpaka asubiri apite
 
Acha kutusemea sisi wengine tutamchagua

Yaani kufanya kazi tu ya kufagia na kumwagilia maua ya hapo kwenye ofisi zenu za Lumumba, unajiona na wewe eti ni mfanyakazi wa nchi hii!!
Wewe ni mfanyakazi wa ccm, hivyo huwezi kuwa na uchungu wa aina yoyote ile.
 
Je, Rais Dkt. Magufuli akishinda na Kurejea zake tena 'Madarakani' na 'akiyatekeleza' yote haya uliyoyataja hapa 'Kikamilifu' kabisa utasemaje tena?
Hakuna uhakika wa kuyafanya kwa hio hakuna kubahatisha. Watanzania kwa umoja wetu tuikatae CCm kwa maslahi mapana ya taifa hili. Miaka 60 imetosha!
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Hata wakiikataa CCM hawana impact yoyote maana hawazidi laki tano nchi nzima
 
Back
Top Bottom