Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Nilikuwa nimevamia fan uwalimu ni wito. Mimi niliacha. Kama mkeo ana wito mwache afundishe. Unataka utumie nguvu ya pesa kivipi? Abadilishiwe kituo? Kama ni hilo sawa.
Ukaenda zako kujiajir.
 
kuna raia alipangiwa huko ukerewe ndanindani,sijui ni ukara...
zahanati nzima yeye ndiye dokta,mzalishaji,ushauri nasaha mpaka ulinzi,alifanya kazi wiki 2 akarudi nyumbani.
 
Kamba
 
Chief hivi nikiweka 5 million siwez fanikisha uhamisho wa wife.. ndo kwanza amepangiwa huko kijijini.. ila nataka nitumie nguvu ya pesa nimrudishe nilipo.. japo sio jijiji ila kwenye halmashauri ya mji
Acha aka report mkuu walau mwaka kupata barua ya uthubitisho Cheti Cha ndoa Kiko???????? Unaweza piganisha unaumwa unahitaji support yake now huduma inafanyika online
 
Kwani wanaka kwa miaka mingapi au miezi tu? Wewe unajilinganisha na watu wanao lipwa mshahara na allowance inao zidi kipato chote cha kijiji wewe unaota, kijijini ni nusu jahanamu unaishi kama mnyama wakufuga.
Acha uongo bro
 
Asilimia 90 ya mabwana shamba/Mifugo wanaishi Mijini Sasa mwaka ujao wa Fedha Serikali imesema inaenda kujenga nyumba 4,000 Ili wajae huko huko kwenye kata zao na kumbuka wanariooti Kwa Mtendaji Kata so hatua Kwa hatua wowote wataishi Vijijini
Shida ilikuwa nyumba ?

Kama kuna shida za ajira na leo ukitangaza nafasi ya Mabwana Shamba watakuja lukuki kuomba au kama watu ambao wapo vijijini wanaweza kupata crash course; kwanini tusubiri kodi zetu ziende kufanya vitu ambavyo huenda mwisho wa siku ni miradi ya watu....

Okay huyu Bwana apange nyumba ya Serikali ambayo atakuja mtu kesho au keshokutwa aseme ku-manage nyumba ni gharama hivyo ziuzwe...., Kwanini hawa watu wasiende leo kwani kwenye mishahara yao hakuna house allowance !????
 
Njoo uishi huku
Watu wanakula maisha
tu
Siwezi ng'oka MOMBA DC
[emoji16]
Huko sijii hata kwasababu gani sijiiii...

Nilikujaga kununua ufuta 2020
Kikajiuliza, ambapo na wewe nakuuliza....

"Hivi watumishi wa huko bondeni nilikonunua ufuta (Chitete, Chilulumo, Mkulwe, Mpapa na Hadi kule chinii kwenye mpunga mwingii) HAYO MAISHA WANAKULA WAPI?""

Ukiajiriwa sehemu kama hizo we ujue CONNECTION YA DUNIA HUNAAAA, Kazi yako itakuwa ni kulima, kufuga huna fursa nyengine.

#YNWA
 
Duu pengine ni motisha ya kazi but pia Serikali Iko kwenye mkakati wa kuanzisha irrigation schemes huko Vijijini xinahitaji usimamizi wa karibu wa watu ambao wako site mda wote sio wanaokaa mjini Hadi wapigiwe simu Waseme hawana usafiri nk
 
Mbona uli survive siku zote hizo ulizonunua mazao? Uliishije? Acha kutosha watu broo.

Harafu Kwa Sasa mambo yamebadikika sana ,ulikuja wakati Samia sio Rais Toka ameingia amejaza pesa nyingi sana kwenye Barabara za Vijijini,maji Vijiji,Huduma za Afya ,umeme nk kiasi kwamba mabadiliko ni makubwa sana kama ukienda Leo.
 
Halmashauri za Vijijini ndio Halmashauri gani? Sema kuishi Vijijini sometimes ndio mtihani lakini Ukiwa Wilayani Kuna shida gani Huduma zote zipo..

Hii kauli yako UMEITHIBITISHA?
Umefika Momba, Ileje na Tanganyika?
1. Momba huduma zao za financial na social wanazipatia Vwawa na Tunduma
2. Ileje wao ni Mpemba au Tunduma.

Hebu fanya research ndio uje kuongea.

SHAZ96 huko Momba benki mnapata wapi na huduma Bora za afya?

#YNWA
 
Kuna jamaa kapangiwa kakuta zahanati ipo kwenye lenta hakuna maji hakuna umeme.
Sasa huyo ndio raha anaenda Kwa boss wake ampangie zahanati ya jirani harafu itakuwa maxima maana hiyo Hadi ije kuishi ni mwaka wa Fedha Mwingine Ajira Mpya wengine ndio wataanza nayo 🤪🤪
 
Kada kwenye ubora wako.

Uko Momba wapi nije kukutembelea?

#YNWA
 
[emoji1787][emoji1787] kiatu Cha udongo u nailed it.
 
Umeshawah kwenda huko kweli au unaropoka tu hapa!
 
Fasta unakuwa tajiri!! asikudanganye mtu mkuu, kijijini paskie tuuuu
 
Hii kauli yako UMEITHIBITISHA?
Umefika Momba, Ileje na Tanganyika?
1. Momba huduma zao za financial na social wanazipatia Vwawa na Tunduma
2. Ileje wao ni Mpemba au Tunduma.

Hebu fanya research ndio uje kuongea.

#YNWA
Kote huko nakufahamu Mimi ni WA huko na mzazi wangu alikuwa Mwalimu hizo Wilaya amehanishwa sana hata kabla Momba haijazaliwa..

Sasa Mzee Kuna shida gani kutoka Ileje Hadi Mpemba full mkeka ,harafu Isongole na itumba Kwa Sasa Kuna nafuu sio kama zamani.

Tanganyika Iko jirani na Mpanda Mjini,Momba ndio Bado Kwa sababu Halmashauri ilijengwa Kijijini sana ila Kwa sasa Kuna nafuu kama.alivyokwambia Jamaa hapo Juu sio sawa na 2020 unayoisemea wewe..

Ni kama Vile Uyui pale Makao yya Wilaya panaitwa Isikizya ni Kijiji kabisaa ila bahati Yao wao Barabara kuu..

Tanzania hii naifahamu sana ,Mimi nafanya kazi za ukandarasi Vijijini ndio kazi tunashinda huko..

Mfano Kwa Mkoa wa Rukwa Vijiji vibaya ni vya Mwambao wa Ziwa Tanganyika tuu , vingine vyote vizuri na vinafikika safi yaani viko liveable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…