Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Ndo maana nikasema familia iwe mjin, kila baada ya miez 2 hivi nenda mjin bila hivyo kuishi na familia kijijin lazima uwe bogus kias fulan
Asante sana mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ upo sahihi sana, ukiishi kijijini hata akili zako baada ya muda zitakuwa sawa na za mbuzi, pili kijijini hakuna maisha ndio maana naomba serikali iwaongezee mishahara watu walioamua kuwa mandondocha.
 
Siku hizi Kuna solar ndugu yangu Mambo yamebadilika Kama mtumishi utaenda na wewe kutumia kibatari Basi elimu yako haikusaidiii kitu
 
Noma sana hii
 
Tukisema Serikali iongeze Kodi mjini haielewi ona Sasa nyumbu kama Hawa wanavyoleta dharau
 
Siku hizi Kuna solar ndugu yangu Mambo yamebadilika Kama mtumishi utaenda na wewe kutumia kibatari Basi elimu yako haikusaidiii kitu
Hata uwe na solar kama mazingira yanayokuzunguka ni watupori lazima na wewe uwe pori
Pengine hujafika hivyo vijiji ninavyomaanisha unadhani nikisema kijiji namaanisha kijiji cha Makumbusho Dar[emoji1787]
 
I wish ungejuwa faida kubwa yakupangiwa Kijijini nadhani watu wengi wangetamani kupangiwa Kijijini tatizo kubwa vijana wengi hatuna elimu ya ujasiriamali uwezo wakuiona fursa Kuna walimu wamepangiwa vijijini leo maisha yao mshahara wala hawaugusi. Unaweza kujikuta umepangiwa Kijiji hakuna duka hakuna machine hakuna huduma zakijamii badala yakulalamika kama tunavyolalamika kwa DPW tafuta fursa Kuna watu wanaimaisha mazuri na mikwanja vijijini mpaka huwamini alafu unakuta analipwa sawa na wewe 500,000 / = vijana Hamna maono vijana mnapenda mjini kula Bata badala yakuja vijijini na kufanya maendeleo leo Kuna Mwlm namjuwa anauza barafu peke yake Kijijini ametumia fursa ya rea kufanya mabadiliko. So unaweza kizee wala sio vision
 
Hata uwe na solar kama mazingira yanayokuzunguka ni watupori lazima na wewe uwe pori
Pengine hujafika hivyo vijiji ninavyomaanisha unadhani nikisema kijiji namaanisha kijiji cha Makumbusho Dar[emoji1787]
Hapana mkuu.

Formular ya kuishi kijijini na watu pori USIFANANE NAO
 
Tukisema Serikali iongeze Kodi mjini haielewi ona Sasa nyumbu kama Hawa wanavyoleta dharau
Yani umesema kweli jitu kama hili mawazo yake nikuwa mjini ndio ujanja na kupata shahada ndio ujanja wakati mwenzake anafuga na kilima kesho anazeeka na lishaada lake lauvumbivu hana kitu hata Pssf analipwa anaenda nunua gari anawapa watoto anaumwa presha na kisukari kwaheri mwenzake alie kuwa Kijijini akistaafu hana kazi na mafao maana nitajiri wa mashamba, kilimo na biashara nyingine haanzi biashara anajuwa biashara. Kiukweli Kodi kubwa mijini ndogo Kijijini watu wapate akili.
 
Ukerewe si karibu kabisa na mwanza ni kilomita 45 unaingia mza sasa kwanini usiishi mza mjini huku unafanya ukerewe
 
Nikweli ila hana maono pia. Huwo ndio ukweli. Akili nikuona matatizo yanawakabilk watu nakuyapatia ufumbuzi. Unaweza olewa na mwanakijiji smart ukiwa na akili ya maendeleo.
 
Utakuwa umekulia mboga saba, mi binafsi dar palinishinda,
 
Ujue ukiropoka uwe na data

Hujui ni mwaka huu ndiyo serikali imeingia mkataba wa ujenzi wa minara 700 sehemu ambazo hakuna mawasiliano.

Vijiji asilimia 99 havina 4G wala 3G bado wako Edge
 
Nimekaa Kijijini kwa Miaka 2 ila hakuna cha maana nilichofanya, maaana watu ni wale wale, vitu ni vile vile.
Kila kitu kibaya kuanzia maji ya kuogea hadi chakula

Mtu anayesema kijijini kuna fursa za kulima hajui wanavyopitia tabu
 
Vijiji asilimia 99 havina barabara

Vijiji asilimia 99 maji ya shida

Vijiji asilimia 99 hospital ni tatizo
 
Nimekaa Kijijini kwa Miaka 2 ila hakuna cha maana nilichofanya, maaana watu ni wale wale, vitu ni vile vile.
Kila kitu kibaya kuanzia maji ya kuogea hadi chakula

Mtu anayesema kijijini kuna fursa za kulima hajui wanavyopitia tabu
Kuna baadhi ya vijiji hapa Tanzania unaweza kufanya jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…