To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Sisi wengine tunakula kama simbilisi, je ndio tumekuwa huru dhidi ya utumwa wa mifùmo ya mabwanyenye wa magharibi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Sisi wengine tunakula kama simbilisi, je ndio tumekuwa huru dhidi ya utumwa wa mifùmo ya mabwanyenye wa magharibi?
Job true trueKazi Kweli Kweli
HahaSishindani na vitunguu kaka
HahahaaaSisi wengine tunakula kama simbilisi, je ndio tumekuwa huru dhidi ya utumwa wa mifùmo ya mabwanyenye wa magharibi?
sio utumwa ni utaratibu tu, au ndio utamaduni, mila na desturi ya familia au Taasisi hiyo 🐒Utumwa ni hali ya kutumikishwa na kunyang'anywa hiari yako.
Utumwa mbaya ni ule wa kifikra, ambapo mtu mmoja au kundi la watu linawaburuza kiasi watacho.
Kupangiwa muda wa kula iwe kazini kwako au popote pale huo ni utumwa.
Jikwamue na utafute uhuru wako wa mwili na fikra.
Yeahsio utumwa ni utaratibu tu, au ndio utamaduni, mila na desturi ya familia au Taasisi hiyo 🐒
na hata wew mwenyewe ni Lazima ujiwekee utaratibu wa kula, kunywa kulala, kuamka, kufanya ibada na Maombi, kupangilia vema makazi, mavazi, malazi na malezi ya familia yako nakadhalika, nakadhalika 🐒
utaratibu wa zigzaga bila mpangilio ni kujiyumbisha mwenyewe, familia na labda Taasisi yako🐒
Wale ninaowatumikisha nimewawekea taratibu zangu. Hivyo ni watumwa wangu. Kwakuwa wananitumikia mimi.sio utumwa ni utaratibu tu, au ndio utamaduni, mila na desturi ya familia au Taasisi hiyo 🐒
na hata wew mwenyewe ni Lazima ujiwekee utaratibu wa kula, kunywa kulala, kuamka, kufanya ibada na Maombi, kupangilia vema makazi, mavazi, malazi na malezi ya familia yako nakadhalika, nakadhalika 🐒
utaratibu wa zigzaga bila mpangilio ni kujiyumbisha mwenyewe, familia na labda Taasisi yako🐒
tulia utumikishwe na wababe wako sasa 🐒Wale ninaowatumikisha nimewawekea taratibu zangu. Hivyo ni watumwa wangu. Kwakuwa wananitumikia mimi.
Hamna mbabe wa kunitumikisha.tulia utumikishwe na wababe wako sasa 🐒
hakuna mbabe wa kukutumikisha vip wakati unalalamikia msosi 🐒Hamna mbabe wa kunitumikisha.
Umeona wapi nalalamika nina njaa?hakuna mbabe wa kukutumikisha vip wakati unalalamikia msosi 🐒
hakuna mbabe wa kukutumikisha vip wakati unalalamikia msosi 🐒
Nyie watumwa mnafunga sio kwa hiari yenu.Mambo ni mengi, muda mchache. Pesa hamna ila njaa ipo, wacha tu tufunge na tupangiwe muda wa kula
Tuheshimiane broNyie watumwa mnafunga sio kwa hiari yenu.
Maandishi yangu sio ya kuya quote kibwege na reference zako za kiboyaNyie watumwa mnafunga sio kwa hiari yenu.
Don't take it personalTuheshimiane bro
Umeona ehhutumwa noma sana