KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #41
We jombaa ni kichwa mnoZingatia neno "KULA"😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jombaa ni kichwa mnoZingatia neno "KULA"😁
sure muda wote ww upo activeUmeona ehh
ni kwa Neema na Baraka za Mungu haya yote yanafanyika kwa Imani na hiari, na yanawezekana bila laumu wala lawama 🐒Nyie watumwa mnafunga sio kwa hiari yenu.
Niuzie basi hizi akili, last speak chinese 🤒Wazo lako lina mashiko isipokua ungelijengea hoja zinazo eleweka kuhusu hususan unapo sema/taka neno utumwa
Kwa namna binadamu walivyo umbika, sio kila mmoja anaweza kufikiri kwa mfanano na mwingine. Na hii imepelekea binadam kugawanyika katika makundi tofauti ili kuweza kupata uwiano na mgawanyo mzuri katika namna ya kuishi ama kujioatia kipato.
Hapa namaanisha sio kila mtu anaweza akawa mfanya biashara ama akajiajiri.
Najaribu kumaanisha kwamba kila mtu akiwa mkulima nani atanunua chakula cha mwingine?
Ama kila mtu akiwa anajitegemea je nani atamtegemea mwingine??
Mkuu, ustaarabu ni jambo la kawaida katika maisha ya binadam, hivyo basi hata unapo kuta wengine wameweka muda wa kula ama nyumbani kwako ukipanga muda wa kula ni jambo la kistaarabu ama utaratibu wa kawaida katika maisha tunayo ishi pamoja na jamii ama maeneo tofauti tofauti
Hapa mwisho nakushauri tu upunguze kuweka umuhimu kwenye maisha ya watu wengine.
Yani huyo ni Chaliifrancisco mwenyeweSisi wengine tunakula kama simbilisi, je ndio tumekuwa huru dhidi ya utumwa wa mifùmo ya mabwanyenye wa magharibi?
MbusiiiYani huyo ni Chaliifrancisco mwenyewe