Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha urongo. Passport haiitaji kukunjua mkonoKama huna hela ya kutosha huwezi kuipata bila at least wiki 3-4.
Kama una pesa chapchap mpaka Xmass utakua unayo
Acha urongo. Passport haiitaji kukunjua mkono
Sasa hivi nasikia rushwa inaombwa wazi wazi kule mahala. Hakuna hofu wala salia mtume tena. Magufuli pumzika kwa amani.Kama huna hela ya kutosha huwezi kuipata bila at least wiki 3-4.
Kama una pesa chapchap mpaka Xmass utakua unayo
Rushwa mnaiendekeza nyie.Sasa hivi nasikia rushwa inaombwa wazi wazi kule mahala. Hakuna hofu wala salia mtume tena. Magufuli pumzika kwa amani.
Ahsante mkuuPeleka documents zote muhimu halafu ongea vizuri na afisa atakaedili na wewe wakati unasubmit documents zako atakupa msaada zaidi.
Shukran, Leo naibuka palePassport inachukua siku 10 mpaka kutoka, fuata procedure za kawaida utaipata bila wasi wasi
Kwa hiyo niende na documents na pesa basi?? ThanksKama huna hela ya kutosha huwezi kuipata bila at least wiki 3-4.
Kama una pesa chapchap mpaka Xmass utakua unayo
Shukran mkuuInawezekan anz sasa Tanzania Passport Application
Mimi mwez octa nltapat withn 7-8 days baada ya kukamlza taratbu zote zinazonihusu mimi
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Kumbe tulinyimwa fursa ya kwenda zetu nje bure sasa safari ngoja niamkeSasa hivi nasikia rushwa inaombwa wazi wazi kule mahala. Hakuna hofu wala salia mtume tena. Magufuli pumzika kwa amani.
Wakati mwingine inasaidia aiseeRushwa mnaiendekeza nyie.
Akili kisoda ...huyo unaye mtaja ndio aliwaambia polisi wachukue ya kubrashia viatu ...unadhani Ni nini hiyo kauli alimaanisha...Punguza kuabudu Maiti...Sasa hivi nasikia rushwa inaombwa wazi wazi kule mahala. Hakuna hofu wala salia mtume tena. Magufuli pumzika kwa amani.
Acha upumbavu wako wa kukariri matukio. Nisikuone mbweha mfu.Akili kisoda ...huyo unaye mtaja ndio aliwaambia polisi wachukue ya kubrashia viatu ...unadhani Ni nini hiyo kauli alimaanisha...Punguza kuabudu Maiti...
Ukiwa na ushahidi wa uharaka wa safarii yako ndani ya siku 2 unapata.Bila hata kutoa chochote.Kama huna hela ya kutosha huwezi kuipata bila at least wiki 3-4.
Kama una pesa chapchap mpaka Xmass utakua una
Unaaply online siku hiziKwa hiyo niende na documents na pesa basi?? Thanks
Kuombwa kutoa ni hiari yakoSasa hivi nasikia rushwa inaombwa wazi wazi kule mahala. Hakuna hofu wala salia mtume tena. Magufuli pumzika kwa amani.