Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

nyumba ina ukubwa gani? hata hivyo andaa fedha za mbao treated timber kama 3.5m na bati 5m na ufundi 3m, kama hujapata fundi ni PM nije nicheki site then tutaongea.
Du!hataree
 
5m kupaua Nyumba ya vyumba vitatu sitting,dining public toilet inaweza tosha,bati,fundi na mbao? Eneo ni Kibamba
 
Tupo Mr aluminium glass, mbimbinho nichek WhatsApp au call +255 654 069 041 nitakupa hesab kamil pia unipe na kipimo
 
5m kupaua Nyumba ya vyumba vitatu sitting,dining public toilet inaweza tosha,bati,fundi na mbao? Eneo ni Kibamba
mkuu Super Sub Steve inategemea na ukubwa wa nyumba, ungeweka walau vipimo vya nyumba wakuu wangetiririka hapa jukwaani.
 
Asalam Ailekum wandugu,

Nahitaji mtaalam wa kunifanyia makadirio ya ujenzi wa nyumba hususan kupaua kwa kutumia bati. Nyumba ipo Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Natanguliza Asante.


--------------------
mimi nimepaua nyumba ya bat zile zenye muundo wa vigae bat imenicost 6m mbao imenicost 4m fund 1.5m

nimepaua mwaka jana mwanzon nyumba ipo kigambon

nb: bat na mbao nilinunua kwa kuwekeza ndan ya miez sita kuna maduka yana kubal kuwekeza
 
mimi nimepaua nyumba ya bat zile zenye muundo wa vigae bat imenicost 6m mbao imenicost 4m fund 1.5m

nimepaua mwaka jana mwanzon nyumba ipo kigambon

nb: bat na mbao nilinunua kwa kuwekeza ndan ya miez sita kuna maduka yana kubal kuwekeza

Mkuu ukubwa Wa nyumba ni mita zaraba ngapi??
 
5m kupaua Nyumba ya vyumba vitatu sitting,dining public toilet inaweza tosha,bati,fundi na mbao? Eneo ni Kibamba
Bati za aina gani? By the way niseme tu sidhani kama inaweza tosha maana mbao pekee hapo tenga about 3m na fundi about 1m. Hizo ni minimum estimates.
 
hio imekula mabati mingongo mipana 90,mbao za 2 by 3 ni 130,mbao za 2 by 4 ni 50
bd4d92420953c9462e1f19a02e64938f.jpg

kila kitu pamoja na ufundi imetrmbea kama 4M
 
Mkuu ukubwa Wa nyumba ni mita zaraba ngapi??
ImageUploadedByJamiiForums1453196650.363363.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1453196677.929816.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1453196783.915726.jpg


kwenye hivyo vipimo vya picha kidogo tulibadil nahs ilifika 15m x 12m

bat nilitumia versatile
ImageUploadedByJamiiForums1453196992.735470.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1453197023.733654.jpg

mchangua wa vifaa na labour

ImageUploadedByJamiiForums1453197065.601156.jpg


naamin walau hapo umepata mwangaza

project hii nimeifanya 2013 december so unaweza pata pa kuanzia walau ingawa bei hazitakuwa kama hizo ila naambin inflation haitakuwa kubwa
 
hio imekula mabati mingongo mipana 90,mbao za 2 by 3 ni 130,mbao za 2 by 4 ni 50
bd4d92420953c9462e1f19a02e64938f.jpg

kila kitu pamoja na ufundi imetrmbea kama 4M
Mkuu @Jephat2003 samahani,nyumba yako ina ukubwa gani&vyumba vingapi!hujakosea kweli hesabu zako?4mill pamoja na fundi kupaua nyumba kwa bati za migongo mipana aisee dah,mbona ndogo sana kaka.
 
Mkuu @Jephat2003 samahani,nyumba yako ina ukubwa gani&vyumba vingapi!hujakosea kweli hesabu zako?4mill pamoja na fundi kupaua nyumba kwa bati za migongo mipana aisee dah,mbona ndogo sana kaka.
Hata mimi nimeshangaa,nimepau nyumba ndogo ya 2-bedroom kwa bati 70 za kawaida kabisa na gharama zimekaribia 4m.

Correction: gharama zangu zilikaribia 3m,yaani 2.8m tu. Kwahio labda jamaa yuko sahihi.
 
Mwenye kufahamu bei ya bati hz naomba anijulishe
 

Attachments

  • 1454752275272.jpg
    1454752275272.jpg
    37.7 KB · Views: 728
Hata mimi nimeshangaa,nimepau nyumba ndogo ya 2-bedroom kwa bati 70 za kawaida kabisa na gharama zimekaribia 4m.

Correction: gharama zangu zilikaribia 3m,yaani 2.8m tu. Kwahio labda jamaa yuko sahihi.


Mkuu nakupm unisaidie kitu.
 
hii garama nindogo sana kulinga navitu ulivyo taja na bei zake rudia tena maesabu yako
 
Mi naomba kujua ubaya wa mabati ya KIBOKO, kwa sababu bei yake ni kawaida kwa gauge 28 lkn baadhi ya watu wanayakosoa
 
Back
Top Bottom