Malinyingi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 864
- 164
We utatumia bati kama 180 ivi
Nakushukuru Mkuu, je bei yake sokoni sasa hivi iko kiasi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utatumia bati kama 180 ivi
Wakuu
Naomba ushauri wa level ya kuezeka paa. Fundi mwashi anasema zinatakiwa kozi mbili baada ya lintel, na muezekaji anasema zinatakiwa kozi tatu? Nani ni mkweli?
Fundi paa anadai kozi mbili zitafanya madirisha yasipendeze kwamba paa litaonekana liko chini. Fundi mwashi alojenga anasema nyumba iko juu tayari hivyo kozi tatu zitafanya nyumba isipendeze.
inategemea japo 3mil ni nyingi sana. Maximum ni kama 1.5mil hivi. 3mil kakupiga sana. Cheki na fundi mtaalamu wa bei poa, namba zake ni 0755297312. Msafirishe toka kahama. Ila ni mzuri na bei zake ni powa na yuko fasta sananilifikiri nimestuka peke yangu
inategemea japo 3mil ni nyingi sana. Maximum ni kama 1.5mil hivi. 3mil kakupiga sana. Cheki na fundi mtaalamu wa bei poa, namba zake ni 0755297312. Msafirishe toka kahama. Ila ni mzuri na bei zake ni powa na yuko fasta sana
Kiongozi kama ni fundi ambae unamuamini na ungependa aendelee kupata kazi kutokana na ufanisi na uaminifu wake unaonaje ukiweka namba zake hapa jukwaani ili kila muhitaji kwa muda wake atawasiliana nae au wewe ni dalali wake hivyo unahitaji kila ambae anawasiliana nae lazima taarifa zianzie kwako ili upate 10% ?...Mimi nahitaji huduma za huyu fundi kutokana na recommendation zako hivyo tafadhali dondosha mawasiliano yake hapa ili niwasiliane nae kama hakuna shida katika hilo.Mpe kazi bei zake ni smart
kupaua si gharama kiasi hicho kaka acha tamaa na kutisha watu labda gharama hizo ni kwa site za masaki na maeneo kama hayo au huko ni kutafuta faida za juu kabisa....hizo kazi tunafanya kila siku na bei ni za kawaida kabisa mf.. Nyumba ya vyumba 3 au 4 yenye vipimo standard itachukua mbao treated za hadi sh 1.5m, bati kama ni south around 3.5m na ufundi ni around 1-1.2m na tunafanya daily
Kwa bati nzuri na vigae nenda ando, maana ndio wanaouza bati kwa bei ya kutupwa
16m x 12 zinaenda bati ngapi?
Kati ya Alaf na Nabaki zipi imara?