Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Mbao za kupaua za dawa(treated)

2by2= 550
2by4= 950 kwa futi
2by6= 1450
Bati za aina zote zipo
Tunapatikana dsm usafiri mpaka site kwako upo
 
Kwa wanao hitaj decorations ka hizoo nichek (+255718930097)
 

Attachments

  • 1451111748708.jpg
    1451111748708.jpg
    41.8 KB · Views: 360
Kweli kupaua si mchezo, kibanda changu kimekula aound 10m, kwa gharama za mbao, mabati, ufundi na misumari.
 
Kweli kupaua si mchezo, kibanda changu kimekula aound 10m, kwa gharama za mbao, mabati, ufundi na misumari.
hongera sana mkuu,,kina ukibwa gani kibanda chako...unaweza kutupa mdadavuo kwa faida ya sisi wengine?mie nna jenga kibanda cha 8kwa 14 na makadirio ni 7m kupaua..
 
hongera sana mkuu,,kina ukibwa gani kibanda chako...unaweza kutupa mdadavuo kwa faida ya sisi wengine?mie nna jenga kibanda cha 8kwa 14 na makadirio ni 7m kupaua..
Mkuu, mbao zimecost around 4m(2 x2, 4 x2, plus fisherboard), mabati around 4m na ufundi ni 1.5m, nyumba ni 14m by 12m yenye kona za kutosha
 
hongera sana mkuu,,kina ukibwa gani kibanda chako...unaweza kutupa mdadavuo kwa faida ya sisi wengine?mie nna jenga kibanda cha 8kwa 14 na makadirio ni 7m kupaua..
Hiyo 7m inategemea utatumia mbao gani na bati za aina gani pia fundi wa kiwango gani. Inaweza kutosha ama isitoshe
 
Mkuu, mbao zimecost around 4m(2 x2, 4 x2, plus fisherboard), mabati around 4m na ufundi ni 1.5m, nyumba ni 14m by 12m yenye kona za kutosha
mkuu kama hutojali

Bati ya aina gani na kutoka kampuni gani?
 
Bati za jeshini mkuu ( from India) za migongo mipana.
shukrani mkuu,
Banda langu la 15*12 kona zipo fundi kanambia zitaingia bati 120

na vp bati za jeshini wanakata vipande kweli,maana kona hizi
 
Last edited:
shukrani mkuu,
Banda langu la 15*12 kona zipo fundi kanambia zitaingia bati 120

na vp bati za jeshini wanakata vipande kweli,maana kona hizi
Zinakatwa mkuu, mi nimetumia Bati 124 kwa ajili ya Bati pamoja na kofia za kukunja, valley 20 nilinunua separate
 
Wakuu nawasalimu,
Mimi ninanajenga na nimefikia hatua ya linter, na kwa ujumla nyumba yangu INA SqM 294 , je kwa makadirio ya haraka haraka ninaweza kutumia Mbao kiasi gani ( au gharama yake itafikia sh. Ngapi ?) Na mabati mangapi ya IT na yata gharimu kiasi gani?
 
Wingi wa mbao,bati na gharama zake inategemea muundo wa paa lako call me 0714327978
 
Wakuu nawasalimu,
Mimi ninanajenga na nimefikia hatua ya linter, na kwa ujumla nyumba yangu INA SqM 294 , je kwa makadirio ya haraka haraka ninaweza kutumia Mbao kiasi gani ( au gharama yake itafikia sh. Ngapi ?) Na mabati mangapi ya IT na yata gharimu kiasi gani?

Hongera mkuu kwa hatua nzuri uliyofikia, wakati inasubiria wataalam wa kupauwa wawasili naomba kukuuliza umetumia tofali ngari kunyanyua hilo boma?
 
Back
Top Bottom