Asante kaka umenipa mwangaza mzuri,kama hutojali naomba kama itawezekana uniambie hizo bati ulizinunua duka gani(kama upo Dar),pia mbao ulitumia za dawa au za kawaida?natanguliza shukrani.Mimi nilikuwa nafanya man to man,hakuna kutumwa mtu,mafundi wengi wanakawaida ya kuoverprice vitu ili wapate cha juu,mimi alikuwa ananiambia mahitaji naingia front duka kwa duka kupata kwenye bei nafuu,mfano fundi aliniambia bati nazotaka ni sh 27,000 kwa kila moja,mimi nikapata kwa sh 20,000 hivyo ilikuwa nipigwe sh 7,000 kwa kila bati kwa bati 90 kitu ambacho ningepoteza sh 630,000 kwenye bati pekeyake
Wala hautishi mkuu,muhimu uwe na kiwanja tu basi,ukishakipata hicho basi umemaliza kazi,kitakachofuata unaanza kununua tofali,huku unatafuta ramani ya nyumba unayotaka ukishakamilisha idadi ya tofali au hata nusu tafuta fundi akupe hesabu ya msingi,kupandisha kwa tofali zilizopo utashangaa mambo yanaenda.Ujenzi unatisha kama huna roho ngumu hujengi. Ft moja bei gani mkuu!
Wala hautishi mkuu,muhimu uwe na kiwanja tu basi,ukishakipata hicho basi umemaliza kazi,kitakachofuata unaanza kununua tofali,huku unatafuta ramani ya nyumba unayotaka ukishakamilisha idadi ya tofali au hata nusu tafuta fundi akupe hesabu ya msingi,kupandisha kwa tofali zilizopo utashangaa mambo yanaenda,nilichogundua wabongo tunaogopa sana ujenzi kutokana na maneno ya watu utasikia "aah wewe utajenga nyumba kwa mshahara wako huo mbuzi?unamuona fulani na hela zake zote amejenga nyumba kaishia kwenye msingi"na blah blah blah nyiiingi ila ukiingia kwenye action utaona kama ulichelewa sana,imenikuta hii ila nilipiga moyo konde nikaomba Mungu nikaingia site nikiwa na mill8 ikaishia kwenye msingi,hapa napoandika nimeshapandisha nyumba ina master bedroom3,sitting room,dinning,jiko,store na public toilet2,nimeshakamilisha pesa za kuezekea Mungu akinijaalia uzima soon nataka nianze mishe za kupaua.Muhimu:kwanza uwe na nia,mwepesi wa kucheza na hesabu(i mean uithamini kila sent unayoipata)uwe mwepesi wa kuchanganua shauri unazopewa,hasa marafiki hawa ndio jipu maana wanajua ukishaanza ujenzi hutoonekana viti virefu mwisho usiwe mwoga jikubali kwamba unaweza na unalolifanya unafanya kwa ajili yako na familia yako,mwisho uwe makini kuchagua mafundi,ikiwezekana siku za ujenzi uwe site maana fundi anaweza kutaka umpe hela ya nondo ukampa pesa ya kununua nondo za kuzungusha nyumba nzima kila ukuta nondo tatu tatu ila yeye anakuwekea nondo moja moja madhara utayaona baadae nyumba inaanza kushake,kila la kheri kaka.
Wengi tumepita au tunapita humohumo.Umeeleweka sana kaka! Hatua ulizopitia zinafanana na hatua zangu! Kwa sasa mjengo umesimama nasubiri kupaua. Mbao ndo zinasumbua kidogo navuta pumzi kwa kujenga shimo la choo ft 12 urefu duara ft 11
Mabati ya kiboko hayana finishing nzuri kwani hayavaliani vizuriMi naomba kujua ubaya wa mabati ya KIBOKO, kwa sababu bei yake ni kawaida kwa gauge 28 lkn baadhi ya watu wanayakosoa
Exactly mkuu,msingi&kupaua ndo hasa sehemu inayoumiza kichwa ila mtu ukifanikiwa kupita hapo kidoogo mzigo unapungua,ukiwa nyumba hujapaua huwezi kwenda site na lak5 but kama umeshapaua ukienda na hiyo hela unafanya jambo kubwa ajabu.Wengi tumepita au tunapita humohumo.
Katika Ujenzi, msingi wa nyumba ni element ngumu sana ambayo ukiimaliza na mtu ukamtajia gharama ulizotumia, anaweza kubisha. Pia kwa wenzangu na mimi wa hela za kuunga unga(stage construction-not to be confused with road stage construction) eneo lingine ambalo lazima ulikamilishe kwa pamoja ni Roof Structure and Roof Covering(yaani Kenchi na kuezeka). Ugumu wake ni pale ambapo huwezi kuweka kenchi ukaliacha muda mrefu huku ukitafuta pesa za bati, kwani mbao zitapinda zote. Ni lazima ukusanye pesa za kazi zote. Na hapo ndipo shida ya ujenzi kwa hela za kuunga unga inapoanzia. Ukivuka stage hiyo uko huru
Mkuu, mabati ya ando yapo ya aina nyingi na kila aina inatofautiana na nyingine haya idadi ya mbao. Pia kuna aina ya bati inaitwa old profile, hii ina mafundi wa chache sana kwani wengi hukimbia ktkt ya kazi. Ikiwa nyumba yako huna uhakika epuka kununua bati hii japo kwa macho inavutia sana, hakikisha unapata mtu sahihi vinginevyo utajuta kununua bati hiiJamani mimi nahitaji mtaalamu wa kuezeka bati la viage la Ando , nina kam-jengo kangu kana urefu wa mita 20 na upana mita 15, ila una vipaa vingi.....nyumba ina vyumba vinne self....including master bedroom, sitting room, dinning, public toilet, kitchen+store, and public toilet.
Naomba kwa anayejua kukadiria mzoefu kwa kuezekea kigae cha Ando anaimbie makadirio ya mbao and all reqiurements. Nahitaji fundi mtaalamu na sio mbabaishaji. Nataka mtu anayeijua kazi na sio blabla....meaning that ukishamaliza hiyo kazi kusiwe na mambo ya kuvuja, na paa liwe very standard ili kila mtu akipita aseme hapa kazi imefanyika na mwanaume na ina kiwango standard.
Kama kuna mtu wa namna hiyo naomba tuwasiliane kupitia PM nitamtumia video ya mjengo auone...then anipe makadirio stahiki na kuona kama ataweza imudu kufanya kazi hiyo.
Nyumba ipo songea mjini/ manispaa.
Karibu kwa maoni yenu wadau wenzangu wa JF.
Wengi tumepita au tunapita humohumo.
Katika Ujenzi, msingi wa nyumba ni element ngumu sana ambayo ukiimaliza na mtu ukamtajia gharama ulizotumia, anaweza kubisha. Pia kwa wenzangu na mimi wa hela za kuunga unga(stage construction-not to be confused with road stage construction) eneo lingine ambalo lazima ulikamilishe kwa pamoja ni Roof Structure and Roof Covering(yaani Kenchi na kuezeka). Ugumu wake ni pale ambapo huwezi kuweka kenchi ukaliacha muda mrefu huku ukitafuta pesa za bati, kwani mbao zitapinda zote. Ni lazima ukusanye pesa za kazi zote. Na hapo ndipo shida ya ujenzi kwa hela za kuunga unga inapoanzia. Ukivuka stage hiyo uko huru
Kabisa mkuuExactly mkuu,msingi&kupaua ndo hasa sehemu inayoumiza kichwa ila mtu ukifanikiwa kupita hapo kidoogo mzigo unapungua,ukiwa nyumba hujapaua huwezi kwenda site na lak5 but kama umeshapaua ukienda na hiyo hela unafanya jambo kubwa ajabu.
Mkuu order inategemea uko mkoa gani na aina ya bati, ikiwa uko Dar, Arusha, mbeya nawanza hii mikoa inayo mashine ya kukunja aina mbalimbali japo mengine yanapatikana Dar tuMi nahitaji yale ya muundo wa vigae. Wanauzaje na order inatakiwa uweke mda gani?
Mbao zinaumiza kweli mkuu ila tutasonga tu kwa hatua uliyofikia si'haba...mdogo mdogo mara mtu uko kwako,nachukia sana haya mambo unalipa kodi mwaka huu kiasi hiki mwaka kesho unapandishiwa kodi mara mbili kwa madai eti gharama za ujenzi zimepanda ukiuliza " Mzee wangu wapi uliporekebisha hadi kusema gharama zimepanda?"anatishia kukupa notes...shit case dizaini hii imenilaza police post Mabatini baada ya kumgomea mwenye nyumba na yeye kunitukana alichoambulia ni makofi,Mungu atusaidie tuondokane na kadhia hii.Umeeleweka sana kaka! Hatua ulizopitia zinafanana na hatua zangu! Kwa sasa mjengo umesimama nasubiri kupaua. Mbao ndo zinasumbua kidogo navuta pumzi kwa kujenga shimo la choo ft 12 urefu duara ft 11
Mbao zinaumiza kweli mkuu ila tutasonga tu kwa hatua uliyofikia si'haba...mdogo mdogo mara mtu uko kwako,nachukia sana haya mambo unalipa kodi mwaka huu kiasi hiki mwaka kesho unapandishiwa kodi mara mbili kwa madai eti gharama za ujenzi zimepanda ukiuliza " Mzee wangu wapi uliporekebisha hadi kusema gharama zimepanda?"anatishia kukupa notes...shit case dizaini hii imenilaza police post Mabatini baada ya kumgomea mwenye nyumba na yeye kunitukana alichoambulia ni makofi,Mungu atusaidie tuondokane na kadhia hii.
Amina kaka.Inauma sana mkuu! Tuombe uzima kila kitu kinawezekana.
Kaka hii site iko Nyamhongolo mwanza, na bati nilichukua za aiba ya kibokoAsante kaka umenipa mwangaza mzuri,kama hutojali naomba kama itawezekana uniambie hizo bati ulizinunua duka gani(kama upo Dar),pia mbao ulitumia za dawa au za kawaida?natanguliza shukrani.
Ook kaka..shukrani.Kaka hii site iko Nyamhongolo mwanza, na bati nilichukua za aiba ya kiboko
4*2= 1050
2*2= 510-520
kwa Daslaam
Ambapo mbao ya futi 10 ni elfu kama elfu11, siyo mbaya sana!4*2= 1050
2*2= 510-520
kwa Daslaam
Asante kwa mwongozo mkuu!Sawa! Hapo mbao andaa kama ifuatavyo:
4×2 PC 170
2×2 PC 140
1×10 PC 24
hakikisha zimewekwa dawa ukifanya mzaa unalizwa.