Baba acha utani na haya amaisha hata hujauliza ukubwa wa nyumba tayari ushakokotoa???😀😀😀nyumba ina ukubwa gani? hata hivyo andaa fedha za mbao treated timber kama 3.5m na bati 5m na ufundi 3m, kama hujapata fundi ni PM nije nicheki site then tutaongea.
Mafundi hakuna humu siku hizi wadau?Habari wa jf. Kwa wale mafundi naomba makadilio ya kupaua kajumba cha urefu wa 23ft = 7meters na upana wa 22ft = 6.7meters mtindo wa paa nne.
Pesa zote hizo akukabidhi wewe ukanunue vifaa ?MMMMNH!nyumba ina ukubwa gani? hata hivyo andaa fedha za mbao treated timber kama 3.5m na bati 5m na ufundi 3m, kama hujapata fundi ni PM nije nicheki site then tutaongea.
Mkuu Matola Nakupataje mimi niko dodoma 0762 646997View attachment 513060
Mpaka finishing tunauza kwa millioni 15 tu.
Mkuu fafanua vizuri kidogo.View attachment 513060
Mpaka finishing tunauza kwa millioni 15 tu.
Acheni tabia za kutumia mafundisho,umeshindwa nini kumpa professional QS 50,000 akupe estimates acceptablemkuu uko sahihi ila wanatia hasara mfano nina bati 14 zimebaki ukizidisha mara 36,000/= unaweza kuona hii hela ililala hapo ningeweza kufanyia jambo jingine na hiyo pia ni baada ya kutonunua bati 130 kama alivyotaka fundi mimi nikanunua 120.
Tabia za wabongo ni kukariri na kuiga,slope za rufu zinategemea mazingira sasa watu wanadhani ni fashion unashindwa hata kushangaa,watu hawapendi kuwa uniqueHivi kwanini hizi roof za cementi/concrete zimekosa wateja siku hizi, ni gharama sana au? Nadhani cost calculation yake ingeweza kuwa rahisi zaidi, hakuna cha mbao wala style.
Pia naona roof nyingi bongo zina slope kubwa sana, hii ni style tu au kuna sababu?
Tabia za wabongo ni kukariri na kuiga,slope za rufu zinategemea mazingira sasa watu wanadhani ni fashion unashindwa hata kushangaa,watu hawapendi kuwa uniqueHivi kwanini hizi roof za cementi/concrete zimekosa wateja siku hizi, ni gharama sana au? Nadhani cost calculation yake ingeweza kuwa rahisi zaidi, hakuna cha mbao wala style.
Pia naona roof nyingi bongo zina slope kubwa sana, hii ni style tu au kuna sababu?
Naomba kukuliza mgongo mdogo futi 10 ,geji 30 za rangi unauzaje kwa kampuni ya alafu na je kati ya hizo kampuni yupi ni mkali kwa aina hiyo ya Bati?????jamani mim nauza mbao pia ni agent wa mabati kutoka kampuni tatu Alafu, Dragon na Afrina. bati la Alaf migongo mipana gauge28 mita ni 15340,na vigae kuna aina aina tatu 28gauge ya kwanza bei ni 15812 kwa mita moja,pili ni 16166 na tatu ni 17240.Dragoni 28 gauge migongo mipana ni 12000 kwa meter na vigae 13500 kwa mita na mbao ninazo.njooni tujenge pamoja msiogope
Naomba kukuliza mgongo mdogo futi 10 ,geji 30 za rangi unauzaje kwa kampuni ya alafu na je kati ya hizo kampuni yupi ni mkali kwa aina hiyo ya Bati?????[/QUOTE
mgongo mdogo na mpana ni 461,200 kwa bandle kutoka alaf, zinakaa bati 16 kwenye bandle moja
Vent.watalaam habarini za asubuhi mi nauliza iv ktk uezekaji wa upauaji wa siku izi kuna ivi viurembo kama vipembe tatu napenda kujua vina itajwe yaan nyie wataalamu munaviitaje maana nataka nimuelekeze fundi wangu havijui
Kitu kama kebo vimekaa hivi ^ unakuta vinawekwa ubavu wa nyumba?watalaam habarini za asubuhi mi nauliza iv ktk uezekaji wa upauaji wa siku izi kuna ivi viurembo kama vipembe tatu napenda kujua vina itajwe yaan nyie wataalamu munaviitaje maana nataka nimuelekeze fundi wangu havijui
sawa kabisa mkuu naona mdau mmoja kasema ''vent'' nazani ni exactly ngoja nimuelekezee fundi wanguKitu kama kebo vimekaa hivi ^ unakuta vinawekwa ubavu wa nyumba?
Kama hivi??watalaam habarini za asubuhi mi nauliza iv ktk uezekaji wa upauaji wa siku izi kuna ivi viurembo kama vipembe tatu napenda kujua vina itajwe yaan nyie wataalamu munaviitaje maana nataka nimuelekeze fundi wangu havijui