Spectophotometer
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 295
- 468
Kaka naomba haka karamani?Sijakosea,ukubwa ni 8m kwa 11m,bati 90 za migongo mipana za kiboko kiwandani ni sh 20,000 kwa kila bati,fundi kachukua sh 500,000 tu
Sijakosea,ukubwa ni 8m kwa 11m,bati 90 za migongo mipana za kiboko kiwandani ni sh 20,000 kwa kila bati,fundi kachukua sh 500,000 tu
Ni kweli mkuu watu wanafikir kupaua ni kazi ya kitoto.Jamani kupaua ni gharama kuna rafiki yangu alitajiwa jumla ya 17M (ufundi, mbao, bati-ALAF, ukubwa around 15x20). Hapahapa DSM, Akaomba apunguziwe walau 14, ikashindikana. Akaahirisha. Kama huyo rafiki yangu akiiona hii post, atampigia huyu jamaa mara moja.
Kwenye mbao pale amekosea.Transporter
Mkuu kwenye mbao hapo mmmm mbona kama rahisi sana any way mi si mtaalamu sana
Yupo sahihiTransporter
Mkuu kwenye mbao hapo mmmm mbona kama rahisi sana any way mi si mtaalamu sana
Zamani bei zilichangamka sanaALAF migongo mipana gauge 28 ni 18,000 @ mtr.
Kupaua ni gharama lkn mwenye nyumba usiposimamia inakuwa gharama mara elfu kumiNi kweli mkuu watu wanafikir kupaua ni kazi ya kitoto.
Kupaua ndio stage ngumu kuliko zote kwenye ujenzi wa nyumba.
Kujenga pagala ni rahisi sana ukiwa na kiwanja.
Gharama ya mbao inazidi gharama ya bati?Kwenye mbao pale amekosea.
Kwa kawaida gharama ya mbao huwa inazidi ya bati.
Na ukichukua mafundi wa bei rahisi sana Kuna hatari ya kuharibiwa nyumba yako.
Nyumba ni kitu Cha kudumu na sio kitu Cha kukifanyia majaribio.
Cha msingi ukijipanga ni kumwita fundi na kupatana usiogope fundi anapotaja pesa kubwa ambayo ipo nje kidogo ya budget yako.
Kwa jinsi nilivyokaa nao mafundi na kuwazoea nimegundua huwa hawana bei maalum bali huwa wanaangalia mazingira kazi ilipo.
Kwa mfano bei wanayotaja masaki/upanga/mbezi beach ni tofauti na bei wanayotaja mbagala/vingunguti/gongolamboto.
Teh teh tehPesa zote hizo akukabidhi wewe ukanunue vifaa ?MMMMNH!
Kuna fund nilimpata ni mzuri tu tena maarufu kwa kupaua nyumba za mtaani hapa nilipohamia kanianzia laki 6 nikamwambia sina nimekaa mwezi mzima namsikilizia ..mwenyewe akanifata na kunimbia nilikuwana na ngapi nikamjibu laki 3 akaniambia laki 4 afanye kzi nikamjihu sina akasema nimpe 3.5 laki nikamwambia poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.Gharama ya mbao inazidi gharama ya bati?
Dah Mie nachoka,ninataka kupaua.Bati nataka kutumia za migongo midogo za Rangi.Mbao nimeibajitia milioni 1.5-2 bati milioni 3-3.6 Sasa hapa kusikia mbao zinakuwa juu nazidi kupagawaNdio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.
Kwa mfano Mimi nilivyopaua nilitumia milioni 4 kwenye mbao na milioni 3 kwenye bati.
Hiyo nyumba yako Ina ukubwa gani ndugu?Dah Mie nachoka,ninataka kupaua.Bati nataka kutumia za migongo midogo za Rangi.Mbao nimeibajitia milioni 1.5-2 bati milioni 3-3.6 Sasa hapa kusikia mbao zinakuwa juu nazidi kupagawa
UNAPATIKANA MWANZA ?????Kama una kiwanja anza msingi kwanza kwani msingi hauna gharama maalum kwa kuwa inategemea eneo ulipo na aina ya vifaa vya kutumia kama aidha msingi wa mawe au matofali. ila kwa Mwanza upatikanaji wa mawe ni mkubwa. Hata hivyo gharama za boma hadi kupaua hazitofautian sana. Kwa kifupi angalia gharama nilizotumia kuanzia msingi, boma, lenter, kupaua na magrill.
MBONA UKO NDANI YA BAJETI KABISAA MKUUDah Mie nachoka,ninataka kupaua.Bati nataka kutumia za migongo midogo za Rangi.Mbao nimeibajitia milioni 1.5-2 bati milioni 3-3.6 Sasa hapa kusikia mbao zinakuwa juu nazidi kupagawa
Naomba unipemakadilio ya nyumba ya 12m urefu na 10.6m upana , angle ni 30 nyuzi na plani ya paa ni kama ilivyo hapo chinjMkuu..
Nimeona post yako naomba nikushauri kitu kimoja kama bado ujaezeka..
Kama mtaalamu wa ujenzi..makadirio nikitu kirahisi Lakini nakushauri ukipenda kupunguza gharama za kupaua kwanza Hilo Paa lako lina angle kubwa nahisi ni degree 30 au zaidi..ndio maana roof linaenda juu sana..
Kitaalam kwa nyumba za kuishi urefu wa roof angalau uwe nusu ya urefu wa ukuta wa nyumba yako..
Nyumba ya 12m urefu na 10.6 m upana angle 30 nyuzi paa ni kama hapo chini hutumia bati na mbao kiasi ganiNdio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.
Kwa mfano Mimi nilivyopaua nilitumia milioni 4 kwenye mbao na milioni 3 kwenye bati.
Mkuu makadirio ni hayo hayo niliotoa kwenye post yangu iliyopita.Nyumba ya 12m urefu na 10.6 m upana angle 30 nyuzi paa ni kama hapo chini hutumia bati na mbao kiasi gani
Jamani kupaua ni gharama kuna rafiki yangu alitajiwa jumla ya 17M (ufundi, mbao, bati-ALAF, ukubwa around 15x20). Hapahapa DSM, Akaomba apunguziwe walau 14, ikashindikana. Akaahirisha. Kama huyo rafiki yangu akiiona hii post, atampigia huyu jamaa mara moja.
Kwanza hongera mkuu,hio imekula mabati mingongo mipana 90,mbao za 2 by 3 ni 130,mbao za 2 by 4 ni 50
kila kitu pamoja na ufundi imetrmbea kama 4M