Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Watu wanafikiri kupaua ni raisi, alafu wakitajiwa gharama za ufundi wanaona ni nyingi kana kwamba yule fundi ile kazi ataifanya peke yake.
Mkuu tatizo tunajadili hili swala juju sana wakati,ilitakiwa tuwe specific, mfano aina ya bati, bei kwa mita kama ni migongo mipana, jumla ya mita kwenye hiyo nyumba, bei ya kofia na idadi kwa nyumba nzima, bei ya misumali na idafi yake nk sio kama sasa wengi wanasema nimetumia sh 7.5M Au bati ni sh 2.9M
 
Mkuu tatizo tunajadili hili swala juju sana wakati,ilitakiwa tuwe specific, mfano aina ya bati, bei kwa mita kama ni migongo mipana, jumla ya mita kwenye hiyo nyumba, bei ya kofia na idadi kwa nyumba nzima, bei ya misumali na idafi yake nk sio kama sasa wengi wanasema nimetumia sh 7.5M Au bati ni sh 2.9M

Huu mjadala unazidi kuwa mtamu. Ili kila mtu aweze kuestimate vizuri angepatikana mtaalam hapa akatupa exact or range of price for all materials required, at least unit price. Then akatupa estimates za idadi ya mbao na idadi ya bati for a given square meter(s).
Hili ni swala la kitaalam sana, si kila mtu anaweza.
 
Nilitafuta fundi kwa kuezeka akanipa makadirio ya around 8.1 million tukakubaliana akaanza kazi na gharama zilikuja hivi
Mbao treated za kupaua 2.8 M
Mabati ya maxcover 3.5 M
Kofia 360000
Misumari 140000
Ufundi 800000

Mbao zilibaki nyingi sana kiasi cha kutosha kupiga draft ndani vyumba vyote vitatu kwa hiyo kazi ya draft imebaki si kubwa .
Pamoja na gharama zote nilizotumia balance ilikuwa laki 4
 
Nilitafuta fundi kwa kuezeka akanipa makadirio ya around 8.1 million tukakubaliana akaanza kazi na gharama zilikuja hivi
Mbao treated za kupaua 2.8 M
Mabati ya maxcover 3.5 M
Kofia 360000
Misumari 140000
Ufundi 800000

Mbao zilibaki nyingi sana kiasi cha kutosha kupiga draft ndani vyumba vyote vitatu kwa hiyo kazi ya draft imebaki si kubwa .
Pamoja na gharama zote nilizotumia balance ilikuwa laki 4
sawa mkuu je hizi ghalama ni kwa mkoa gani?
 
Mafundi tuko mikoani nabeizetu ni nafuu sana. mi ni mtaaramu wa mambo hayo hii fani iko kwenye damu. sikama najifagiri. niko mwanza kwasasa namalizia kupaua hapa morogoro nitumie ramani kwa email nikupe makadirio. (kombaemmamuel42@gmail.com)
 
Nilitafuta fundi kwa kuezeka akanipa makadirio ya around 8.1 million tukakubaliana akaanza kazi na gharama zilikuja hivi
Mbao treated za kupaua 2.8 M
Mabati ya maxcover 3.5 M
Kofia 360000
Misumari 140000
Ufundi 800000

Mbao zilibaki nyingi sana kiasi cha kutosha kupiga draft ndani vyumba vyote vitatu kwa hiyo kazi ya draft imebaki si kubwa .
Pamoja na gharama zote nilizotumia balance ilikuwa laki 4

Huyu fundi alikuwa karibu kabisa na ukweli kwani kwenye actual ni kama 93%. Tatizo hawa huwa wanaongeza vifaa na kama haupo inakula kwako kwani wanavibeba wao wenyewe na kupeleka kwingine. Mimi fundi alidai kofi 44 nikanunua zikabaki 22. Na hapo aliomba kofia mbili nikampa kwani nilisimamia kama vile nakaba mpira wa kona. Mabati (ya migongo mipana) pia yalibaki pamoja na kuwa tulipima mita moja moja lakini 14 hivi yalibaki nikashangaa sana labda hawajui
 
Matunyengule. kwa vipimo vyako vya 7.2mt kwa 11mt. mbao ni 2kwa4=56, 2kwa36 na 1kwa8=15. bati za migogo mipana = 96, mabati ya kawaida =72. mabati yaliyo kama vigae =42

Makadirio haya ni paa la aina gani, na mbao za urefu gani?
 
Mil.3 ni nyingi sana kwa kupigia bat..ninayoijua mie ni 1mil~1.3mil.
 
Back
Top Bottom