Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Asalam Ailekum wandugu,
Nahitaji mtaalam wa kunifanyia makadirio ya ujenzi wa nyumba hususan kupaua kwa kutumia bati. Nyumba ipo Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Natanguliza Asante.
waelykum salaam warahamattullah wabarakattu,mkuu utakapohitaji fundi wa umeme usisite kunijulisha,Email yangu ni jumaramadhani8O3@yahoo.com AU 0718302132