Ndera
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 653
- 548
Amani iwe kwako.
Mbao za 2×4 PC 130 @ft 980 kila ubao tuseme una irefu wa ft.18 kwa hiyo 18×115×980=2,028,600/=
Mbao za 2×2 PC 95 @ft 500 ubao wenye ft 18 inakuwa hivi;
18×85×500=765,000/=
Mbao za 1×10 PC 16×22,000=352,000/=
Jumla kuu ni Tshs. 3,145,600/=
Pesa ya fundi Kupaua kwa mafundi wetu hawa local andaa 1,500,000/=
Kwenye swala la bati nakadiria squire m.270@10,000=2,700,000/= IT 5 bei ya kiwandani.
Nakutakia maandalizi mema Mkuu.
Chief, tafadhali naomba makadirio nyumba yangu ni 13,550mm urefu kwa 10,025mm upana.