alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
Kuvujiwa kubaya sanaHizo ni zile famba, mie zimeanza kupauka, ila almuhimu hatuvujiwi fresh tu, haisumbui ubongo,
Ngoja tuvumilie mpaukoHizo ni zile famba, mie zimeanza kupauka, ila almuhimu hatuvujiwi fresh tu, haisumbui ubongo,
Unapaua na mabati ya msouth ya nini!!?Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Tafuta rangi ya PVA kampuni ya kiboko au plascon.Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Hizo ni zile famba, mie zimeanza kupauka, ila almuhimu hatuvujiwi fresh tu, haisumbui ubongo,
Mzee umeenda direct 🤣Hizo ni zile famba, mie zimeanza kupauka, ila almuhimu hatuvujiwi fresh tu, haisumbui ubongo,
Mpauko sio kesi, kama ww sio mtu wa kujali vitu vidogo, muhimu mvua haipigi ndani, sio kesi kabisa.Ngoja tuvumilie mpauko
Aahh.. Haina haja ya kubumba bumba. 😂Mzee umeenda direct 🤣
Litakuwa ni funzo, walati ujao nitanunua ORIJILINOKupajua ni hatua ya kwanza kabla ya kutu na kuanza rasmi kuvujiwa.
Mm nnachofahamu ,Ata upake rangi gani Kwa hili jua itapauka TU kwahio paka TU kuleta mvutoWakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Uliza kwenye maduka ya ujenzi PVA KIBOKO, zipo takribani rangi 4: blue, kijani, nyekundu na damu ya mzee.Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
So hizi ni maalum kwaajili ya bati tu, na je zinapakwa au inapigwa spray Kama gari?Uliza kwenye maduka ya ujenzi PVA KIBOKO, zipo takribani rangi 4: blue, kijani, nyekundu na damu ya mzee.
Usije ukapaka bati rangi ya ukuta.
Litakuwa ni funzo, walati ujao nitanunua ORIJILINO
PVA ni rangi maalum kwaajili ya paa tu,hata ukienda dukani utaona maandishi ya PVA kwenye ndoo.So hizi ni maalum kwaajili ya bati tu, na je zinapakwa au inapigwa spray Kama gari?