alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha