Kupeleka ajira za ualimu Utumishi ni moja ya maamuzi ya ovyo yaliyowahi kufanywa na serikali

Kupeleka ajira za ualimu Utumishi ni moja ya maamuzi ya ovyo yaliyowahi kufanywa na serikali

Endelea kusubiri kwanza una uhakika gani utapata.
Kupata au kukosa yotee ni matokeo ,,,

Cha msingi watu hawa wafanye mambo kwa wakati ,, kama shughuli zimewaelemea ni vyema wakasema ,,

Kwasababu kuchelewa kwao kwa namna moja au nyingine kunavuruga ratiba nyingine ,
 
Ww n mgeni wa utumishi eee
Of course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???
 
Of course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???
Bc tulia
 
Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.

Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu.

Wakati ajira hizi zipo Tamisemi (kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya) kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini.

Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?

Ushauri: Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi, Tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge, huenda hili likasaidia.
UTUMISHI Wako sahihi wanasubiri bajeti ikipita ndio waite watu interview sababu mishahara ya waajiriwa wapya huwepo kwenye bajeti mpya ikipita wanajua wa ki interview walioshinda wanaingia moja kwa moja kazini na mishahara yao ipo
 
Ishu hapa sio walimu kuwa walalamishi kiukweli utumishi wanafeli Sana.
Pia hao wa kada nyingine sio kama wanapenda kusubili kuitwa saili miezi mitano.
Ni vile wachache ata wakianzisha malalamiko kusikika ni muda mrefu sana hila awapendi TU.
Nahisi kupitia wingi wa walimu ukombozi unakuja utumishi mapungufu Yao mengi yataonekana Sasa ya yatazungumzwa Sana
 
Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.

Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu.

Wakati ajira hizi zipo Tamisemi (kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya) kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini.

Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?

Ushauri: Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi, Tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge, huenda hili likasaidia.
Atakuja hapa ndugu yangu Mbaga Jr atakubeza Sanaa 😊 😅
 
Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?
Utumishi ni kiboko omba Mwezi wa 2 utaitwa Mwezi wa 10/11 interview utapangiwa kazi Mwezi wa 8/9 hukooo yaan ni mwendo wa gap juu ya gap juu ya gap
 
Ishue siyo kada nyingine hebu usinitoe kwenye mada ,, let stick on the topic ,,, issue kulikuwa na ulazima gani kuzielekezea huko?

Hebu tujaribu kutanua ulingo wa kufikiri, okay fine, imeonekana interview ndiyo muarobaini hasa wa nani apate kazi na nani aachwe ,, sasa swali langu je Tamisemi wenyewe walishindwa kuandaa panel ambayo itakuwa responsible katika ku- run interview ya walimu ili kuondoa tatizo la ucheleweshwaji ambao limeshaonekana ni suguu pale utumushi?
Kwa nini tamisemi iandae ikiw Kuna idara iliundwa kufanya hiyo kazi? PSRS hiyo ndio kazi yake
 
Kupata au kukosa yotee ni matokeo ,,,

Cha msingi watu hawa wafanye mambo kwa wakati ,, kama shughuli zimewaelemea ni vyema wakasema ,,

Kwasababu kuchelewa kwao kwa namna moja au nyingine kunavuruga ratiba nyingine ,
Muomba ajira ni muhitaji wa hiyo ajira, hawezi kumpangia anayetoa hiyo ajira. Kama muombaji ana ratiba zingine ataachana na huo mchakato ataendelea na hayo mambo yake mengine

Pia Hakuna kosa kuchelewa, wao pia wana ratiba pengine zimeingiliana ambazo wewe hupaswi kuzijua. Ukishaomba kuwa mpole subiri utaitwa na sio kuwapangia wakuite lini
 
Of course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???
Kwa nini unataka mchakato uende haraka vile unavyopenda? Wewe ni muhitaji kuwa mpole. Ukiona wanachelewa endelea na mambo yako
 
Pia Hakuna kosa kuchelewa, wao pia wana ratiba pengine zimeingiliana ambazo wewe hupaswi kuzijua. Ukishaomba kuwa mpole subiri utaitwa na sio kuwapangia wakuite lini
Mwezi 2 umeomba unakuja kuitwa interview Mwezi wa 11 huko unafanya interview unakuja kupangiwa na kuitwa kazini mwezi wa 10/11 mwaka kesho yake
 
Kwa nini unataka mchakato uende haraka vile unavyopenda? Wewe ni muhitaji kuwa mpole. Ukiona wanachelewa endelea na mambo yako
Mwisho unasahau unakuja kushtuka ulishaitwa interview ukapewa na interview number na imeshapita muda wake kitambo sana in short umepigwa
 
Muomba ajira ni muhitaji wa hiyo ajira, hawezi kumpangia anayetoa hiyo ajira. Kama muombaji ana ratiba zingine ataachana na huo mchakato ataendelea na hayo mambo yake mengine

Pia Hakuna kosa kuchelewa, wao pia wana ratiba pengine zimeingiliana ambazo wewe hupaswi kuzijua. Ukishaomba kuwa mpole subiri utaitwa na sio kuwapangia wakuite lini
Bila shaka wewe ni mnufaika wa huu mfumo mbovu wa Ma CCM na viunga vyake.
 
Bila shaka wewe ni mnufaika wa huu mfumo mbovu wa Ma CCM na viunga vyake.
So ili nionekane sio mnufaika ilibidi nianze kumsympthasize? Sio kwa ajira za serikali tu bali zote ukiomba ajira subiri utaitwa ikitokea hujaitwa kuwa mpole. Pia mtoa ajira anaweza kughairi kuajiri. Nyie madogo nani aliwaambia muomba ajira anampangia mtoa ajira muda wa kuita usaili?
 
Mwezi 2 umeomba unakuja kuitwa interview Mwezi wa 11 huko unafanya interview unakuja kupangiwa na kuitwa kazini mwezi wa 10/11 mwaka kesho yake
Ni sawa tu, wewe uliyeomba ndio unapaswa kuwa mviumilivu, sio yeye anayekupa ajira
 
Back
Top Bottom