Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
- Thread starter
- #21
Kupata au kukosa yotee ni matokeo ,,,Endelea kusubiri kwanza una uhakika gani utapata.
Cha msingi watu hawa wafanye mambo kwa wakati ,, kama shughuli zimewaelemea ni vyema wakasema ,,
Kwasababu kuchelewa kwao kwa namna moja au nyingine kunavuruga ratiba nyingine ,