Kupata au kukosa yotee ni matokeo ,,,Endelea kusubiri kwanza una uhakika gani utapata.
Ww n mgeni wa utumishi eeeKwanini watu wasilalamike mchakato unapokuwa slow namna hii ??
Of course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???Ww n mgeni wa utumishi eee
Bc tuliaOf course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???
UTUMISHI Wako sahihi wanasubiri bajeti ikipita ndio waite watu interview sababu mishahara ya waajiriwa wapya huwepo kwenye bajeti mpya ikipita wanajua wa ki interview walioshinda wanaingia moja kwa moja kazini na mishahara yao ipoKupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.
Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu.
Wakati ajira hizi zipo Tamisemi (kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya) kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini.
Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?
Ushauri: Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi, Tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge, huenda hili likasaidia.
TRA kwa tangazo la mwaka jana mwezi wa sita, mchakato uliendeshwa na bodi ya wahasibu na wakaguzi ( NBAA). Kwa maana nyingine, waliuza kazi ya kusimamia usahili kwa NBAA, badala ya utumishi.TRA ni kazi yao kufanyisha watu interview ???
TRA kwa tangazo la mwaka jana mwezi wa sita, mchakato uliendeshwa na bodi ya wahasibu na wakaguzi ( NBAA). Kwa maana nyingine, waliuza kazi ya kusimamia usahili kwa NBAA, badala ya utumishi.TRA ni kazi yao kufanyisha watu interview ???
Atakuja hapa ndugu yangu Mbaga Jr atakubeza Sanaa 😊 😅Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.
Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu.
Wakati ajira hizi zipo Tamisemi (kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya) kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini.
Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?
Ushauri: Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi, Tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge, huenda hili likasaidia.
Utumishi ni kiboko omba Mwezi wa 2 utaitwa Mwezi wa 10/11 interview utapangiwa kazi Mwezi wa 8/9 hukooo yaan ni mwendo wa gap juu ya gap juu ya gapZilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?
Kwa nini tamisemi iandae ikiw Kuna idara iliundwa kufanya hiyo kazi? PSRS hiyo ndio kazi yakeIshue siyo kada nyingine hebu usinitoe kwenye mada ,, let stick on the topic ,,, issue kulikuwa na ulazima gani kuzielekezea huko?
Hebu tujaribu kutanua ulingo wa kufikiri, okay fine, imeonekana interview ndiyo muarobaini hasa wa nani apate kazi na nani aachwe ,, sasa swali langu je Tamisemi wenyewe walishindwa kuandaa panel ambayo itakuwa responsible katika ku- run interview ya walimu ili kuondoa tatizo la ucheleweshwaji ambao limeshaonekana ni suguu pale utumushi?
Muomba ajira ni muhitaji wa hiyo ajira, hawezi kumpangia anayetoa hiyo ajira. Kama muombaji ana ratiba zingine ataachana na huo mchakato ataendelea na hayo mambo yake mengineKupata au kukosa yotee ni matokeo ,,,
Cha msingi watu hawa wafanye mambo kwa wakati ,, kama shughuli zimewaelemea ni vyema wakasema ,,
Kwasababu kuchelewa kwao kwa namna moja au nyingine kunavuruga ratiba nyingine ,
Kwa nini unataka mchakato uende haraka vile unavyopenda? Wewe ni muhitaji kuwa mpole. Ukiona wanachelewa endelea na mambo yakoOf course yes !!, Na siyo kwamba nilikuwa siwajui hapana ila ni kwasabu maombi yetu yalikuwa hayapitiii kwao ,, hivyo hakukuwa na haja ya kuwafuatilia ,,, lakn sasa yameletwa huku na kwa kweli inashangaza jinsi watu hawa wanavyofanya kazi taratibu mpaka unajiuliza watu wanawezaje kuwavumilia ???
Mwezi 2 umeomba unakuja kuitwa interview Mwezi wa 11 huko unafanya interview unakuja kupangiwa na kuitwa kazini mwezi wa 10/11 mwaka kesho yakePia Hakuna kosa kuchelewa, wao pia wana ratiba pengine zimeingiliana ambazo wewe hupaswi kuzijua. Ukishaomba kuwa mpole subiri utaitwa na sio kuwapangia wakuite lini
Mwisho unasahau unakuja kushtuka ulishaitwa interview ukapewa na interview number na imeshapita muda wake kitambo sana in short umepigwaKwa nini unataka mchakato uende haraka vile unavyopenda? Wewe ni muhitaji kuwa mpole. Ukiona wanachelewa endelea na mambo yako
Bila shaka wewe ni mnufaika wa huu mfumo mbovu wa Ma CCM na viunga vyake.Muomba ajira ni muhitaji wa hiyo ajira, hawezi kumpangia anayetoa hiyo ajira. Kama muombaji ana ratiba zingine ataachana na huo mchakato ataendelea na hayo mambo yake mengine
Pia Hakuna kosa kuchelewa, wao pia wana ratiba pengine zimeingiliana ambazo wewe hupaswi kuzijua. Ukishaomba kuwa mpole subiri utaitwa na sio kuwapangia wakuite lini
So ili nionekane sio mnufaika ilibidi nianze kumsympthasize? Sio kwa ajira za serikali tu bali zote ukiomba ajira subiri utaitwa ikitokea hujaitwa kuwa mpole. Pia mtoa ajira anaweza kughairi kuajiri. Nyie madogo nani aliwaambia muomba ajira anampangia mtoa ajira muda wa kuita usaili?Bila shaka wewe ni mnufaika wa huu mfumo mbovu wa Ma CCM na viunga vyake.
Ni sawa tu, wewe uliyeomba ndio unapaswa kuwa mviumilivu, sio yeye anayekupa ajiraMwezi 2 umeomba unakuja kuitwa interview Mwezi wa 11 huko unafanya interview unakuja kupangiwa na kuitwa kazini mwezi wa 10/11 mwaka kesho yake