Ulikujaga humu na malalamiko km haya.Yupi tena mkuu...😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikujaga humu na malalamiko km haya.Yupi tena mkuu...😀
Kabisa bora mtu ajue,shida anakuwa anajipa matumaini kwamba huenda kuna siku utampenda,fyuu sitaki hata kukumbukaAdela popote ulipo unisamehe, nakumbuka ulivyonipenda kwa dhati, nakumbuka ulivyolia mbele yangu kwa uchungu.
Nilijaribu kuwa muwazi kwako kuwa nikikubali tuwe na uhusiano nitakuumiza bure...kumbe nilitia petrol kiberiti...ulilia sana lkn haikubadili kitu.
Nimejifunza kuepuka mapenzi yakumhurumia mtu kwani ni matesi ya kesho.
Huwa najitahidi kuwa muwazi kama najua sina future naqe au sijakuelewa hata sijisumbui kukupa matumainiKabisa bora mtu ajue,shida anakuwa anajipa matumaini kwamba huenda kuna siku utampenda,fyuu sitaki hata kukumbuka
Hili tatizo mtu ambaye hajalipitia hawezi kulielewa.Mahusiano yana mengi sana.
Kuna nyakati unakuwa na mtu anayekuonesha mapenzi ya dhati, anakufanyia kila kitu lakini haum'feel kabisa. Unajaribu kumkasirisha ili labda akasirike akuache lakini wapi, kila kosa lako analisamehe na mara nyingine yeye ndo anakuwa anaomba msamaha kwa makosa yako.
Unajaribu kupunguza kumjali ili pengine umfanye na yeye aanze kukaa mbali na wewe lakini haitokei hivyo. Atalia atalalamika lakini bado atabaki na wewe. Unatamani umwambie muachane lakini unakuwa unamuonea huruma. Unabaki kuendelea kupata mapenzi motomoto ambayo hauyahitaji na huku siku zikisonga ukiomba lolote litokee muachane...
Pole yake sana, hayanaga muongozo...
Unakua katika usalama zaidi wa akili, afya na uchumi wako unapokua katika mahusiano na mtu ambaye yeye ndie anakupenda kuliko ambae wewe ndie unampenda.Mahusiano yana mengi sana.
Kuna nyakati unakuwa na mtu anayekuonesha mapenzi ya dhati, anakufanyia kila kitu lakini haum'feel kabisa. Unajaribu kumkasirisha ili labda akasirike akuache lakini wapi, kila kosa lako analisamehe na mara nyingine yeye ndo anakuwa anaomba msamaha kwa makosa yako.
Unajaribu kupunguza kumjali ili pengine umfanye na yeye aanze kukaa mbali na wewe lakini haitokei hivyo. Atalia atalalamika lakini bado atabaki na wewe. Unatamani umwambie muachane lakini unakuwa unamuonea huruma. Unabaki kuendelea kupata mapenzi motomoto ambayo hauyahitaji na huku siku zikisonga ukiomba lolote litokee muachane...
Kuna limoja lazima liwe kolo.Hakuna mahusiano ya wote mkawa mnapendana sawa hakuna kitu kama icho mkuu. Hata huyo ulienae unaedhani unampenda kumbe nae anampenda mwingine.
Halafu mkiachana na ww unampenda mwingine, ila yeye hana habari na weweMahusiano yana mengi sana.
Kuna nyakati unakuwa na mtu anayekuonesha mapenzi ya dhati, anakufanyia kila kitu lakini haum'feel kabisa. Unajaribu kumkasirisha ili labda akasirike akuache lakini wapi, kila kosa lako analisamehe na mara nyingine yeye ndo anakuwa anaomba msamaha kwa makosa yako.
Unajaribu kupunguza kumjali ili pengine umfanye na yeye aanze kukaa mbali na wewe lakini haitokei hivyo. Atalia atalalamika lakini bado atabaki na wewe. Unatamani umwambie muachane lakini unakuwa unamuonea huruma. Unabaki kuendelea kupata mapenzi motomoto ambayo hauyahitaji na huku siku zikisonga ukiomba lolote litokee muachane...
Nimeshakumbuka 😀Ulikujaga humu na malalamiko km haya.
Basi una nyota ya nyuki mkuu, wakikuangalia wanaona asali tuNimeshakumbuka 😀
Yule yalikuja yakaaisha...
Dawa ipi hiyoo?Ilishawahi nitokea,aseee mbona nilitafuta dawa,sio kwa kuganda kule hata umpige tukio gani ye yumo tu
Haswaaa!! Boraa umuambiee hat km akiumiaa lakini awe na amanii kwakee.Kutomwambia mtu anayekupenda ukweli kwamba umuitaji ni dhambi kubwa sana!!
KabiiiiiiiiiisaPole yake sana, hayanaga muongozo...
Ni hatari...Basi una nyota ya nyuki mkuu, wakikuangalia wanaona asali tu
Umekula nini kwani wewe?Nyie mbuzi kila siku mnalia lia humu kuwa siku hizi hamna upendo wa dhati!! Kumbe mnapendwa ina mnapenda changamoto!!🤣🤣🤣
Basi na mnyooshwe tu.