Kupendwa sana na mtu ambaye humpendi ni moja ya kero ambayo haisemwi

Kabisa bora mtu ajue,shida anakuwa anajipa matumaini kwamba huenda kuna siku utampenda,fyuu sitaki hata kukumbuka
 
Kabisa bora mtu ajue,shida anakuwa anajipa matumaini kwamba huenda kuna siku utampenda,fyuu sitaki hata kukumbuka
Huwa najitahidi kuwa muwazi kama najua sina future naqe au sijakuelewa hata sijisumbui kukupa matumaini
 
Hili tatizo mtu ambaye hajalipitia hawezi kulielewa.
 
Unakua katika usalama zaidi wa akili, afya na uchumi wako unapokua katika mahusiano na mtu ambaye yeye ndie anakupenda kuliko ambae wewe ndie unampenda.

Achana na upumbavu wa soulmate na maigizo unayoyaona kwenye tamthilia za wafalipino, otherwise you wil learn the hard way.
 
Hakuna mahusiano ya wote mkawa mnapendana sawa hakuna kitu kama icho mkuu. Hata huyo ulienae unaedhani unampenda kumbe nae anampenda mwingine.
Kuna limoja lazima liwe kolo.
Hapo dem wake ni kolo ila nae akienda kwa mwingine yeye ndo anakua kolo huku dem mpya akitafuta nae chimbo jipya ili nae awe kolo
 
Halafu mkiachana na ww unampenda mwingine, ila yeye hana habari na wewe
 
Nyie mbuzi kila siku mnalia lia humu kuwa siku hizi hamna upendo wa dhati!! Kumbe mnapendwa ina mnapenda changamoto!!🤣🤣🤣
Basi na mnyooshwe tu.
Umekula nini kwani wewe?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…