CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.
Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Hii ishu niko nayo muda huu aisee, Mm nilitaka kupiga then nikimbie ila ndo mambo yamekolea afu n mtamu knoma πKuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
Hatari sana, yataka moyo kumfanyia ukatili, hasa ukikumbuka ile miguno yake.Hii ishu niko nayo muda huu aisee, Mm nilitaka kupiga then nikimbie ila ndo mambo yamekolea afu n mtamu knoma π
Yn mm ht cjui nimtafutie kosa gn, kuna kipindi alizingua ila cjui moyo wa kumsamehe kirahisi vile ulitoka wap π cjui n kisa yy n mtamu au vp πHatari sana, yataka moyo kumfanyia ukatili, hasa ukikumbuka ile miguno yake.
Umeonaee hajakutana nasisi, lazima aniambie alipo, mbele yake anaona nini. Akiamka aliota ndoto gani. Muda huo anawaza nini. Hawa hawajui mapenzi hawa π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yan hajakutana na mm natamni had nijue ukilala uniambie umegeuka upande ganiπππ
ndo wanaita mahaba ndindindi?Umeonaee hajakutana nasisi, lazima aniambie alipo, mbele yake anaona nini. Akiamka aliota ndoto gani. Muda huo anawaza nini. Hawa hawajui mapenzi hawa π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Achana na hao matapeli single momsKuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
Kweli mkuu ilikuwa hifadhi ya muda kutolea kutu basi, nina familia yangu.Achana na hao matapeli single moms
Kuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.
Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.
πππHuyo ni mrembo ambaye anapenda attention kila mara,,wale wa baby umekula,,umeshaoga,,,unafanya nini sasa hivi?
Unalo hilo,,pambana nalo
Ww uko kama mm, kuna unawaza hela na maisha ya baadae. Mwenzio anaona huna upendo kwake. Kwangu ni kero kabisaYaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.
Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
π€£π€£π€£π€£Hii ishu niko nayo muda huu aisee, Mm nilitaka kupiga then nikimbie ila ndo mambo yamekolea afu n mtamu knoma π
Au nikupikie nini leo? Sijawahi kuchagua chakula chake lakini swali hilo nina miaka imepita halitoki nyumbani kwangu.Siku hizi siwezi haya mambo ya umekula n.k sijui ndio ukubwa mpaka najishtukia.