Kupigana kwa Israel na Iran ni mipango ya Mungu kuipa ushindi Hamas

Kupigana kwa Israel na Iran ni mipango ya Mungu kuipa ushindi Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na Israel.

Mara ngapi Netanyahu amezungumza maneno ya kiburi kwa rafiki zake na mbaya zaidi kwa Mungu mwenyewe.Ameiambia Marekani ataingia Rafah hata bila msaada wa Marekani.Kwa Mungu akasema hakuna mtu wala nguvu yoyote itakayoizuia Israel kuingia Rafah.

Israel kwa kichwa chake bapa waliona kama kwamba matatizo yaliyowapata yalisababishwa na Iran moja kwa moja kumbe ni matokeo ya makosa na kiburi chake cha muda mrefu ambapo Mungu alikuwa anawaangalia tu na kuwapangia mpango wa kushindwa mikononi mwa waja wake.

Hatimae Israel ikawa inaifanyia vitimbi Iran.Mara iuwe watu waliojikushanya kuomboleza kifo cha Omar Suleiman,na mwishowe ikaamua kuupiga ubalozi wa Iran nchini Syria.Yote hayo waliyafanya wakiona Iran ndiyo iliyosababisha kupata shida mbali mbali nchini Israel na hasa za kiuchumi.

Houth wamezuia mpaka bandari ya Eliat kufanaya kazi na Hizbullah imehamisha watu wote wa Israel kutoka kaskazini ya nchi na kupelekea maandamano katikati ya nchi na miji mikuu watu wakitaka vita viishe na mateka warudi.

Kuupiga ubalozi wa Iran wa Syria na kuua majenerali wa Iran kwa mara nyengine walidhani ndio kuitia adabu Iran na kwamba Iran itaogopa na kuacha kuunga mkono makundi yanayoipa shida nchi hiyo.Matokeo yake kumbe wamechezea nyuki kwa kuupiga mzinga wao kwa ndimu.

Historia imeandikwa kuwa Iran imeipiga Israel moja kwa moja ndani ya nchi yake na kwa mara ya mwanzo katika historia na Israel imenywea na kubaki kutorudisha ngumi kwa siku kadhaa.

Kabla akina Kinyungu na imeloa na MK254 hawajasema nimeandika maneno mengi ni kuwa kupigwa kwa Israel kumeipunguza nguvu ya kupambana na Hamas na rasmi wamesema hawana tena tarehe ya kuipiga Rafah ziliko batalioni 4 za Hamas ambako huenda viongozi wa Hamas wamejificha pamoja na mateka ambao hawajaweza kuokolewa.

Watu wa Gaza wanarudi majumbani kwao kwa kasi japo kuna batalioni ya IDF ambayo imeachwa iwazuie kufanya hivyo.Hali hiyo ni tangazo rasmi la kusema vita vya Gaza vimewashinda na Hamas wameachwa na ushindi.

Mipango ya ALLAH ya kuidhalilisha Israel yenye kiburi inaendelea vyema.Kila wanavyopanga kujibu ndio Israel inaendelea kumeguka.Haitaishia hapo tu bali tawala nyengine za kijinga jinga na dhulma kama za Misri,Jordan na Saudia nazo zitapigwa na vikundi vidogo sana vya wapinzani na kuondoshwa madarakani.

1713207710381.png
 
Allah ni mbora wa mipango na alikianzisha na muiran balaa lake litakua kubwa sana hapo middle east. Maana kila nchi itakayo husika itapewa dozi yake kulingana na upumbavu wake
Tulisema mwanzo na wengi wasiomjua Allah wakapuuza.
Houth wana uwezo wa kumrudishia kipigo Saudi Arabia akiendelea kumkingia kifua Israel.Visima vya mafuta vya Saudia vitawashwa moto vyote na jeuri yake itaisha.
 
Allah ni mbora wa mipango na alikianzisha na muiran balaa lake litakua kubwa sana hapo middle east. Maana kila nchi itakayo husika itapewa dozi yake kulingana na upumbavu wake
Mkasa wa Netanyahu na Gaza huko mbele tutauandikia kitabu inshaAllah tukikumbushia yaliyompata Firauni na waliomtangulia ambao walfanya ufisadi mkubwa lakini wakapigwa na fimbo kama za ubua.
 
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na Israel.

Mara ngapi Netanyahu amezungumza maneno ya kiburi kwa rafiki zake na mbaya zaidi kwa Mungu mwenyewe.Ameiambia Marekani ataingia Rafah hata bila msaada wa Marekani.Kwa Mungu akasema hakuna mtu wala nguvu yoyote itakayoizuia Israel kuingia Rafah.

Israel kwa kichwa chake bapa waliona kama kwamba matatizo yaliyowapata yalisababishwa na Iran moja kwa moja kumbe ni matokeo ya makosa na kiburi chake cha muda mrefu ambapo Mungu alikuwa anawaangalia tu na kuwapangia mpango wa kushindwa mikononi mwa waja wake.

Hatimae Israel ikawa inaifanyia vitimbi Iran.Mara iuwe watu waliojikushanya kuomboleza kifo cha Omar Suleiman,na mwishowe ikaamua kuupiga ubalozi wa Iran nchini Syria.Yote hayo waliyafanya wakiona Iran ndiyo iliyosababisha kupata shida mbali mbali nchini Israel na hasa za kiuchumi.

Houth wamezuia mpaka bandari ya Eliat kufanaya kazi na Hizbullah imehamisha watu wote wa Israel kutoka kaskazini ya nchi na kupelekea maandamano katikati ya nchi na miji mikuu watu wakitaka vita viishe na mateka warudi.

Kuupiga ubalozi wa Iran wa Syria na kuua majenerali wa Iran kwa mara nyengine walidhani ndio kuitia adabu Iran na kwamba Iran itaogopa na kuacha kuunga mkono makundi yanayoipa shida nchi hiyo.Matokeo yake kumbe wamechezea nyuki kwa kuupiga mzinga wao kwa ndimu.

Historia imeandikwa kuwa Iran imeipiga Israel moja kwa moja ndani ya nchi yake na kwa mara ya mwanzo katika historia na Israel imenywea na kubaki kutorudisha ngumi kwa siku kadhaa.

Kabla akina Kinyungu na imeloa na MK254 hawajasema nimeandika maneno mengi ni kuwa kupigwa kwa Israel kumeipunguza nguvu ya kupambana na Hamas na rasmi wamesema hawana tena tarehe ya kuipiga Rafah ziliko batalioni 4 za Hamas ambako huenda viongozi wa Hamas wamejificha pamoja na mateka ambao hawajaweza kuokolewa.

Watu wa Gaza wanarudi majumbani kwao kwa kasi japo kuna batalioni ya IDF ambayo imeachwa iwazuie kufanya hivyo.Hali hiyo ni tangazo rasmi la kusema vita vya Gaza vimewashinda na Hamas wameachwa na ushindi.

Mipango ya ALLAH ya kuidhalilisha Israel yenye kiburi inaendelea vyema.Kila wanavyopanga kujibu ndio Israel inaendelea kumeguka.Haitaishia hapo tu bali tawala nyengine za kijinga jinga na dhulma kama za Misri,Jordan na Saudia nazo zitapigwa na vikundi vidogo sana vya wapinzani na kuondoshwa madarakani.

View attachment 2964613


Kaka hv unachuki na wapalestina ama.. yaan unaimba humu Hamas wameshinda hv unajua madhila wanayopata wapalestina.. wamelundikana kwenye tents vyakula vya mgao.. we unaimba eti wameshinda vita.. we unakuwa kama hao viongoz wa hamas.. wajo
Qatar wanaimba ngonjera

Wameleta vita za kizaman .. vita za ss hv kabla hujaanzisha unaangalia athari utakayoipata kiuchumi na walfare ya watu wako..

Walichokifanya hamas wamerudisha palestina 20 years ago.. wameua kizaz ambacho kingekuja kuleta mageuzi.. wamewapa
Israel upper hand ya kuendelea
Ukandamizaji... Arafat angekuwa na akili
Kama zao basi Leo Palestina isingekuwepo

Watu wapalestina wanateseka sana.. nachukia
Anachokifanya israel hamas wametumia
Mihemuko .. ilitakiwa hamas huku wakijua kuwa hawa match na nguvu ya israel kwa sasa.. basi wangejiandaa hasa na kuhakikisha wanapata uhakika kuwa wakilianzisha basi iran na wengine wataingia.. lengo ni kuhakikisha wana Level the ground.. yaan kama kufabya miji magofu basi kote kuwe magofu israel na palestina

Sio kuanzisha vita ambavyo 6 months later nyie mmeua na kuteka 1200.. mmeuawa zaid ya laki moja.. na almost 90% ya nchi yenu imekuwa
Magofu..

Ukitaka kujua kuwa hamas anatumika na Iran.. angalia kawaacha palestina 6 monthn wanauliwa yeye karusha rockets tena kwa angalizo na kutoa mda israel na wenzie wajipange.. na ameshasema ameshalipiza hana mpango wa kupiga israel tena

Maana yake kuwajali kwake gaza sio kwa kiwango cha kuingia vitan..

Kumbuka Iran ni shia ila Palestina ni 90% Sunni so Iran msaada wake kwa palestina yuko kwa ajili Ya ku gain power middle East wala ndo maana anaenda kimahesabu.. anatoa silaha wauawe

Ndo maana Yasser Arafat baba wa palestina alikuwa smart approach zake kwa israel.. Has leaders hawana uchungu na palestinians
 
Kaka hv unachuki na wapalestina ama.. yaan unaimba humu Hamas wameshinda hv unajua madhila wanayopata wapalestina.. wamelundikana kwenye tents vyakula vya mgao.. we unaimba eti wameshinda vita.. we unakuwa kama hao viongoz wa hamas.. wajo
Qatar wanaimba ngonjera

Wameleta vita za kizaman .. vita za ss hv kabla hujaanzisha unaangalia athari utakayoipata kiuchumi na walfare ya watu wako..

Walichokifanya hamas wamerudisha palestina 20 years ago.. wameua kizaz ambacho kingekuja kuleta mageuzi.. wamewapa
Israel upper hand ya kuendelea
Ukandamizaji... Arafat angekuwa na akili
Kama zao basi Leo Palestina isingekuwepo

Watu wapalestina wanateseka sana.. nachukia
Anachokifanya israel hamas wametumia
Mihemuko .. ilitakiwa hamas huku wakijua kuwa hawa match na nguvu ya israel kwa sasa.. basi wangejiandaa hasa na kuhakikisha wanapata uhakika kuwa wakilianzisha basi iran na wengine wataingia.. lengo ni kuhakikisha wana Level the ground.. yaan kama kufabya miji magofu basi kote kuwe magofu israel na palestina

Sio kuanzisha vita ambavyo 6 months later nyie mmeua na kuteka 1200.. mmeuawa zaid ya laki moja.. na almost 90% ya nchi yenu imekuwa
Magofu..

Ukitaka kujua kuwa hamas anatumika na Iran.. angalia kawaacha palestina 6 monthn wanauliwa yeye karusha rockets tena kwa angalizo na kutoa mda israel na wenzie wajipange.. na ameshasema ameshalipiza hana mpango wa kupiga israel tena

Maana yake kuwajali kwake gaza sio kwa kiwango cha kuingia vitan..

Kumbuka Iran ni shia ila Palestina ni 90% Sunni so Iran msaada wake kwa palestina yuko kwa ajili Ya ku gain power middle East wala ndo maana anaenda kimahesabu.. anatoa silaha wauawe

Ndo maana Yasser Arafat baba wa palestina alikuwa smart approach zake kwa israel.. Has leaders hawana uchungu na palestinians
Una mawazo ya kitoto sana kuhusiana na vita na kinachoendlelea mashariki ya kati.
 
Kinachowasumbua mnahusisha Allah ndio maana anawageuka..

Kasome Dini upya.. Kuteka Watoto, Wazee na wanawake kama Allah atakuwa upande wako.. kisha urudi ukimaliza kusoma.
 
Kinachowasumbua mnahusisha Allah ndio maana anawageuka..

Kasome Dini upya.. Kuteka Watoto, Wazee na wanawake kama Allah atakuwa upande wako.. kisha urudi ukimaliza kusoma.
Nani mbaya zaidi kati ya yule anayeteka na yule anayewaua kabisa tena sio 1000 ni maelfu ya watu kwa miaka mingi.
 
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na Israel.

Mara ngapi Netanyahu amezungumza maneno ya kiburi kwa rafiki zake na mbaya zaidi kwa Mungu mwenyewe.Ameiambia Marekani ataingia Rafah hata bila msaada wa Marekani.Kwa Mungu akasema hakuna mtu wala nguvu yoyote itakayoizuia Israel kuingia Rafah.

Israel kwa kichwa chake bapa waliona kama kwamba matatizo yaliyowapata yalisababishwa na Iran moja kwa moja kumbe ni matokeo ya makosa na kiburi chake cha muda mrefu ambapo Mungu alikuwa anawaangalia tu na kuwapangia mpango wa kushindwa mikononi mwa waja wake.

Hatimae Israel ikawa inaifanyia vitimbi Iran.Mara iuwe watu waliojikushanya kuomboleza kifo cha Omar Suleiman,na mwishowe ikaamua kuupiga ubalozi wa Iran nchini Syria.Yote hayo waliyafanya wakiona Iran ndiyo iliyosababisha kupata shida mbali mbali nchini Israel na hasa za kiuchumi.

Houth wamezuia mpaka bandari ya Eliat kufanaya kazi na Hizbullah imehamisha watu wote wa Israel kutoka kaskazini ya nchi na kupelekea maandamano katikati ya nchi na miji mikuu watu wakitaka vita viishe na mateka warudi.

Kuupiga ubalozi wa Iran wa Syria na kuua majenerali wa Iran kwa mara nyengine walidhani ndio kuitia adabu Iran na kwamba Iran itaogopa na kuacha kuunga mkono makundi yanayoipa shida nchi hiyo.Matokeo yake kumbe wamechezea nyuki kwa kuupiga mzinga wao kwa ndimu.

Historia imeandikwa kuwa Iran imeipiga Israel moja kwa moja ndani ya nchi yake na kwa mara ya mwanzo katika historia na Israel imenywea na kubaki kutorudisha ngumi kwa siku kadhaa.

Kabla akina Kinyungu na imeloa na MK254 hawajasema nimeandika maneno mengi ni kuwa kupigwa kwa Israel kumeipunguza nguvu ya kupambana na Hamas na rasmi wamesema hawana tena tarehe ya kuipiga Rafah ziliko batalioni 4 za Hamas ambako huenda viongozi wa Hamas wamejificha pamoja na mateka ambao hawajaweza kuokolewa.

Watu wa Gaza wanarudi majumbani kwao kwa kasi japo kuna batalioni ya IDF ambayo imeachwa iwazuie kufanya hivyo.Hali hiyo ni tangazo rasmi la kusema vita vya Gaza vimewashinda na Hamas wameachwa na ushindi.

Mipango ya ALLAH ya kuidhalilisha Israel yenye kiburi inaendelea vyema.Kila wanavyopanga kujibu ndio Israel inaendelea kumeguka.Haitaishia hapo tu bali tawala nyengine za kijinga jinga na dhulma kama za Misri,Jordan na Saudia nazo zitapigwa na vikundi vidogo sana vya wapinzani na kuondoshwa madarakani.

View attachment 2964613
Siyo kweli, taifa lake teule ni Israel
 
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na Israel.

Mara ngapi Netanyahu amezungumza maneno ya kiburi kwa rafiki zake na mbaya zaidi kwa Mungu mwenyewe.Ameiambia Marekani ataingia Rafah hata bila msaada wa Marekani.Kwa Mungu akasema hakuna mtu wala nguvu yoyote itakayoizuia Israel kuingia Rafah.

Israel kwa kichwa chake bapa waliona kama kwamba matatizo yaliyowapata yalisababishwa na Iran moja kwa moja kumbe ni matokeo ya makosa na kiburi chake cha muda mrefu ambapo Mungu alikuwa anawaangalia tu na kuwapangia mpango wa kushindwa mikononi mwa waja wake.

Hatimae Israel ikawa inaifanyia vitimbi Iran.Mara iuwe watu waliojikushanya kuomboleza kifo cha Omar Suleiman,na mwishowe ikaamua kuupiga ubalozi wa Iran nchini Syria.Yote hayo waliyafanya wakiona Iran ndiyo iliyosababisha kupata shida mbali mbali nchini Israel na hasa za kiuchumi.

Houth wamezuia mpaka bandari ya Eliat kufanaya kazi na Hizbullah imehamisha watu wote wa Israel kutoka kaskazini ya nchi na kupelekea maandamano katikati ya nchi na miji mikuu watu wakitaka vita viishe na mateka warudi.

Kuupiga ubalozi wa Iran wa Syria na kuua majenerali wa Iran kwa mara nyengine walidhani ndio kuitia adabu Iran na kwamba Iran itaogopa na kuacha kuunga mkono makundi yanayoipa shida nchi hiyo.Matokeo yake kumbe wamechezea nyuki kwa kuupiga mzinga wao kwa ndimu.

Historia imeandikwa kuwa Iran imeipiga Israel moja kwa moja ndani ya nchi yake na kwa mara ya mwanzo katika historia na Israel imenywea na kubaki kutorudisha ngumi kwa siku kadhaa.

Kabla akina Kinyungu na imeloa na MK254 hawajasema nimeandika maneno mengi ni kuwa kupigwa kwa Israel kumeipunguza nguvu ya kupambana na Hamas na rasmi wamesema hawana tena tarehe ya kuipiga Rafah ziliko batalioni 4 za Hamas ambako huenda viongozi wa Hamas wamejificha pamoja na mateka ambao hawajaweza kuokolewa.

Watu wa Gaza wanarudi majumbani kwao kwa kasi japo kuna batalioni ya IDF ambayo imeachwa iwazuie kufanya hivyo.Hali hiyo ni tangazo rasmi la kusema vita vya Gaza vimewashinda na Hamas wameachwa na ushindi.

Mipango ya ALLAH ya kuidhalilisha Israel yenye kiburi inaendelea vyema.Kila wanavyopanga kujibu ndio Israel inaendelea kumeguka.Haitaishia hapo tu bali tawala nyengine za kijinga jinga na dhulma kama za Misri,Jordan na Saudia nazo zitapigwa na vikundi vidogo sana vya wapinzani na kuondoshwa madarakani.

View attachment 2964613
Mungu yupi unaizungumzia? Au yule anayekaa ndani ya lele jiwe pale Saudi Arabia?
 
Inaposemwa Mungu si Asumani wengine huwa hawafahamu maana yake.Sisi wengine tunaomfahamu Mungu(Allah) pamoja na ugumu tuliouona tulijua kuwa mwishowe Hamas ndio watakaoshinda vita kati yake na Israel.

Mara ngapi Netanyahu amezungumza maneno ya kiburi kwa rafiki zake na mbaya zaidi kwa Mungu mwenyewe.Ameiambia Marekani ataingia Rafah hata bila msaada wa Marekani.Kwa Mungu akasema hakuna mtu wala nguvu yoyote itakayoizuia Israel kuingia Rafah.

Israel kwa kichwa chake bapa waliona kama kwamba matatizo yaliyowapata yalisababishwa na Iran moja kwa moja kumbe ni matokeo ya makosa na kiburi chake cha muda mrefu ambapo Mungu alikuwa anawaangalia tu na kuwapangia mpango wa kushindwa mikononi mwa waja wake.

Hatimae Israel ikawa inaifanyia vitimbi Iran.Mara iuwe watu waliojikushanya kuomboleza kifo cha Omar Suleiman,na mwishowe ikaamua kuupiga ubalozi wa Iran nchini Syria.Yote hayo waliyafanya wakiona Iran ndiyo iliyosababisha kupata shida mbali mbali nchini Israel na hasa za kiuchumi.

Houth wamezuia mpaka bandari ya Eliat kufanaya kazi na Hizbullah imehamisha watu wote wa Israel kutoka kaskazini ya nchi na kupelekea maandamano katikati ya nchi na miji mikuu watu wakitaka vita viishe na mateka warudi.

Kuupiga ubalozi wa Iran wa Syria na kuua majenerali wa Iran kwa mara nyengine walidhani ndio kuitia adabu Iran na kwamba Iran itaogopa na kuacha kuunga mkono makundi yanayoipa shida nchi hiyo.Matokeo yake kumbe wamechezea nyuki kwa kuupiga mzinga wao kwa ndimu.

Historia imeandikwa kuwa Iran imeipiga Israel moja kwa moja ndani ya nchi yake na kwa mara ya mwanzo katika historia na Israel imenywea na kubaki kutorudisha ngumi kwa siku kadhaa.

Kabla akina Kinyungu na imeloa na MK254 hawajasema nimeandika maneno mengi ni kuwa kupigwa kwa Israel kumeipunguza nguvu ya kupambana na Hamas na rasmi wamesema hawana tena tarehe ya kuipiga Rafah ziliko batalioni 4 za Hamas ambako huenda viongozi wa Hamas wamejificha pamoja na mateka ambao hawajaweza kuokolewa.

Watu wa Gaza wanarudi majumbani kwao kwa kasi japo kuna batalioni ya IDF ambayo imeachwa iwazuie kufanya hivyo.Hali hiyo ni tangazo rasmi la kusema vita vya Gaza vimewashinda na Hamas wameachwa na ushindi.

Mipango ya ALLAH ya kuidhalilisha Israel yenye kiburi inaendelea vyema.Kila wanavyopanga kujibu ndio Israel inaendelea kumeguka.Haitaishia hapo tu bali tawala nyengine za kijinga jinga na dhulma kama za Misri,Jordan na Saudia nazo zitapigwa na vikundi vidogo sana vya wapinzani na kuondoshwa madarakani.

View attachment 2964613
kweli eeh
 
Back
Top Bottom