Kupigwa kwa kambi ya Jabaliya. Watoto wanabeba maiti za wenzao

Kupigwa kwa kambi ya Jabaliya. Watoto wanabeba maiti za wenzao

Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.

Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.

Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.

1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.

2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.

Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.

Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.

Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.

Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.

Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.

imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.


Watoto wapi mbona ni mababa wenye misuli. Ila hamas hawana akili kabisa. Kama waliona vita ndio suluhisho la matatizo yao basi acha vita ipiganwe
 
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.

Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.

Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.

1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.

2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.

Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.

Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.

Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.

Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.

Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.

imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.


haya mambo mnatakiwa mkayajadili na hamas, halafu mtuletee mrejesho, sio mnachokoza watu wakubwa mkipigwa mnarudi kulialia.
 
Wakristo wa Ulaya wana huruma kuliko wa Tanzania.Sijui ni kwa nini.
Katibu mkuu UN pia kaona ukweli lakini huyu pangu pakavu hapati huruma kama hiyo.
Tafuta Bible usome Amosi 1:6-8 haya mambo yote yalishaelezwa unabii unatimia
 
Unajua nyie waarabu wa Tegeta kwa Ndevu mnanishangaza sana, mkisikia Israel kuvulumishiwa makombora mnafurahi sanaa! Mtaanzisha humu nyuzi za kuwasifia hamas na Kila aina za kuwapamba, lkn kibao kikigeuka nyie wa kwanza kulialia. Hebu semeni basi mnatakaje hasa? Kwamba Israel iwaache tu muishambulie na isijibu hata pigo Moja?.

Kwa hizi tabia zenu za kinafiki mtapigwa sanaaaa!!... Dunia yote iliyostarabika inawajua vzr tabia zenu, unafiki, lawama, ubaguzi na kujiona nyie mnathamani kuliko binadamu wenzenu.

Ukitaka kujua tabia halisi za Hawa watu kama wewe ni mfatiliaji wa mpira hebu tizama timu za waarabu hasa hasa wanapocheza na timu ambazo sio waarabu wenzao ni washenzi hawana kipimo.
 
Wakristo wa Ulaya wana huruma kuliko wa Tanzania.Sijui ni kwa nini.
Katibu mkuu UN pia kaona ukweli lakini huyu pangu pakavu hapati huruma kama hiyo.
Mtaanzisha hizi nyuzi mpaka mchoke tu na hazisaidii lo lote. Za chini ya kapeti zinasema kwamba MOSSAD na CIA waliujua mchezo wote na wakauachia tu collateral damage itokee ili watoe kichapo kikali cha karne kwa HAMAS. Na wamemkuta Bibi akiwa mdhaifu kisiasa na bila shaka tukio hili kwake ni zawadi kubwa sana.

Na HAMAS walivyo. Wanarusha maroketi yao kutokea katikati ya watu. Wayahudi nao wanajibu mapigo kwa kufuatisha roketi lilipotokea. Mara paap kumbe limerushwa kutokea Kambi ya wakimbizi, hoteli, shuleni au hospitali. Mwenye kosa hapo ni nani?
HAMAS waache kutumia raia na hasa wanawake na watoto kama human shield.

Screenshot_20231031_170843_US Newspapers.jpg


Wajitokeze tu zipigwe kavu kavu kama walivyofanya walipovamia Israel wakachukua mateka na kuua raia wasio na makosa wakiwemo wanawake na watoto...

 
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.

Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.

Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.

1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.

2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.

Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.

Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.

Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.

Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.

Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.

imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.


hawa HAMAS sidhani kama watarudia
 
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.

Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.

Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.

1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.

2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.

Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.

Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.

Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.

Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.

Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.

imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.


Si uliwahi kusema Yemen imeingilia kati kumshikisha adabu Muisrael? Ebu wakumbushe Mwamba Alwaz!
 
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina kutoka maeneo yao jirani na hapo mnamo mwaka 1948.

Katika taarifa yake serikali ya Israel kupitia msemaji wa jeshi imesema ilifanya hivyo ili kumpata kamanda mmoja wa Hamas aliyeshiriki kupanga shambulio la Oktoba 7.

Kupigwa kwa kambi hiyo ndio kumeijulisha dunia zaidi Israel na jeshi lake la IDF ni nani.

1. Ni waongo sana
Hamas wamesema hawana kamanda yeyote anayeishi kwenye kambi hiyo.

2.Ni waoga wa mwisho
Walikuwa wanamsaka kamanda mmoja lakini wamerusha makombora 7 mazito yaliyoangusha majengo zaidi ya 20.Inakuwaje mtu mmoja anapigwa na idadi ya yote hiyo ya makombora.

Kwa vile wametangaza wameshaingia Gaza si wangetuma askari kwenda kumuu huyo kama waliyemtaka bila kutumia ndege.

Katika shambulio hilo watu zaidi ya 100 wengi wakiwa ni watoto wameripotiwa kufa hapo hapo na wengi kujeruhiwa.

Waandishi wa habari na wahudumu wa mashirika ya kutoa misaada ambao si waislamu wamehuzunishwa sana na shambulio hilo kwa watu maskini.

Kilichowatoa machozi baadhi yao ni kuona watoto wadogo wakibeba maiti za watoto wenzao na wengine wakbeba majeruhi waliokuwa viuongo vikidondoka chini.

Akinamama na watoto walionekana kupata mshtuko na kutojua wapi waelekee na maiti na majeruhi hao mikononi mwao.

imewahuzunisha sana kuona watoto wa kike kwa kiume wakiingia kwenye shughuli hiyo kubeba maiti na majeruhi bila kuelekezwa na yeyote huku wakiwa wamechanganyikiwa.


Watoto ndo wenye kambi, kamanda aliuliwa mtoto au alimtembelea mtoto🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom