Kupigwa MTUNGO/ kuliwa MANDE ni Janga kwa wanawake wa Tanzania

Kupigwa MTUNGO/ kuliwa MANDE ni Janga kwa wanawake wa Tanzania

Huyo obama wa bongo ndio wapiga mitungo wenyewe hao...

Kama yeye ni mwanamke yeye ndio wale tunawaita victims wanaopenda kufanyiwa haya


Mkuu nimeshangaa sana wewe kushambuliwa wakati umefikisha ujumbe mzuri kwa maslahi ya jamii nzima ili iweze kuepuka tatizo hili.
 
Kaka C.T.U the bottom line ya hii thread yako ni kuwa WANAWAKE TUJITAMBUE. Mwanamke napaswa kuitambua thamani yake kwanza kama binadamu pili kama mwanamke. Tukilitambua hili ni wazi kuwa itasaidia sana kuepuka 'mitungo ya kizembe na ile ya kujitakia' - mfano kuleweshwa kwa kuwa tu unapenda offer, kujifanya too much uzungu - kama ulivyoiweka kumingle na kila mtu hata usiyemjua vema. Pili ingawa ni vigumu kujua undani wa mwanaume anayekutokea kama kweli anakupenda kweli au anakutaka kukukomoa lakini yatupasa kuwa na subra na kumwomba MUNGU maana ukiwa ni yule wa yes kwa kila anayekutamkia neon basi hutapona. Tuwasaidie na wenetu wa kike kuwaelewesha wajitambue. Hiyo ya Martial arts, nimeanza kuifanyia kazi maana naona mbinu yangu ya kuwa natembea na tindikali inawezanipeleka segerea bure mana ishakuwa kosa la jinai


Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.
 
Na inaharibu sana wanawake kisaikolojia kiasi ya kwamba wanajiona worthless na kujikuta wanatumbukia katika UHUNI uliopitiliza,,,,
 
Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.

Uko kwenye ndoa?
 
Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.

Ni kweli Morinyo ndio maana nikaanza na kuwa na subira (meaning asubiri muda muafaka wa kuanza hilo katika mahusiano yake) na kumwomba MUNGU ampe hiyo nguvu ya kusubiri
 
Last edited by a moderator:
Kaka C.T.U the bottom line ya hii thread yako ni kuwa WANAWAKE TUJITAMBUE. Mwanamke napaswa kuitambua thamani yake kwanza kama binadamu pili kama mwanamke. Tukilitambua hili ni wazi kuwa itasaidia sana kuepuka 'mitungo ya kizembe na ile ya kujitakia' - mfano kuleweshwa kwa kuwa tu unapenda offer, kujifanya too much uzungu - kama ulivyoiweka kumingle na kila mtu hata usiyemjua vema. Pili ingawa ni vigumu kujua undani wa mwanaume anayekutokea kama kweli anakupenda kweli au anakutaka kukukomoa lakini yatupasa kuwa na subra na kumwomba MUNGU maana ukiwa ni yule wa yes kwa kila anayekutamkia neon basi hutapona. Tuwasaidie na wenetu wa kike kuwaelewesha wajitambue. Hiyo ya Martial arts, nimeanza kuifanyia kazi maana naona mbinu yangu ya kuwa natembea na tindikali inawezanipeleka segerea bure mana ishakuwa kosa la jinai

dah sijaona sehem ya like ningekupatia tu my dia
 
Na magonjwa haya bado mtu unakubali mtungo??? Wanaume wa jinsi hii niwaite mafala tu. Huna kinyaa, huna heshima, yaani hujitambui. Hujiamini, the least.
 
Mambo ya kizamani. Ila pia umesahau kuwa mtungo saa zingine mwanamke mwenyewe anakubali. Kwa mfano mwanamke anayejiuza. Huwa wanakubali mtungo na kuna bei zake

Tofautisha kahaba ambaye ni ujira wake na mwanamke wa kawaida aliyempenda mwanaume kwa ridhaa yake afu anamkomesha!!Men you need ti change on this disgusting behaviour,Wachukulieni wanawake kama binadamu ambao wako sawa na ninyi.
 
Maada yangu inakemea au inatetea huu ushetani unaouita..??

Ina maana hata mtu akipost mada ya kukemea ushoga utamwambia poor him/her kisa anajadili mada ya kishetani..??


Dah kweli Elimu ina umuhimu wake
Bora uwe masikini ila uwe umepita Darasani

Mkuu hili swala ni dogo sana hata hali hitaji elimu.
Me na shindwa kwelewa sijui baadhi ya watu huwa wanatumia kiungo kingine cha mwili kufikiria tofauti na kichwa nakosa jibu..
Sasa wewe hapo ulichokosea nikipi mtu umejikunja umetumia muda wako kuandika uzi mzuri kama huu mtu anatoka huko na mastrees yake anadhihilishia hapo uwezo wake mdogo wa kutafakari mambo..
Nilicho kigundua mimi ukiona mtu kapost utumbo unaangalia kwanza username kisha unaangalia na avatar yake hapo unagundua tu huyu anauwezo gani wakutafakari, hivyo vinahusika kwa kiasi kikubwa sababu mawazo yake ndo yameanzia hapo.
 
Kaka C.T.U the bottom line ya hii thread yako ni kuwa WANAWAKE TUJITAMBUE. Mwanamke napaswa kuitambua thamani yake kwanza kama binadamu pili kama mwanamke. Tukilitambua hili ni wazi kuwa itasaidia sana kuepuka 'mitungo ya kizembe na ile ya kujitakia' - mfano kuleweshwa kwa kuwa tu unapenda offer, kujifanya too much uzungu - kama ulivyoiweka kumingle na kila mtu hata usiyemjua vema. Pili ingawa ni vigumu kujua undani wa mwanaume anayekutokea kama kweli anakupenda kweli au anakutaka kukukomoa lakini yatupasa kuwa na subra na kumwomba MUNGU maana ukiwa ni yule wa yes kwa kila anayekutamkia neon basi hutapona. Tuwasaidie na wenetu wa kike kuwaelewesha wajitambue. Hiyo ya Martial arts, nimeanza kuifanyia kazi maana naona mbinu yangu ya kuwa natembea na tindikali inawezanipeleka segerea bure mana ishakuwa kosa la jinai

Umrshauri vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Wahindi wanapenda sana huo mchezo,juzi juzi hapo wamemkamua dada wa watu ambaye alikuwa ni mgeni alifikia hotelinisasa akaamua kutoka kidogo kuujua mji.Wakati anarudi si ndio kasahau hoteli ilipo,ndipo alipoamua kuwauliza masela waliopo kando wapate kumuelekeza..
Heeee,wale wajamaa wakawa kama wameambiwa karibuni msosi,wasimdandie nini?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Kuna tofauti gani kati ya mtungo na ubakaji? Hapo neno sahihi ni ubakaji, na kama mtu alielewana na A, kule akawakuta B, C, D etc na waka sex naye bila ridhaa, huo ni ubakaji.
Kuna wale ambao wao wanaridhia kusex na wanaume wengi kwa hiyari yao huwezi sema ni ubakaji, unaweza ita hata group sex.

Lakini kwa mujibu wa maada uliyoweka hapo, mtungo ni ubakaji, na mwanamke aliyefanyiwa hivyo anaweza enda polisi.
:A S thumbs_up:
Umenikumbusha mambo ya criminal law..
 
Wale wa bei ya juu wanaojifanya kina Jack Cliff ndio wanaopigwa mtungo,,huwa napenda sana mnajifanya kukomoa m/ume unaitwa somewhere unakuja na mashoga zako wa3 mnajiagizia tu.
 
Three men to one girl is a problem but three girls to a man is just a challenge.
 
Back
Top Bottom