Kupigwa MTUNGO/ kuliwa MANDE ni Janga kwa wanawake wa Tanzania

Huyo obama wa bongo ndio wapiga mitungo wenyewe hao...

Kama yeye ni mwanamke yeye ndio wale tunawaita victims wanaopenda kufanyiwa haya


Mkuu nimeshangaa sana wewe kushambuliwa wakati umefikisha ujumbe mzuri kwa maslahi ya jamii nzima ili iweze kuepuka tatizo hili.
 


Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.
 
Na inaharibu sana wanawake kisaikolojia kiasi ya kwamba wanajiona worthless na kujikuta wanatumbukia katika UHUNI uliopitiliza,,,,
 
Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.

Uko kwenye ndoa?
 
Tatizo ni pale unapokua na ratiba ya kufanya tendo nje ya ndoa(uzinzi) wakati Mungu anakataza hicho kitu. Kidogo inakua ngumu kumuomba Mungu akuongoze wakati unajuamoyoni kua unachokiendea anakikataza.

Ni kweli Morinyo ndio maana nikaanza na kuwa na subira (meaning asubiri muda muafaka wa kuanza hilo katika mahusiano yake) na kumwomba MUNGU ampe hiyo nguvu ya kusubiri
 
Last edited by a moderator:

dah sijaona sehem ya like ningekupatia tu my dia
 
Na magonjwa haya bado mtu unakubali mtungo??? Wanaume wa jinsi hii niwaite mafala tu. Huna kinyaa, huna heshima, yaani hujitambui. Hujiamini, the least.
 
Mambo ya kizamani. Ila pia umesahau kuwa mtungo saa zingine mwanamke mwenyewe anakubali. Kwa mfano mwanamke anayejiuza. Huwa wanakubali mtungo na kuna bei zake

Tofautisha kahaba ambaye ni ujira wake na mwanamke wa kawaida aliyempenda mwanaume kwa ridhaa yake afu anamkomesha!!Men you need ti change on this disgusting behaviour,Wachukulieni wanawake kama binadamu ambao wako sawa na ninyi.
 
Maada yangu inakemea au inatetea huu ushetani unaouita..??

Ina maana hata mtu akipost mada ya kukemea ushoga utamwambia poor him/her kisa anajadili mada ya kishetani..??


Dah kweli Elimu ina umuhimu wake
Bora uwe masikini ila uwe umepita Darasani

Mkuu hili swala ni dogo sana hata hali hitaji elimu.
Me na shindwa kwelewa sijui baadhi ya watu huwa wanatumia kiungo kingine cha mwili kufikiria tofauti na kichwa nakosa jibu..
Sasa wewe hapo ulichokosea nikipi mtu umejikunja umetumia muda wako kuandika uzi mzuri kama huu mtu anatoka huko na mastrees yake anadhihilishia hapo uwezo wake mdogo wa kutafakari mambo..
Nilicho kigundua mimi ukiona mtu kapost utumbo unaangalia kwanza username kisha unaangalia na avatar yake hapo unagundua tu huyu anauwezo gani wakutafakari, hivyo vinahusika kwa kiasi kikubwa sababu mawazo yake ndo yameanzia hapo.
 

Umrshauri vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Wahindi wanapenda sana huo mchezo,juzi juzi hapo wamemkamua dada wa watu ambaye alikuwa ni mgeni alifikia hotelinisasa akaamua kutoka kidogo kuujua mji.Wakati anarudi si ndio kasahau hoteli ilipo,ndipo alipoamua kuwauliza masela waliopo kando wapate kumuelekeza..
Heeee,wale wajamaa wakawa kama wameambiwa karibuni msosi,wasimdandie nini?

"Nlikuwepo":bolt:
 
:A S thumbs_up:
Umenikumbusha mambo ya criminal law..
 
Wale wa bei ya juu wanaojifanya kina Jack Cliff ndio wanaopigwa mtungo,,huwa napenda sana mnajifanya kukomoa m/ume unaitwa somewhere unakuja na mashoga zako wa3 mnajiagizia tu.
 
Three men to one girl is a problem but three girls to a man is just a challenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…