Kupigwa MTUNGO/ kuliwa MANDE ni Janga kwa wanawake wa Tanzania

Na mtungo huwa kwa wanawake tu au na wanaume kupigwa mande na madem zaidi ya mmoja?
 
Tena ubakaji haswaa

Lakini siku hizi si kuna hizi 3some na 4 some? zenyewe sio mtungo? Au ni mtungo wa hiari?

Mbona kama unajadili ubakaji katika lugha iliyopambwa!!!
 
Mie nimeshangaa kwa nini umegombezwa.

Sie wenye watoto tinejaz tunakuelewa, ngoja nikakae niongee naye maana anasoma kati ya shule ya bweni, afu co.

Maada yangu inakemea au inatetea huu ushetani unaouita..??

Ina maana hata mtu akipost mada ya kukemea ushoga utamwambia poor him/her kisa anajadili mada ya kishetani..??


Dah kweli Elimu ina umuhimu wake
Bora uwe masikini ila uwe umepita Darasani
 
Wenzio siku hizi wanaona fasheni wanaitaa threesome nenda blog flan hiv wanatafutaa wanaume kuanzia watatu
 
Hii tabia ilikuwa maarufu Sana kwenye shule Fulani hivi jirani za Sec Mza.Halafu mbaya zaidi ni teenagers,wenyewe walikuwa wanaiita kupiga featuring or simply feature.
 
Nadhani kuna zile za hiari (Mh sijui niiteje) yaani wanawake wanaoridhia kwa utashi wao (mie bado nawaona ni wale wasiojitambua thamani ya utu wao pengine kwa kuwa wameshakata tama ya maisha so kwao bora liende au bado hawajatambua madhara ya wakifanyacho kwao baada ya hiyo starehe ya muda mfupi). Ila kuna zile nyingine ambazo nadhani kama alivyosema kaka MESTOD kuwa ni ubakaji tu yaani hizo mtoa mada alizoziainisha za kunyweshwa pombe na kufanyiziwa au kukubaliana na mmoja kasha ukamkuta yeye kaalika wageni wengine (ambayo pia unless watumie nguvu la sivyo bado mwanamke anao uhuru wa kukataa).
 
Last edited by a moderator:
 
nilivyo na wivu.....halaf kaka C.T.U hzo karate atamletea nani wakati kitu cha ugoro kilikuwamo kwenye bia? Wajitokeze wanapotendwa na kuvitumia vyombo vya sheria (kama wataskilizwa)
 
Last edited by a moderator:

Well said
 
Last edited by a moderator:
nilivyo na wivu.....halaf kaka C.T.U hzo karate atamletea nani wakati kitu cha ugoro kilikuwamo kwenye bia? Wajitokeze wanapotendwa na kuvitumia vyombo vya sheria (kama wataskilizwa)

Hiyo ya kulazimishwa umepanga na mmoja mara wamekuja wengi wanataka kukuvamia ndio hapo itabidi utumie mwai tai na tai chi
Btw
Una wivu wa nini..??
 
Last edited by a moderator:
Na inaharibu sana wanawake kisaikolojia kiasi ya kwamba wanajiona worthless na kujikuta wanatumbukia katika UHUNI uliopitiliza,,,,


Ni kweli mie namjua mtu kutokana na kufanyiwa huo mchezo sasa hivi ni kama kafunguliwa kutoka kifungoni
 
Katika mkesha wa mwaka mpya huku mtaani kwetu 2014, kulikuwa kuna mziki eneo la wazi, mziki huru ambapo watu wa rika zote walihudhuria ili kusherekaea.
Katika tukio hilo kuna wadada watatu wafanyiziwa ile mbaya
Baada ya kubugia pombe mchanganyiko (viroba+ konyagi + bia +...) wakazima ;kutojiambua. Walikwisha tahadharishwa tangu mwanzo, si wakata "haki sawa ya kunywa".
Mmoja wao alipata fahamu baada ya mwanamume wa tatu kumaliza. Wenzake wawaili, walifanyiwa ile mbayaaaa, takribani kila mmoja wanaume zaidi ya 15, walimtumia. Mama zao walihuzunika mnooooo....waliwabiga ili hali hawajitambui. Kwa sasa wadada hao wameondoka kwa aibu.
N.B. Usipojiheshimu, hutaheshimiwa!
 
Hiyo ya kulazimishwa umepanga na mmoja mara wamekuja wengi wanataka kukuvamia ndio hapo itabidi utumie mwai tai na tai chi
Btw
Una wivu wa nini..??
yaani kitu nimeleta mimi, nakitifua halafu nikae pembeni naangalia eti unavyopump!!! aaaa wapi!!!
 
Wewe mbona watoto masaki,obey,miko,mbezi kila corner ya dunia wapigwa threesome
 
Co kila tunayoona yanafaa kuiga mengine yakutazama kwa macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…