Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni mwanaume, lakini kwanini umesema hivyo🤔
ni mtazamo wangu tu,, cause costs ni zilezile...angekua wa kike labda ila wa kiume mwambie anunue tu chakula ila aende restaurants za level yakeNdio ni mwanaume, lakini kwanini umesema hivyo🤔
Kwahiyo unajinunulia vitu vitu na makolo kolo unaenda kupika😉😉mimi nanunua ila siku nikichoka naenda kupika kwa msela
Vyombo
Muda
Usafi
Gharama
Emu piga hesabu ukitaka kupika mlo wenye mboga Saba utatumia shingapi kupika??
Plus muda pia
So kama unajitafuta kuwa makini na kutafuta pesa usipoteze muda kupika
Tafuta mama ntilie mmoja safi pilau 2500 total per day kula 5000 kwa mwenzi 150000
Kula hotel ila hotel iwe safi ili uepuke kipindu pindu na typhoid
Yeah, ukiwa na rice cooker, jiko la gas, microwave yako ndogo, fridge yako...ya nini ununue misosi isiyo na tbs mkuu?Duuh 😂🙌
ndio, tunafanya kuchangaKwahiyo unajinunulia vitu vitu na makolo kolo unaenda kupika😉😉
Kabisa hasa kariakoo ni shida tupu unakula ugali unakuta unaharufu ya jashoDuuh! sehemu zingine miyeyusho sana
Mkuu hebu rekebisha hapo pa Kula Hotel, weka KULA KWA MAMA/BABA NTILIE au Mgahawani ile lokale kabisa.....Vyombo
Muda
Usafi
Gharama
Emu piga hesabu ukitaka kupika mlo wenye mboga Saba utatumia shingapi kupika??
Plus muda pia
So kama unajitafuta kuwa makini na kutafuta pesa usipoteze muda kupika
Tafuta mama ntilie mmoja safi pilau 2500 total per day kula 5000 kwa mwenzi 150000
Kula hotel ila hotel iwe safi ili uepuke kipindu pindu na typhoid