Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika au kununua kwa mamantilie

Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots🤣, ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Hahaha hii nimeipenda aisee,
Nyama robo inaliwa mara 4 had 5
 
Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots[emoji1787], ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]
 
Vp lakini wapi ni very cost
Mgahawani utakunywa chai/supu asubuhi, fanya 2000-3,000 bei ya kawaida sana.
Mchana utakula ugali/ubwabwa, 2,000-3,000.
Usiku wali/ugali/machips, 2,000-4000.

Home nitapika wali samaki, nikipiga long shot napika samaki wanne(four meals hizo) @1,500-2,000, nyanya, vitunguu na viungo kwa jumla havizidi 2,000.

Mchele nusu na robo(kama mnavyosema wanadaslam), mafuta, chumvi.

Matunda yangu na glass yangu ya mtindi...very healthy meal at a low cost.

Endelea kula mgahawani mkuu.
 
Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]
Unapika wali wa kula leo na kesho mkuu na mboga zake.

Siku ya ugali ni mara moja, ugali haulali.

Siku unatamani kula chapati unapita zako wanapochoma zile chapati nzuri, unanunua na kupika roast lako matata, unakuja kula chapati na roast nyama.

Life's easy.
 
Unapika wali wa kula leo na kesho mkuu na mboga zake.

Siku ya ugali ni mara moja, ugali haulali.

Siku unatamani kula chapati unapita zako wanapochoma zile chapati nzuri, unanunua na kupika roast lako matata, unakuja kula chapati na roast nyama.

Life's easy.
Kuna Jamaa alikua anapika chapati ghetto nzuri kuwashinda wamama, sijui kama alioa mapema yule mwamba [emoji3][emoji3]
 
Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,

Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k

Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,

Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,

Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k

Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,

Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
kuku gani hao wawili unapata kwa buku 14?
 
Kuna mahali huku wali maharagwe wa 1500 unakula mara mbili, chapati maharagwe humalizi, chai tsh 300!!!

Kupika ununue Mchele, mafuta,chumvi, mkaa, kiberiti, maji, kitunguu, karoti, hoho bado ukae kuchoche moto kutwa nzima😄😄
 
Kama ndio unaanza life la usingo hakikisha una vitu vya msingi, hutaona shida kujipikia.
°Jiko la gas na mkaa(optional).
° Fridge yako ya wastani(kama unaweza basi kubwa)
° Microwave ili ukihisi njaa unapasha msosi na kutulia zako kuuchapa.
° Blender yako(kama unaweza), utakuwa unasaga matunda fresh na kunywa juice OG.

Vingine ni sufuria tatu, sahani tatu, glass tatu, vijiko vitatu, vikombe vitatu, glass za wine tatu(ikitokea una baby wako usitie aibu mkuu), bakuli tatu...mwiko, kijiko kikubwa, tray ya kuwekea mazaga yako etc..
...bachelor life's so enjoyable aloo.
 
Back
Top Bottom