mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
gharama ni zile zile, sema ukipika unakula hali unasaza😂😂
Lakini msingi wa swali langu ni katika kulinganisha gharama pande zote mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gharama ni zile zile, sema ukipika unakula hali unasaza😂😂
Lakini msingi wa swali langu ni katika kulinganisha gharama pande zote mbili
Hahaha hii nimeipenda aisee,Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots🤣, ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots[emoji1787], ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Sawasawandio, tunafanya kuchanga
Jamani we jamaa😂😂😂😂😂🙌Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]
Mgahawani utakunywa chai/supu asubuhi, fanya 2000-3,000 bei ya kawaida sana.Vp lakini wapi ni very cost
Na Ile sufuria siku wali ukiisha hautakiwi kuiosha, unaweka maji unapika wali mwingine.Jamani we jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Unapika wali wa kula leo na kesho mkuu na mboga zake.Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]
Mwamba huyu hapa..😀Na Ile sufuria siku wali ukiisha hautakiwi kuiosha, unaweka maji unapika wali mwingine.
Ya nini kuosha Wakati kilichoisha ni chakula na unachopika ni chakula kilekile[emoji3][emoji3]
Kuna Jamaa alikua anapika chapati ghetto nzuri kuwashinda wamama, sijui kama alioa mapema yule mwamba [emoji3][emoji3]Unapika wali wa kula leo na kesho mkuu na mboga zake.
Siku ya ugali ni mara moja, ugali haulali.
Siku unatamani kula chapati unapita zako wanapochoma zile chapati nzuri, unanunua na kupika roast lako matata, unakuja kula chapati na roast nyama.
Life's easy.
Una save muda, maji, sabuni na sufuria haiishi haraka kwa kusuguliwa suguliwa.Mwamba huyu hapa..[emoji3]
Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,
Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k
Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,
Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
kuku gani hao wawili unapata kwa buku 14?Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,
Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k
Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,
Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
Kweli man.Una save muda, maji, sabuni na sufuria haiishi haraka kwa kusuguliwa suguliwa.
wife kanifundisha wee,nikipika mwenyewe inakuwa kituko.Kuna Jamaa alikua anapika chapati ghetto nzuri kuwashinda wamama, sijui kama alioa mapema yule mwamba [emoji3][emoji3]
Hahaha, hilo jibu lako boss limenichekesha. Kwa hiyo kupika ndo kunawafanya muoe.Ukizoea kuosha vyombo na kupika pilau utashindwa kuoa kabisa