Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
3. Geto kunuka1. Kama ishu ni kuokoa gharama, usipike kama upo mwenyewe.
2. Kama ni mvivu mvivu wa kuosha vyombo usipike. Utakaribisha mende sisimizi na panya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3. Geto kunuka1. Kama ishu ni kuokoa gharama, usipike kama upo mwenyewe.
2. Kama ni mvivu mvivu wa kuosha vyombo usipike. Utakaribisha mende sisimizi na panya.
Poa,nimetoka kwa dokta hapa kanambia nipunguze uzito bado kilo chache niwe kwenye abnormal weight,ndo nimechoka hapa na hayo madiet ya kuanza!!Bas chukua kuku mzima wa kienyeji na nyama ya ng'ombe kg 3,
Unatoboa mwezi fresh tu hapo ukiwa na Njegere zako + mayai
Hapa asubuhi nimekula buku 1, mchana buku 2 jioni buku jero.3. Geto kunuka
Pikaa km unajua kuunga mboga fresh tuu.... Utakula kushibaa...[emoji23][emoji23]
Lakini msingi wa swali langu ni katika kulinganisha gharama pande zote mbili
Hio nyama naeza kuta nishapika kilo per dei[emoji16][emoji16]Ukiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,
Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k
Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,
Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
Broilers 7kkuku gani hao wawili unapata kwa buku 14?
Alee tu dagaa mchele Kwanzaa..... Mnavyomwimbia ata haelew [emoji16]Amesema dogo ndio kwanza mwanachuo, hata kujitafuta hajaanza, Hata huo wali kwa wiki nzima ashukuru Mungu.
Au Dagaa wa Nyama [emoji3][emoji3][emoji3]Alee tu dagaa mchele Kwanzaa..... Mnavyomwimbia ata haelew [emoji16]
Inategemea Kuna restaurant moja nilkuwa nakula mpk namalza third year..... Kwanza msosi mtamu.... Imagine mboga zinaekwa spices km masala ya nyama au samaki na nyngnzo.....Hakuna chakula kisafi na kizuri kinacho patikana kwa bei rahisi jiandae kuumwa typhoid na amoeba kila siku
Tena mama lishe nasikia maji ya kupikia kwanza wanachambia kwenye papuchi ili kuvutia wateja 🤣Yeah, ukiwa na rice cooker, jiko la gas, microwave yako ndogo, fridge yako...ya nini ununue misosi isiyo na tbs mkuu?
Sema nini madogo wengi wanatak kukaa wawili watatu.... Wakifika ndani wanategeana kweny bills Ila wakielewanA kula nyama chapu sjui hio samak lkn watakula dagaa mchele mpk wakomee[emoji16]Au Dagaa wa Nyama [emoji3][emoji3][emoji3]
Wabongo tukiwa hatuna hela dagaa tunawaita wa nyama ili kupunguza ukali wa dagaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Hamna tukifikiria uko mbn hata Hyatt wapishi hawavai gloves.... Vingn usafi tu bhn[emoji1787][emoji1787]Tena mama lishe nasikia maji ya kupikia kwanza wanachambia kwenye papuchi ili kuvutia wateja [emoji1787]
Dah, hadi kinyaa..Tena mama lishe nasikia maji ya kupikia kwanza wanachambia kwenye papuchi ili kuvutia wateja 🤣
hapa mkuu umechomoa betriTena mama lishe nasikia maji ya kupikia kwanza wanachambia kwenye papuchi ili kuvutia wateja 🤣
Hahahah kama huwez jicontrol bora uwe unanunua msosiHio nyama naeza kuta nishapika kilo per dei[emoji16][emoji16]