Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupunguza Uzito ukiweza penda sana Salads wenyewe wanaita mbogamboga, epuka vyakula vya wanga sana kama ugali, wali nk.

Nimewahi kujaribu nikaweza ila kwasababu zisizozuilika nikaachana navyo.

Nilikua nakula kwa mfano wa sahani yangu, samaki mchemsho, mbogamboga, avocado, glasi ya maziwa mtindi na maji mengi. Usiku vivo hivyo najitahidi kukataa vyakula vya kukaanga na mafuta sana.

Kama nyama basi iwe choma nk.

Nikaacha gharama yake nikaona kubwa kuliko mazoea [emoji3][emoji3][emoji3]
Ukitaka kupunguza uzito jitahidi uwe una kula kiasi kidogo tu ,si kula hadi usikie au uhisi umeshiba au tumbo kujaa[emoji1][emoji1]

Tambua unene mara nyingi ni mafuta kuongezeka, na nyama uzembe kama hufanyi mazoezi kwa sababu mwili hauchomi vizuri hizo kalori.

Hivyo jitahidi kujinyima,huwezi kuugua vidonda ya tumbo wala nini,kuna wengine huwa wana jitetea kuhusu kula sana eti wanaepuka vidonda vya tumbo.

Tambua mwili huwa unahitaji chakula kidogo tu kwa ajiri ya kujiendesha,yani mlo kamili,navyo ni vyakula vichache tu vyenye mchanganyiko wa virutubisho bila kusahau matunda.

Kula kiasi tu ,hata kam chakula kitamu we jinyime ,kisha kunywa glass ya juisi endelea na shughuri zako.

Sasa watu wengine unakuta kazi yake haihitaji kutumia nguvu nyingi,ila anakula kuku mzima,mayai matano chipsi mzigo glass mbili za juice kama mashindano eti kisa ana afford gharama,
 
Hamna tukifikiria uko mbn hata Hyatt wapishi hawavai gloves.... Vingn usafi tu bhn[emoji1787][emoji1787]
Bora wa Hyatt suala la hygiene atleast wanazingatia sio hawa wa huku, kina Asha jibwa ni mwendo wa kulishana papuchi 😂😂😂
 
Kama mazingira yanaruhusu, ni bora ujipikie mwenyewe, utakula kitu unachopenda, chakula cha kutosha, mazingira mazuri ya nyumbani kwako.
.
Kama mazingira hayaruhusu hamna jinsi unaweza kula kwingine.
 
Bora wa Hyatt suala la hygiene atleast wanazingatia sio hawa wa huku, kina Asha jibwa ni mwendo wa kulishana papuchi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakwel ndo maana mm huwa ninachagua sehem za kula
Kwanza msosi uwe mtamu... Na nyama ata km ndg sasa sio km maharage
Pili usafi wa pale.... Mama ntilie kakaa chini mteja huyo anajikunguta.... Alooh
 
Wewe mgeni mwenyeji, naweza relate mwandiko. Walikupiga ban!!
Umenifananisha bhana
Me mgeni usitake kunikosesha wachumba 😂😂😂
Nasikia humu kuna wachumba wanahonga hao 😜
 
 
Kwakwel ndo maana mm huwa ninachagua sehem za kula
Kwanza msosi uwe mtamu... Na nyama ata km ndg sasa sio km maharage
Pili usafi wa pale.... Mama ntilie kakaa chini mteja huyo anajikunguta.... Alooh
Mama ntilie wengi wachafu, kukuta nywele kwenye chakula kwao ni kawaida 🤣
 
Mgahawani utakunywa chai/supu asubuhi, fanya 2000-3,000 bei ya kawaida sana.
Mchana utakula ugali/ubwabwa, 2,000-3,000.
Usiku wali/ugali/machips, 2,000-4000.

Home nitapika wali samaki, nikipiga long shot napika samaki wanne(four meals hizo) @1,500-2,000, nyanya, vitunguu na viungo kwa jumla havizidi 2,000.

Mchele nusu na robo(kama mnavyosema wanadaslam), mafuta, chumvi.

Matunda yangu na glass yangu ya mtindi...very healthy meal at a low cost.

Endelea kula mgahawani mkuu.
Sijaelewea hiyo hesabu yako ya samaki wanne kwa 1500 au 2000 samaki wanne kwa dar hii au mkoanj
 
Sijaelewea hiyo hesabu yako ya samaki wanne kwa 1500 au 2000 samaki wanne kwa dar hii au mkoanj
Unawaza samaki gani atakula bachelor wa maisha ya kati?

Haya basi tufanye kilo moja ya sangara mkuu. Atakula hiyo kilo moja mara ngapi?
 
Kuna mahali huku wali maharagwe wa 1500 unakula mara mbili, chapati maharagwe humalizi, chai tsh 300!!!

Kupika ununue Mchele, mafuta,chumvi, mkaa, kiberiti, maji, kitunguu, karoti, hoho bado ukae kuchoche moto kutwa nzima😄😄
Upo kijiji gani mkuu
 
Back
Top Bottom