Kupika au kununua kwa mamantilie

Kupika au kununua kwa mamantilie

Ukitaka kupunguza uzito jitahidi uwe una kula kiasi kidogo tu ,si kula hadi usikie au uhisi umeshiba au tumbo kujaa[emoji1][emoji1]

Tambua unene mara nyingi ni mafuta kuongezeka, na nyama uzembe kama hufanyi mazoezi kwa sababu mwili hauchomi vizuri hizo kalori.

Hivyo jitahidi kujinyima,huwezi kuugua vidonda ya tumbo wala nini,kuna wengine huwa wana jitetea kuhusu kula sana eti wanaepuka vidonda vya tumbo.

Tambua mwili huwa unahitaji chakula kidogo tu kwa ajiri ya kujiendesha,yani mlo kamili,navyo ni vyakula vichache tu vyenye mchanganyiko wa virutubisho bila kusahau matunda.

Kula kiasi tu ,hata kam chakula kitamu we jinyime ,kisha kunywa glass ya juisi endelea na shughuri zako.

Sasa watu wengine unakuta kazi yake haihitaji kutumia nguvu nyingi,ila anakula kuku mzima,mayai matano chipsi mzigo glass mbili za juice kama mashindano eti kisa ana afford gharama,
Mwili haupungui kwa kula kidogo vinginevyo atajiumiza njaa kikubwa ale chakula sahihi na afanye mazoezi Sana hususani yale ya cardio sio kubeba vyuma.
Calories anazoconsume awe na uwezo wa kuziburn
 
Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots🤣, ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Hapo ndipo nashangaa mtu anaesema kupika hakupunguzi costs wakati naweza kupika chakula nikakila for 2 to 3 days as a bachelor
 
Pika mkuu , kuepuka makamasi na chembechembe za mavi zinazobaki kwa kucha , na Yale maji ya kupikia ambayo huosha nunu wanayatumia pia usisahau kupakuliwa chakula na kiganja cha binadamu , pia maji ya kuoshea waendazao
Dah! huku kutishana sasa
 
Pika mwnyw chakula cha moja kwa moja kinaliwa hata siku 2 au 3 mchana na usiku
 
Kweli kabisa, kula kwa mama mtilie tunakula tu, ila kuna mambo mengi sana kule.
Nashangaa sana unakuta mamantile kavaa nguo chafu anapika na kuuza ila anapata wateja 🤔🤔
 
Nashangaa sana unakuta mamantile kavaa nguo chafu anapika na kuuza ila anapata wateja [emoji848][emoji848]
Nyie[emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona mnatusema sana, usafi ni muhimu kwenye hii biashara,

Kuna mmoja hapa jirani sufuria la wali wa jana kalifuta na kitambaa kwa nje na kupikia tena bila kuliosha[emoji23][emoji23]
 
Kama unaishi peke yako kupika kila siku ni kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom